Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huko si ndiyo kwa hayati John?Watoto wawili wamefariki dunia baada ya mama yao mzazi, Veronica Gabriel (30), mkazi wa Kijiji cha Mwabagaru, Kata ya Buseresere, Wilaya ya Chato, mkoani Geita kuwanywesha sumu kisha na yeye kunywa kwa madai ya ugumu wa maisha.
Hata hivyo mama huyo amenusurika kifo licha ya kunywa sumu hiyo kwa madhumuni ya kujiua
Taarifa iliyotolewa leo Alhamisi Desemba 2, 2021 na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Henry Mwaibambe inasema mama huyo mwenye watoto watano aliwanywesha watoto wote sumu ya kuua wadudu kwenye nyanya na wawili kati yao kufariki.
Watoto hao wanumri kati ya mwaka mmoja na miezi tisa na miaka 12.
Watoto waliofariki dunia kutokana na sumu hiyo ni mwenye umri wa miaka 12 na miaka miwili.
“Watoto wengine wamelazwa Kituo cha Afya, Bwanga pamoja na mama yao akiwa chini ya ulinzi wa Polisi,”amesema Mwaibambe
Mwananchi
Ule mchezo mtamuHuyo mama aache ujinga, miaka 30 anakata tamaa nani alimwambia azae kama simbilisi.
Unaweza kukuta Baba aliajiriwa kikabila wakati wa Awamu ya Tano,Samia alipoingia akawatumbua akisema hizo ni nafasi asilimia ishirini ni za Wazanzibari.😆inasikitisha sana sijui baba wa familia yuko wapi?
Wababa msizikimbie familia zenu, pambaneni . Wako wanaumme akisha ona familia imekuwa kubwa, kulisha hawawezi , anaikimbia. Anaenda tafutamwanamke asie na watoto. Mwanamke nae kupata mwanamme na una watoto 5 ni ngumu. Matokeo yake ni hawa Street kids, mama nae kawatekeleza.Watoto wawili wamefariki dunia baada ya mama yao mzazi, Veronica Gabriel (30), mkazi wa Kijiji cha Mwabagaru, Kata ya Buseresere, Wilaya ya Chato, mkoani Geita kuwanywesha sumu kisha na yeye kunywa kwa madai ya ugumu wa maisha.
Hata hivyo mama huyo amenusurika kifo licha ya kunywa sumu hiyo kwa madhumuni ya kujiua
Taarifa iliyotolewa leo Alhamisi Desemba 2, 2021 na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Henry Mwaibambe inasema mama huyo mwenye watoto watano aliwanywesha watoto wote sumu ya kuua wadudu kwenye nyanya na wawili kati yao kufariki.
Watoto hao wanumri kati ya mwaka mmoja na miezi tisa na miaka 12.
Watoto waliofariki dunia kutokana na sumu hiyo ni mwenye umri wa miaka 12 na miaka miwili.
“Watoto wengine wamelazwa Kituo cha Afya, Bwanga pamoja na mama yao akiwa chini ya ulinzi wa Polisi,”amesema Mwaibambe
Mwananchi
Bado kidogo sanaSitoshangaa nikisikia familia fulani imemuua mpitanjia na kumla nyama.
ugali nakula mara ngapi? Porojo zipi kukosa chakula ndio ujiue wakati kuna wanaokula na kusaza wapo, ishu ya kula unaweza kuishi siku kadha bila kula huku ukivuta hewa. Huenda hujawahi kuona njaa maishani mwako unaisikia tu. Huyo mama amefanya kitendo hicho huenda ni njaa tu hakuona namna ya kupata chakula. Hakuvumilia kutaabika kwa njaa ya muda tuUnaongea porojo miiingi ooh chakula ni ziada tu huku umeweka ugali mkuuuubwa kwenye AVATAR.!!
Strictly PATHETIC.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ugumu wa malezi ya watoto ulisababishwa na huyu Mama kwa kutotulia na mwanaume mmoja, maana Kila Mtoto alikuwa na Baba yake.Wanatakiwa waanze na baba.
Miaka 30 watoto 5 dadangu amejitahidi kuujaza ulimwengu haraka.Watoto wawili wamefariki dunia baada ya mama yao mzazi, Veronica Gabriel (30), mkazi wa Kijiji cha Mwabagaru, Kata ya Buseresere, Wilaya ya Chato, mkoani Geita kuwanywesha sumu kisha na yeye kunywa kwa madai ya ugumu wa maisha.
Hata hivyo mama huyo amenusurika kifo licha ya kunywa sumu hiyo kwa madhumuni ya kujiua
Taarifa iliyotolewa leo Alhamisi Desemba 2, 2021 na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Henry Mwaibambe inasema mama huyo mwenye watoto watano aliwanywesha watoto wote sumu ya kuua wadudu kwenye nyanya na wawili kati yao kufariki.
Watoto hao wanumri kati ya mwaka mmoja na miezi tisa na miaka 12.
Watoto waliofariki dunia kutokana na sumu hiyo ni mwenye umri wa miaka 12 na miaka miwili.
“Watoto wengine wamelazwa Kituo cha Afya, Bwanga pamoja na mama yao akiwa chini ya ulinzi wa Polisi,”amesema Mwaibambe
Mwananchi
Watoto wawili wamefariki dunia baada ya mama yao mzazi, Veronica Gabriel (30), mkazi wa Kijiji cha Mwabagaru, Kata ya Buseresere, Wilaya ya Chato, mkoani Geita kuwanywesha sumu kisha na yeye kunywa kwa madai ya ugumu wa maisha.
Hata hivyo mama huyo amenusurika kifo licha ya kunywa sumu hiyo kwa madhumuni ya kujiua
Taarifa iliyotolewa leo Alhamisi Desemba 2, 2021 na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Henry Mwaibambe inasema mama huyo mwenye watoto watano aliwanywesha watoto wote sumu ya kuua wadudu kwenye nyanya na wawili kati yao kufariki.
Watoto hao wanumri kati ya mwaka mmoja na miezi tisa na miaka 12.
Watoto waliofariki dunia kutokana na sumu hiyo ni mwenye umri wa miaka 12 na miaka miwili.
“Watoto wengine wamelazwa Kituo cha Afya, Bwanga pamoja na mama yao akiwa chini ya ulinzi wa Polisi,”amesema Mwaibambe
Mwananchi
Kijiji pekee nchini chenye international airport direct flights to/from Amsterdam maisha yanakuwaje magumu? Kiufupi ndio kijiji tajiri zaidi Tanzania.Chato nchi ya asali na maziwa,mtu kaua watoto wke kisa maisha magumu,lawama zote kwa john
kuna anayedai serikali imeleta njaa? Hii ni porojo tupuSerikali haijaleta NJAA.[emoji276]