Ugumu wa maisha; Mama anywesha wanae 5 sumu. Wawili wafariki dunia, watatu pamoja naye wanapatiwa matibabu

Ugumu wa maisha; Mama anywesha wanae 5 sumu. Wawili wafariki dunia, watatu pamoja naye wanapatiwa matibabu

Watoto wawili wamefariki dunia baada ya mama yao mzazi, Veronica Gabriel (30), mkazi wa Kijiji cha Mwabagaru, Kata ya Buseresere, Wilaya ya Chato, mkoani Geita kuwanywesha sumu kisha na yeye kunywa kwa madai ya ugumu wa maisha.

Hata hivyo mama huyo amenusurika kifo licha ya kunywa sumu hiyo kwa madhumuni ya kujiua

Taarifa iliyotolewa leo Alhamisi Desemba 2, 2021 na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Henry Mwaibambe inasema mama huyo mwenye watoto watano aliwanywesha watoto wote sumu ya kuua wadudu kwenye nyanya na wawili kati yao kufariki.

Watoto hao wanumri kati ya mwaka mmoja na miezi tisa na miaka 12.

Watoto waliofariki dunia kutokana na sumu hiyo ni mwenye umri wa miaka 12 na miaka miwili.

“Watoto wengine wamelazwa Kituo cha Afya, Bwanga pamoja na mama yao akiwa chini ya ulinzi wa Polisi,”amesema Mwaibambe

Mwananchi
Huko si ndiyo kwa hayati John?
 
Neema Village, Mzungu anayebadilisha maisha ya Wakina Mama Arusha, serikali yetu inakwama wapi?
 
Serikali yetu haipo kwa ajili ya wananchi bali wapo kujinufaisha wao tu
 
Watoto wawili wamefariki dunia baada ya mama yao mzazi, Veronica Gabriel (30), mkazi wa Kijiji cha Mwabagaru, Kata ya Buseresere, Wilaya ya Chato, mkoani Geita kuwanywesha sumu kisha na yeye kunywa kwa madai ya ugumu wa maisha.

Hata hivyo mama huyo amenusurika kifo licha ya kunywa sumu hiyo kwa madhumuni ya kujiua

Taarifa iliyotolewa leo Alhamisi Desemba 2, 2021 na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Henry Mwaibambe inasema mama huyo mwenye watoto watano aliwanywesha watoto wote sumu ya kuua wadudu kwenye nyanya na wawili kati yao kufariki.

Watoto hao wanumri kati ya mwaka mmoja na miezi tisa na miaka 12.

Watoto waliofariki dunia kutokana na sumu hiyo ni mwenye umri wa miaka 12 na miaka miwili.

“Watoto wengine wamelazwa Kituo cha Afya, Bwanga pamoja na mama yao akiwa chini ya ulinzi wa Polisi,”amesema Mwaibambe

Mwananchi
Wababa msizikimbie familia zenu, pambaneni . Wako wanaumme akisha ona familia imekuwa kubwa, kulisha hawawezi , anaikimbia. Anaenda tafutamwanamke asie na watoto. Mwanamke nae kupata mwanamme na una watoto 5 ni ngumu. Matokeo yake ni hawa Street kids, mama nae kawatekeleza.
 
Uchumi umefungaka na kazi iendelee kauli mbiu ya Awamu ya 6
Watu wanajari Mkopo wa Chanjo kuboresha maisha ya watu hakuna kitu ndo kwanza unaambiwa watu wachanjwe wakati hawajui asubuh mchana na jioni watakula nini
 
Unaongea porojo miiingi ooh chakula ni ziada tu huku umeweka ugali mkuuuubwa kwenye AVATAR.!!

Strictly PATHETIC.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
ugali nakula mara ngapi? Porojo zipi kukosa chakula ndio ujiue wakati kuna wanaokula na kusaza wapo, ishu ya kula unaweza kuishi siku kadha bila kula huku ukivuta hewa. Huenda hujawahi kuona njaa maishani mwako unaisikia tu. Huyo mama amefanya kitendo hicho huenda ni njaa tu hakuona namna ya kupata chakula. Hakuvumilia kutaabika kwa njaa ya muda tu
 
Wanatakiwa waanze na baba.
Ugumu wa malezi ya watoto ulisababishwa na huyu Mama kwa kutotulia na mwanaume mmoja, maana Kila Mtoto alikuwa na Baba yake.

Binti ana miaka 30 huku ana watoto watano.
 
Watoto wawili wamefariki dunia baada ya mama yao mzazi, Veronica Gabriel (30), mkazi wa Kijiji cha Mwabagaru, Kata ya Buseresere, Wilaya ya Chato, mkoani Geita kuwanywesha sumu kisha na yeye kunywa kwa madai ya ugumu wa maisha.

Hata hivyo mama huyo amenusurika kifo licha ya kunywa sumu hiyo kwa madhumuni ya kujiua

Taarifa iliyotolewa leo Alhamisi Desemba 2, 2021 na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Henry Mwaibambe inasema mama huyo mwenye watoto watano aliwanywesha watoto wote sumu ya kuua wadudu kwenye nyanya na wawili kati yao kufariki.

Watoto hao wanumri kati ya mwaka mmoja na miezi tisa na miaka 12.

Watoto waliofariki dunia kutokana na sumu hiyo ni mwenye umri wa miaka 12 na miaka miwili.

“Watoto wengine wamelazwa Kituo cha Afya, Bwanga pamoja na mama yao akiwa chini ya ulinzi wa Polisi,”amesema Mwaibambe

Mwananchi
Miaka 30 watoto 5 dadangu amejitahidi kuujaza ulimwengu haraka.
 
Watoto wawili wamefariki dunia baada ya mama yao mzazi, Veronica Gabriel (30), mkazi wa Kijiji cha Mwabagaru, Kata ya Buseresere, Wilaya ya Chato, mkoani Geita kuwanywesha sumu kisha na yeye kunywa kwa madai ya ugumu wa maisha.

Hata hivyo mama huyo amenusurika kifo licha ya kunywa sumu hiyo kwa madhumuni ya kujiua

Taarifa iliyotolewa leo Alhamisi Desemba 2, 2021 na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Henry Mwaibambe inasema mama huyo mwenye watoto watano aliwanywesha watoto wote sumu ya kuua wadudu kwenye nyanya na wawili kati yao kufariki.

Watoto hao wanumri kati ya mwaka mmoja na miezi tisa na miaka 12.

Watoto waliofariki dunia kutokana na sumu hiyo ni mwenye umri wa miaka 12 na miaka miwili.

“Watoto wengine wamelazwa Kituo cha Afya, Bwanga pamoja na mama yao akiwa chini ya ulinzi wa Polisi,”amesema Mwaibambe

Mwananchi

Hivi Chato si ndio Dubai yetu?
 
Chato nchi ya asali na maziwa,mtu kaua watoto wke kisa maisha magumu,lawama zote kwa john
Kijiji pekee nchini chenye international airport direct flights to/from Amsterdam maisha yanakuwaje magumu? Kiufupi ndio kijiji tajiri zaidi Tanzania.
 
Back
Top Bottom