Uhaba wa Condom za msaada - Corner Bar Afrika Sana

Uhaba wa Condom za msaada - Corner Bar Afrika Sana

Bajeti ya kununua magari kila mwaka ni zaidi ya Bilioni 580 na sasa nasikia inakimbilia Bilioni 900 ,then tunashindwa kujenga Choo na kununua mosquito nets mpaka msaada wa wamarekani.
Hela ya gari ni ya gari Hela ya choo ni choo
 
WhatsApp Image 2025-03-06 at 1.27.19 AM.jpeg
 
Hizo zinafanyiwa kazi zifuatazo:

Kufugia kuku zinafanywa uzio hii ni mikoa yote

Kuzungushia bustani ya maua na mbogamboga

Kuvulia samaki hii niliona mkoa wa Simiyu

Huu uzi upelekwe Wizara ya Hoja Mchanganyiko kule huku watu wakiropoka vibaya watalimwa ban hili jukwaa la Siasa ni 🔥 ban
Nunueni glovu za mikono mkate vile vidole, vina raha yake kama ndimu vile.
 
Yan hadi kondom unataka msaada wakati umenunua malaya kwa 5000, ila condom ya buku unataka msaada? Alietuzoesha misaada wa Africa alitukosea sana
 
Back
Top Bottom