Hela ya gari ni ya gari Hela ya choo ni chooBajeti ya kununua magari kila mwaka ni zaidi ya Bilioni 580 na sasa nasikia inakimbilia Bilioni 900 ,then tunashindwa kujenga Choo na kununua mosquito nets mpaka msaada wa wamarekani.
Tigo ina bei yakeBei rafiki. Haizidi 3,000
Nunueni glovu za mikono mkate vile vidole, vina raha yake kama ndimu vile.Hizo zinafanyiwa kazi zifuatazo:
Kufugia kuku zinafanywa uzio hii ni mikoa yote
Kuzungushia bustani ya maua na mbogamboga
Kuvulia samaki hii niliona mkoa wa Simiyu
Huu uzi upelekwe Wizara ya Hoja Mchanganyiko kule huku watu wakiropoka vibaya watalimwa ban hili jukwaa la Siasa ni 🔥 ban