Uhaba wa umeme nchini: Kwanini serikali ya CCM chini ya Marais wao watatu Kikwete, Magufuli na Samia imeshindwa kupata Suluhu ya kudumu?

Mimi nasema , mama alianza kutusaliti watanzania na Tanesco yenyewe baada tu ya kumuondoa Dr kalemani na kumuweka Makamba.
Siasa zimechangia kwa kiasi kikubwa kupoteza watendaji wazuri ambao wangeweza kumsaidia mama badala yake anajikutwa amezungukwa na madafu koroma.
 
Hamna haja ya Link ila awamu hii sio siri tumepatkana mkuu
hakuna mwaka umeme uilikuwa na afadhali, magu wako huyo hapo

 
Mkuu kuusu mafuta naomba umsikilize huyu mbunge hap

View: https://youtu.be/eS9daUepAEY?si=MJoqyhqsrtLGRjLM
 
Mkuu kuusu mafuta naomba umsikilize huyu mbunge hap

View: https://youtu.be/eS9daUepAEY?si=MJoqyhqsrtLGRjLM
 
Mkuu kuusu mafuta naomba umsikilize huyu mbunge hapa


View: https://youtu.be/eS9daUepAEY?si=MJoqyhqsrtLGRjLM
 

View: https://youtu.be/eS9daUepAEY?si=MJoqyhqsrtLGRjLM
 
Mkuu sikiliza hii clip

View: https://youtu.be/eS9daUepAEY?si=MJoqyhqsrtLGRjLM
 
Mkuu sikiliza hii clip

View: https://youtu.be/eS9daUepAEY?si=MJoqyhqsrtLGRjLM
 
Magufuli hakuwa ni kipenzi cha CCM ndo maana hakuna lolote kumhusu wakamuongelea kwa uchanya....

Umeme na taabu zetu siyo kipaumbele cha CCM, wao wapo bize kustawisha usultani wao na familia zao waendelee kutawala ndo maana miswada yote wanayowasilisha Bungeni kwa silimia 90% inahusu namna ya kudhibiti wananchi ktk mazingira yote. Sheria za kuwabana na kuwawajibisha viongozi wasiofaa zimeminywa na hutekelezwa kwa agizo la ofisi kubwa.

Sasa issue ya umeme endapo CCM watapambania kuitatua wanajua ndo mwisho wao wa kutawala nchi. Lazima matatizo yaendelezwe na kufanyiwa ubunifu wa kuyaendeleza na kuyastawisha kama mtaji wa kisiasa.

Hivi jiulize. Mbunge gani wa CCM aliwahi kusimama kwenye kampeni zake kuzungumzia tatizo la elimu, chakula na sheria kandamizi? Wengi wanasimama kuhubiri kero za maji, umeme, barabara, vizimba vya masoko na mikopo ya Halmashauri.....

Hivyo fahamu kwamba hakuna kiongozi wa CCM atalayekuja na mwarobaini wa matatizo mtambuka ya nchi, atakayethubutu kuwaza ama kujaribu kutibu shida zetu anapewa nafasi kubwa ya exit from our nature ili tuendelee na genge letu la soga za matatizo ya nchi.....


Msanii
 
Mvua zinanyesha kila pembe ya nchi na mafuriko kila kona, je mabwawa hayajajaa maji au maji yanapanda milimani siku hizi? Si tuliambiwa uhaba wa umeme ulitokana na mitambo kutofanyiwa matengenezo na itachukua mwezi?
Baadae Chorus ikabadilika kutoka matengenezo kuwa upungufu wa maji, Mvua zikaanza kunyesha,
Chorus ikabadilika kuwa upungufu umesababishwa na kuongezeka matumizi ya umeme ikilinganishwa na uzalishaji.

NOTE. Kama hatujui chanzo cha tatizo hatuwezi kupata suluhu.
Hatuwezi kutatua matatizo kwa kujifanya kuwa hayapo.
 
Mbona inaonekana kama raisi wa nchi jirani ana akili kutuzidi anafikiria kujenga vinu vya nyuklia kufua umeme rwanda si vibaya kama raisi wetu akaomba ushauri na utaalamu ili na sisi tujenge nyuklia.
Kinachosikitisha wananchi wengi ni kama raisi hili la umeme halimuhusu na hana uzito analolipa unaostahili. Maana yake hata luiongelea hataki kabisa.
Swala hili limekuwa kichaka kikubwa cha wanasiasa kupata fedha angalia Makamba alipokuwa waziri alitafuta supplier wa software toka india kwa bilioni kadhaa.

Umeme unatuumiza sana na maji nayo yameshafika level hiyo yanakuja na kukatwa bila taarifa yoyote.

#Mamatumbuamajipu
 
Kwa sasa Tanesco wanajifanyia wanavyotaka na hamna mtu uko CCM kuanzia Rais mpaka mwenyekiti wa serikali ya mtaa wa kuwahoji na kufatilia nini kinaendelea Tanesco.Imagine Na mvua yote hii TANESCO wanakata umeme saa moja asubuh unarudi saa sita usiku.Then saa nane usiku tena wanakata bila maelezo kwa hiyo ata kama una mashine ya kusaga umeamua ufanye kazi usiku na usiku yenyewe wanakata hamna maelezo utajijua mwenyewe.Afu wanaanda msafara mkubwa sijui wa mwenezi,anazunguka mikoa yote sijui kutatua kero.Kero zipi si mngeanza na hii ya umeme if you are serious???unagawa pesa kwa maskini wawili watatu uko vijijini iyo ni show off tu asilimia 75 ya watz vijijini uko wana hi hizo acheni kuhadaa watu.kama kweli mnataka kutatua kero leteni mwekezaji kwenye umeme tuondokane na giza.stupid CCM
 
We dogo, acha kabisa kujibu vitu usivyovijua wewe, huu mgao umeratibiwa makusudi na mafisadi, wezi na vibaka serikalini.
 
Huyu ananufaika na ufisadi.
 
Hivi mkuu huu umeme ni wa mgao au unakatika tu? Kwa uelewa wangu mie umeme kuwa wa mgao unakuwa unajua kama unakatika muda fulani hadi muda fulani unarudi ila sasa hivi hali haipo hivyo mnaweza kukatiwa asubuhi hadi jioni halafu unarudishwa baada ya lisaa unakatwa ndio hadi kesho hiyo au kutwa nzima unakatika na kurudi sasa huu ni mgao wa aina gani?
 
Kwenye umeme mafuta simlaumu jpm alale mahala pema ila kwenye mambo mengine lolote baya limkute hata kaburi litoke nyufa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…