Uhai wa Taifa Letu unategemea Uwepo wa CCM Madarakani Muda Wote.

Uhai wa Taifa Letu unategemea Uwepo wa CCM Madarakani Muda Wote.

Sijawahi kumuona mtu anayesifisifia Selikali iliyoko madarakani akasema ametanguliza maslai ya Taifa,kwa yapi yanayofanyika ya kusifia kila siku?
Kwani wewe ni kipofu wa akili na macho mpaka ushindwe kuona mambo makubwa yaliyofanywa na CCM kwa Taifa letu?
 
Lini ambapo CCM haijashinda uchaguzi? Ingekuwa haishindi ni vipi ingekuwa inaungwa mkono na mamilioni ya watanzania?

Hakuna anyeiunga mkono chama chenu ukiacha wachumia tumbo ,ukiona mtu yupo kwenye chama chenu jua anafaidika moja kwa moja ,na ndiyo maana wasanii wanaunga mkono chama chenu kwasababu wanafaidika na mikopo pamoja na shows ,masanii akiwa against nyinyi atapata misukosuko sana kama kina roma na ney wanavyonyanyaswa.

Chama chenu labda kilishinda enzi za nyerere kipindi wanachagua Nyerere na kivuli na 2005 tu ,Mkaa hapa naye alipigwa za uso na mrema 95 ,kidogo jar car hire 2005 naweza nikasema alishinda kihalali baada ya hapo ni Wizzy Wizzy ila Nzirankende 2020 ndiyo akaja kuvunja record ya wizzy wa kura wazi wazi baada ya kupigwa za uso 2015.
 
Hakuna anyeiunga mkono chama chenu ukiacha wachumia tumbo ,ukiona mtu yupo kwenye chama chenu jua anafaidika moja kwa moja ,na ndiyo maana wasanii wanaunga mkono chama chenu kwasababu wanafaidika na mikopo pamoja na shows ,masanii akiwa against nyinyi atapata misukosuko sana kama kina roma na ney wanavyonyanyaswa.

Chama chenu labda kilishinda enzi za nyerere kipindi wanachagua Nyerere na kivuli na 2005 tu ,Mkaa hapa naye alipigwa za uso na mrema 95 ,kidogo jar car hire 2005 naweza nikasema alishinda kihalali baada ya hapo ni Wizzy Wizzy ila Nzirankende 2020 ndiyo akaja kuvunja record ya wizzy wa kura wazi wazi baada ya kupigwa za uso 2015.
Hakuna chama chenye uwezo wa kushindana na CCM katika sanduku la kura. Hakuna chama chenye ushawishi kwa watanzania kama ilivyo CCM.si unaona CHADEMA ilikosa hata watu wa kwenda kuandamana na kuishia kumtelekeza Mbowe na familia yake wapambane na hali zao.
 
Hakuna chama chenye uwezo wa kushindana na CCM katika sanduku la kura. Hakuna chama chenye ushawishi kwa watanzania kama ilivyo CCM.si unaona CHADEMA ilikosa hata watu wa kwenda kuandamana na kuishia kumtelekeza Mbowe na familia yake wapambane na hali zao.
Nakubaliana na wewe maana chama chenu kina support ya kilazima ya walimu wote TZ nzima ,Majeshi yote yanilinda chama chenu.
 
Miaka ya nyuma ccm na serikali yake haikuwa inategemea kitetewa mitandaoni, ila imefikia hatua ccm inatafutiwa utetezi hata na wehu. Ni dalili moja ya kutokukubalika.
 
Miaka ya nyuma ccm na serikali yake haikuwa inategemea kitetewa mitandaoni, ila imefikia hatua ccm inatafutiwa utetezi hata na wehu. Ni dalili moja ya kutokukubalika.
Na ikikubali mgombea huru na baadhi ya marekebisho kwenye katiba Itakuwa kama KANU!
 
Ndugu zangu Watanzania,

Ni lazima ifike wakati tukubaliane na ukweli mchungu ya kuwa CCM ndio Moyo wa Taifa letu,ndio Mapafu ya Taifa ,ndio damu ya Taifa na ndio OKSIJENI ya Taifa letu. Hakuna amani wala utulivu wala umoja wala mshikamano wala masikilizano wala upendo wala kuzungumza lugha moja pasipo uwepo wa CCM Madarakani.

Pasipo CCM hakuna amani wala utulivu ,hakuna mipango wala Dira kwa Taifa letu,hakuna kesho iliyo njema na yenye matumaini pasipo uwepo wa CCM Madarakani. Ni CCM pekee yenye uwezo wa kuliongoza na kulivusha Taifa letu katika nyakati ngumu,ni CCM pekee yenye uwezo wa kuwaunganisha watanzania wa Dini zote,rangi zote,jinsia zote,makabila yote na wa kanda zote.ni CCM pekee yenye uwezo wa kuwaletea pamoja watu wa rika zote.

Ndio maana ndani ya CCM na serikali yake utawakuta viongozi kutoka Dini zote, makabila yote,rika zote,makundi yote,jinsia zote na wenye kila aina ya Elimu. Kila mmoja ndani ya CCM anayo nafasi sawa na mwanachama mwingine.Ndio maana unaweza kuwa kiongozi ndani ya CCM hata kama wazazi wako hawakuwa viongozi.kwa sababu kinachoangaliwa ndani ya CCM ni uwezo wa mtu kiuongozi,sifa na uwezo wa kumudu majukumu na kukubalika kwa watu.

Ni CCM pekee yenye uchungu na Maisha ya watanzania na Taifa letu kwa ujumla wake. Ni CCM pekee yenye uwezo wa kumsikiliza kila mtu,kupokea maoni na mawazo ya kila mtu, kumvumilia kila mtu pasipo kumbagua mtu. Ndio maana wapo wengine ndani ya CCM unaweza kuhisi ni wapinzani au watahamia upinzani kesho ,lakini huwezi ukaona wakifukuzwa chamani.

Ni CCM pekee yenye kujiendesha kitaasisi .tofauti na vyama vingine kama CHADEMA. ambavyo vimewekwa mifukoni mwa mtu mmoja tu aliyeamua kujimilikisha chama Utafikiri kitega uchumi cha Familia .na kwamba ni yeye tu mwenye akili kuliko wanachama wengine wote na kwamba wengine hawana akili na ni mambumbumbu wa uongozi na hawana haki ya kuongoza chama.

Embu jaribu kuangalia Ingetokea CHADEMA ipo madarakani? Unafikiri nini kingetokea? Kwanza wangewagawa sana watanzania na kuwabagua.ndio sababu ya sera yao ya Majimbo,pili wangeleta ukabila sana hapa nchini nakuona makabila fulani kutoka ukanda fulani ni bora zaidi na yenye kupaswa kupewa nafasi za juu za uongozi. na kwamba makabila mengine kutoka kanda zingine ni washamba tu wanaopaswa kuongozwa na kuamuliwa kwa kila kitu.

Wangekuwa wamelipasua na kulisambaratisha kabisa Taifa. Kusingekuwa na habari za Muungano wala Umoja wa kitaifa. Ni muhimu sana watanzania kuendelea Kuiweka CCM madarakani na kuendelea kuiamini .kwa sababu imekuwa na usikivu, unyenyekevu na kujali Maisha ya watu pamoja na kutanguliza mbele masilahi ya Taifa letu na ustawi wa wananchi.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Surat Al-Imran (3:26):"Sema:
'Ewe Mwenyezi Mungu, Mfalme wa Ufalme! Unampa Ufalme umtakaye, na unamnyang'anya Ufalme umtakaye; na unamwinua umtakaye, na unamshusha umtakaye. Haki iko mikononi Mwako, hakika Wewe ni Muweza wa kila kitu

.'"Aya hii inaelezea wazi kwamba Allah ndiye Mfalme wa falme zote na ndiye anayeweza kumpa au kumnyang'anya mamlaka yoyote. Hii inadhihirisha kwamba uongozi ni kutokana na uamuzi wa Allah.Surat Al-Baqarah (2:247):
"Na prophet wao akawaambia: 'Hakika Mwenyezi Mungu amewachagua Sauli kuwa mfalme juu yenu.' Wakasema: 'Je, atakuwa na mamlaka juu yetu, na sisi tuna nguvu zaidi kuliko yeye?'"Hapa, Qur'an inaonyesha jinsi Allah alivyowachagua viongozi kwa ajili ya watu wake, akionyesha kwamba uongozi ni mpango wa Allah.
 
Nakubaliana na wewe maana chama chenu kina support ya kilazima ya walimu wote TZ nzima ,Majeshi yote yanilinda chama chenu.
Nenda na wewe uwalazimishe wakuungeni mkono.unachopaswa kufahamu ni kuwa watu wanaipenda CCM kwa hiyari na kwa upendo wao.
 
"LAW 4: Always Say Less Than Necessary. When you are trying to impress people with words, the more you say, the more common you appear, and the less in control. Even if you are saying something banal, it will seem original if you make it vague, open-ended, and sphinxlike. Powerful people impress and intimidate by saying less. The more you say, the more likely you are to say something foolish.” ―Robert Greene, The 48 Laws of Power
 
Miaka ya nyuma ccm na serikali yake haikuwa inategemea kitetewa mitandaoni, ila imefikia hatua ccm inatafutiwa utetezi hata na wehu. Ni dalili moja ya kutokukubalika.
CCM inakubalika kila mahali na kusemewa kila sehemu
 
"LAW 4: Always Say Less Than Necessary. When you are trying to impress people with words, the more you say, the more common you appear, and the less in control. Even if you are saying something banal, it will seem original if you make it vague, open-ended, and sphinxlike. Powerful people impress and intimidate by saying less. The more you say, the more likely you are to say something foolish.” ―Robert Greene, The 48 Laws of Power
Pambaneni na CHADEMA yenu huko inayoendelea kukimbiwa na watu.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Ni lazima ifike wakati tukubaliane na ukweli mchungu ya kuwa CCM ndio Moyo wa Taifa letu,ndio Mapafu ya Taifa ,ndio damu ya Taifa na ndio OKSIJENI ya Taifa letu. Hakuna amani wala utulivu wala umoja wala mshikamano wala masikilizano wala upendo wala kuzungumza lugha moja pasipo uwepo wa CCM Madarakani.

Pasipo CCM hakuna amani wala utulivu ,hakuna mipango wala Dira kwa Taifa letu,hakuna kesho iliyo njema na yenye matumaini pasipo uwepo wa CCM Madarakani. Ni CCM pekee yenye uwezo wa kuliongoza na kulivusha Taifa letu katika nyakati ngumu,ni CCM pekee yenye uwezo wa kuwaunganisha watanzania wa Dini zote,rangi zote,jinsia zote,makabila yote na wa kanda zote.ni CCM pekee yenye uwezo wa kuwaletea pamoja watu wa rika zote.

Ndio maana ndani ya CCM na serikali yake utawakuta viongozi kutoka Dini zote, makabila yote,rika zote,makundi yote,jinsia zote na wenye kila aina ya Elimu. Kila mmoja ndani ya CCM anayo nafasi sawa na mwanachama mwingine.Ndio maana unaweza kuwa kiongozi ndani ya CCM hata kama wazazi wako hawakuwa viongozi.kwa sababu kinachoangaliwa ndani ya CCM ni uwezo wa mtu kiuongozi,sifa na uwezo wa kumudu majukumu na kukubalika kwa watu.

Ni CCM pekee yenye uchungu na Maisha ya watanzania na Taifa letu kwa ujumla wake. Ni CCM pekee yenye uwezo wa kumsikiliza kila mtu,kupokea maoni na mawazo ya kila mtu, kumvumilia kila mtu pasipo kumbagua mtu. Ndio maana wapo wengine ndani ya CCM unaweza kuhisi ni wapinzani au watahamia upinzani kesho ,lakini huwezi ukaona wakifukuzwa chamani.

Ni CCM pekee yenye kujiendesha kitaasisi .tofauti na vyama vingine kama CHADEMA. ambavyo vimewekwa mifukoni mwa mtu mmoja tu aliyeamua kujimilikisha chama Utafikiri kitega uchumi cha Familia .na kwamba ni yeye tu mwenye akili kuliko wanachama wengine wote na kwamba wengine hawana akili na ni mambumbumbu wa uongozi na hawana haki ya kuongoza chama.

Embu jaribu kuangalia Ingetokea CHADEMA ipo madarakani? Unafikiri nini kingetokea? Kwanza wangewagawa sana watanzania na kuwabagua.ndio sababu ya sera yao ya Majimbo,pili wangeleta ukabila sana hapa nchini nakuona makabila fulani kutoka ukanda fulani ni bora zaidi na yenye kupaswa kupewa nafasi za juu za uongozi. na kwamba makabila mengine kutoka kanda zingine ni washamba tu wanaopaswa kuongozwa na kuamuliwa kwa kila kitu.

Wangekuwa wamelipasua na kulisambaratisha kabisa Taifa. Kusingekuwa na habari za Muungano wala Umoja wa kitaifa. Ni muhimu sana watanzania kuendelea Kuiweka CCM madarakani na kuendelea kuiamini .kwa sababu imekuwa na usikivu, unyenyekevu na kujali Maisha ya watu pamoja na kutanguliza mbele masilahi ya Taifa letu na ustawi wa wananchi.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Utakuwa na laana si bure kwa kufuru ya kiasi hicho. Pole sana, wapo waliosema hii nchi bila wao haitakuwepo, yupo Mwamba wa mbinguni alikuwa anacheka tu, kufumba na kufumbua tukajikuta kwa mara ya Kwanza kwa mizaha ya ccm, tunaye binti kiziwi, ambaye hata wao wenye çcm yao walibaki midomo wazi.
 
Back
Top Bottom