Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaelewa niniMimi.
Hoja hupingwa kwa hoja na siyo VirojaAkili Yako finyu sana
Mbona mlishindwa kuonyesha huo moto jana?Shawishi mapendekezo ya tume ya Warioba yaanze uone MOTO !
Naelewa kuwa wewe huna akiliUnaelewa nini
Unachokitafuta utakipata muda siyo mrefuNaelewa kuwa wewe huna akili
Kwanini kama una uwezo na ubavu hukuandamana jana na badala yake ukaenda kujifungia uvunguni?Unachokitafuta utakipata muda siyo mrefu
MoTo ulionyeshwa hukuona police hiyo Jana?Uoga wa CCM!Mbona mlishindwa kuonyesha huo moto jana?
Kwanini hukuingia barabarani kuandamana?MoTo ulionyeshwa hukuona police hiyo Jana?Uoga wa CCM!
Nimesema CCM.au wewe umesomaje ndugu yangu.Ni sawa na kusema uhai wa Rwanda unategemea Kagame, Uganda M7, Korea Kaskazini Kim Jong Un. Hata Kenya enzi za KANU walifikiri hivi hivi. Mawazo mgando!
Hata huko kama hao.Nimesema CCM.au wewe umesomaje ndugu yangu.
lazima iwe barabarani hata uvunguni tunaandamana,kuujulisha umma,ndio maana mkaomba polisi,sisi tuliwataarifu polisi ni maandamano ya Amani na Maombolezo ya Watu waliotekwa,Angetekwa mjomba wako,ungechekelea tuu wewe!Kwanini hukuingia barabarani kuandamana?
Ccm imebaki kubebwa na serikali tu lakini ukweli ni kwamba ccm nje ya dola ni kama TLP tu. Hakina wanachama wa hiari, wengi ni wale wanaotafuta chochote kitu.Na ikikubali mgombea huru na baadhi ya marekebisho kwenye katiba Itakuwa kama KANU!
CCM ni chama imara na chenye kuaminika na kuaminiwa na watanzaniaCcm imebaki kubebwa na serikali tu lakini ukweli ni kwamba ccm nje ya dola ni kama TLP tu. Hakina wanachama wa hiari, wengi ni wale wanaotafuta chochote kitu.
Mpuuzi wewe, aliyekamatwa Kinondoni Manyanya ni nani kwa muda wa masaa mawili?Kwanini kama una uwezo na ubavu hukuandamana jana na badala yake ukaenda kujifungia uvunguni?
Hakuna aliyekamatwa hapo maana waliokamatwa wote ninayo majina yao na wala lako halipo.Mpuuzi wewe, aliyekamatwa Kinondoni Manyanya ni nani kwa muda wa masaa mawili?
Ndiyo maana huwa nakwambia huna akili, jina la Nicole lipo hapo?Hakuna aliyekamatwa hapo maana waliokamatwa wote ninayo majina yao na wala lako halipo.