Tetesi: Uhakiki: Maprofesa UDSM washindwa kuwasilisha vyeti vya sekondari,wawa wakali

Tetesi: Uhakiki: Maprofesa UDSM washindwa kuwasilisha vyeti vya sekondari,wawa wakali

Wakati zoezi la kuhakiki vyeti vya watumishi wa umma nchini likiendelea,kizungumkuti kimejitokeza Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Taarifa zitakazo sifa zinadokeza kuwa Maprofesa na Wahadhiri waandamizi wengi wameshindwa kuwasilisha vyeti
vyao vya sekondari:kidato cha nne na cha sita.
Taarifa zinaonesha kuwa Wahadhiri hao wametoa hoja,wakiwa wamecharuka,kuwa
hawakuajiriwa kwa vyeti vya sekondari. Wamedai kuwa vyeti vyao vya Shahada,Stashahada na Astashahada vinatosha na kutisha. Wahadhiri hao,taarifa
zinasema,wamekubaliwa kuhakikiwa kwa vyeti walivyoviwasilisha,bila ya vya sekondari.
Mzee Tupatupa wa Lumumba
(kwasasa Dodoma)

Waanze na Wabunge wote kama ni kweli
 
Wakati zoezi la kuhakiki vyeti vya watumishi wa umma nchini likiendelea,kizungumkuti kimejitokeza Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Taarifa zitakazo sifa zinadokeza kuwa Maprofesa na Wahadhiri waandamizi wengi wameshindwa kuwasilisha vyeti vyao vya sekondari:kidato cha nne na cha sita.

Taarifa zinaonesha kuwa Wahadhiri hao wametoa hoja,wakiwa wamecharuka, kuwa hawakuajiriwa kwa vyeti vya sekondari. Wamedai kuwa vyeti vyao vya Shahada,Stashahada na Astashahada vinatosha na kutisha. Wahadhiri hao,taarifa zinasema,wamekubaliwa kuhakikiwa kwa vyeti walivyoviwasilisha,bila ya vya sekondari.

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)
hii kazi kweli....nina hakika kuna maprofesa wengi makanjanja. vipi dr bana ameishahakikiwa au amelala mbele?
 
Anayehakiki wenzake
Je anayehakiki amehakikiwa? Zoezi hili ni zuri sana, ila linatakiwa lianzie paleee Bungeni. Na lifanyike kwa uwazi na live ili iwe mfano kwa Taasisi zingine za Serikali.
 
Kwanza aliyeanzisha hii mada sijui alikuwa ana maana gani. Ina maana hizo taasisi zilizowapa hizo PhD hazikujali vigezo vyao vya kuingilia? Isitoshe, anajua mfumo wa elimu enzi hizo ulikuwaje hapa Tanzania? Msipende " backward extrapolation" kwa kuwa sifa na vigezo vinabadilika kulingana na wakati. Kwanza hawa watu uwezo wao ulikuwa mkubwa sana kimasomo. Unawajua walimu wa UPE wewe? Unajua uwezo wao?

Jiwe gizan
 
Taarifa zinaonesha kuwa Wahadhiri hao wametoa hoja,wakiwa wamecharuka, kuwa hawakuajiriwa kwa vyeti vya sekondari. Wamedai kuwa vyeti vyao vya Shahada,Stashahada na Astashahada vinatosha na kutisha. Wahadhiri hao,taarifa zinasema,wamekubaliwa kuhakikiwa kwa vyeti walivyoviwasilisha,bila ya vya sekondari.
Wana soko kubwa la ajira hata wakiwadindia hawawezi kuwafanya kitu.
 
Mimi unaweza kunitoa uhai ukiomba nikuonyeshe cheti changu cha digrii ya kwanza sembuse vya sekondari maana naamini cha digrii ya pili kinatosha.
 
Wakati zoezi la kuhakiki vyeti vya watumishi wa umma nchini likiendelea,kizungumkuti kimejitokeza Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Taarifa zitakazo sifa zinadokeza kuwa Maprofesa na Wahadhiri waandamizi wengi wameshindwa kuwasilisha vyeti vyao vya sekondari:kidato cha nne na cha sita.

Taarifa zinaonesha kuwa Wahadhiri hao wametoa hoja,wakiwa wamecharuka, kuwa hawakuajiriwa kwa vyeti vya sekondari. Wamedai kuwa vyeti vyao vya Shahada,Stashahada na Astashahada vinatosha na kutisha. Wahadhiri hao,taarifa zinasema,wamekubaliwa kuhakikiwa kwa vyeti walivyoviwasilisha,bila ya vya sekondari.

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)
Tayari hapo ni ututa kujumlisha na kutoa jipu lime guswa penye maumivu.
 
Dah aisee yaani kuhakiki imekuwa ngumu sana kumeza
 
Wakati zoezi la kuhakiki vyeti vya watumishi wa umma nchini likiendelea,kizungumkuti kimejitokeza Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Taarifa zitakazo sifa zinadokeza kuwa Maprofesa na Wahadhiri waandamizi wengi wameshindwa kuwasilisha vyeti vyao vya sekondari:kidato cha nne na cha sita.

Taarifa zinaonesha kuwa Wahadhiri hao wametoa hoja,wakiwa wamecharuka, kuwa hawakuajiriwa kwa vyeti vya sekondari. Wamedai kuwa vyeti vyao vya Shahada,Stashahada na Astashahada vinatosha na kutisha. Wahadhiri hao,taarifa zinasema,wamekubaliwa kuhakikiwa kwa vyeti walivyoviwasilisha,bila ya vya sekondari.

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)

Ukiangalia CV za maprofessor wengi hutakuta wameoredhesha vyeti vyao vya seconday (form 4 & 6). Ni kwamba hata kwenye kutafuta kazi za muda mfupi huwa haviandikwi hivyo wengi hawafikirii kwamba ni sawa sawa kuhakiki hivi vyeti na wengine hata hawajui viko wapi.
 
Ukitaka kuwapata vizuri cheti siyo tija adimission number ya uanafunzi ya shule ya msingi
Hahahahaha Admission number ya uanafunzi ya shule ya msingi hakuna atakaye pona labda darasa la Kwanza la mwaka huu.
Cheti cha la saba tu ukiambiwa upeleke unaweka picha ya sasa au uweki picha.
 
Hivi wataalamu wa IT wameshindwa kuisadia serikali kuachana na haya mambo ya makashabrasha?
 
Hivi wataalamu wa IT wameshindwa kuisadia serikali kuachana na haya mambo ya makashabrasha?
Unataka twende tukalazimishe au? Hivi watu wakiwa na nywele ndefu unamlaumu kinyozi kuwa kwa nini hajawanyoa?
 
Wengine wanatumia vyeti vya watu wengine mpaka wametusua zamani kulikuwa na shule za wazazi na chache sana private kama sio za taasisi za dini. Kuchamba kwingi kunataka kuibua visivoiburika wangewakaushia manake wengine wameungaunga sana na siku hizi vitu vitaishia mitandaoni, by the way mwisho wake unatabilika kuna watu wataumbuka tu.


Shida ni huyo mwenye cheti feki yupo usalama wa taifa na sehemu nyeti unaanzaje kumfukuza?
 
Back
Top Bottom