Mzee Wa Kale Kabisa
JF-Expert Member
- Mar 25, 2018
- 2,621
- 4,322
Nadhani wao wanatakiwa kuhakikisha kuwa wanaempatia passport ni Mtanzania halisi tu... Wanatakiwa ku focus kwenye uraia maana ni hatari sana mtu ambaye sio raia wa nchi X kuwa na pass ya nchi XUleanzisha uzi kichwa chako kibovu, hivi unajua unyeti na gharama yakutengeneza passport1? Ishu za passport si za kukurupuka! Na hakuna nchi duniani inayotegemea pesa kwenye miradi kama ya passport, passport ukitaka kuifanya biashara yataibuka mengi haswa swala la rushwa na urasimu, nawapa kongole kwa wanachokifanya uhamiaji, mnataka passport zipatkane hovyo alafu mkafanye matukio nchi za watu!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Akili za kizeePassport inatakiwa kuheshimiwa,sio maji ya kunywa yale.
Madhumuni ya safari yanawahusu nini?Watakudai uthibitisho wa safari kama utawaambia unaenda kufanya shughuli maalumu - invitation ya mkutano, admission letter ya shule, medical treatment etc. Sina uhakika sana kama kukudai hivyo vitu is to your advantage ili wakupatie passport haraka ama la. Lakini ukiwaambia ninajiandaa kwa mfano kwenda safari binafsi tu hapo Uganda hawatakudai chochote kuhusu safari zaidi ya those other key supporting documents. Nina uhakika 200% na hiki ninachokisema.
All in all, passport hi haki ya kila raia na hakuna evidence kuwa kuna Mtanzania yeyote amewahi kunyimwa passport kwa kushindwa tu kuelezea vizuri madhumuni ya safari yake. Kimsingi Uhamiaji wala hawaconcentrate saaana kwenye madhumuni ya safari, zaidi huwa wanataka uthibitisho wa uraia na mara nyingi wale wanaotokea mipakani (Kigoma, Ngara etc) usumbufu wake huwa ni mkubwa zaidi.
Hawana mechanism ya kujua mtanzania halisi na hasio halisi zaidi ya usumbufu kwa raia kweli mtu anakuomba vyeti vya wazazi wako walio zaliwa kabla ya uhuru wa Tanzania kweli vitapatikana manaake mtu ambaye hana wazazi/au walezi, hana haki ya kupata passport? Ni usumbufu tu hi nchi inaongozwa kisiasa kila jamboNadhani wao wanatakiwa kuhakikisha kuwa wanaempatia passport ni Mtanzania halisi tu... Wanatakiwa ku focus kwenye uraia maana ni hatari sana mtu ambaye sio raia wa nchi X kuwa na pass ya nchi X
Hivi ni sahihi Uhamiaji kutoa Passport mpya laki mbili kwenye nchi yenye watu milioni 55?
Nchi za wenzetu mfano Marekani passport na visa ni chanzo kikubwa cha mapato ya serikali.
Mfano uhamiaji wangepewa lengo mfano la kutoa Passport milioni moja tu kwa mwezi kwa bei ya Passport ya shilingi laki moja na nusu serikali ingeingiza pato la shilingi bilioni 150 ambazo zingesaidia mno nchi.
Kikwazo kikubwa cha watu kupata Passport ni kuwa Afisa Passport hatakiwi kumuuliza mtu anaenda wapi kufanya nini akitaka kumpa. Hilo atapambana nalo Ofisi ya Ubalozi anakoenda akienda kuomba Visa. Wewe kila Mtanzania mpe passport mengine mwachie akapambane na hali yake mbele kwa mbele
Passport ni kitambulisho tu cha kawaida kama cha NIDA tofaiti iliyopo ni kuwa cha NIDA kinatambuliwa ndani ya nchi wakati passport ni kitambulisho cha raia cha Kimataifa .Mtu ruksa kuwa na passport hata kama hasafiri ni kitambulisho chake cha kimataifa.
Mtu anakiwa kuwa na vitambulisho viwili cha NIDA na passport
Uhamiaji wanaona passport kama kitu kikuubwa!
Uleanzisha uzi kichwa chako kibovu, hivi unajua unyeti na gharama yakutengeneza passport1? Ishu za passport si za kukurupuka! Na hakuna nchi duniani inayotegemea pesa kwenye miradi kama ya passport, passport ukitaka kuifanya biashara yataibuka mengi haswa swala la rushwa na urasimu, nawapa kongole kwa wanachokifanya uhamiaji, mnataka passport zipatkane hovyo alafu mkafanye matukio nchi za watu!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sema mimi kuna jambo limenitisha kidogo; Nilipata passport yangu miaka 12 iliyopita. Na by that time nilikuwa under 18, so mlezi wangu ndiye aliyefanya process zote. Tulikuwa na safari ya nje ya nchi then baada ya ile safari sikuwahi kutumia tena ile passport na apparently ilikuja kupotea mwaka 2016. Unfortunately, sikukariri namba ya ile passport (uzembe ofcoz😉) - wala mlezi wangu. Nilitoa taarifa polisi kama kawaida, na taratibu zinataka mtu apeleke tangazo kwenye gazeti la serikali kabla hajapewa nyingine.
Now here comes the issue; mimi nilisahau namba ya passport yangu iliyopotea. Kwa hiyo haiwezekani kutangaza gazetini mpaka niipate namba ya passport. Sehemu pekee ninayoweza kuipata namba ni uhamiaji. Kilichonitisha ni kuwa, uhamiaji pia hawana records zangu kabisa - as if sijawahi kupewa passport at all. Sababu inayotolewa ni moja; mabadiliko ya mfumo, kutoka zile 'za mkono' kuja hizi mpya 'mashine readable'.
Nilipopewa jibu hilo ofisi za uhamiaji mkoani, sikushangaa sana - maana wao walishauri nifike Dar nitasaidiwa. Ishu ni kuwa hata nilipoenda pale mambo ya ndani hawana records zangu!!! I was like,.. WTF 😳🙄😡 Nilicho-notice ni kuwa, mfumo huu mpya hauna taarifa za wamiliki wa passport zile za zamani otherwise uwe ume-upgrade personally.
Mimi ni mzembe bila shaka, lakini kwa hili uhamiaji nao dizaini ni wazembe zaidi yangu!😎
*I stand to be corrected*
Sasa kwa sababu hawana hiyo mechanism, mtu akienda na nationa ID tu inatosha kumpa pass... Mambo mengine wawaachie vyombo vingine!Hawana mechanism ya kujua mtanzania halisi na hasio halisi zaidi ya usumbufu kwa raia kweli mtu anakuomba vyeti vya wazazi wako walio zaliwa kabla ya uhuru wa Tanzania kweli vitapatikana manaake mtu ambaye hana wazazi/au walezi, hana haki ya kupata passport? Ni usumbufu tu hi nchi inaongozwa kisiasa kila jambo
Sent using Jamii Forums mobile app
Haki yako endapo utafuata utaratibu, hayo maswali ni uhamiaji wameweka,ndo taratibu zao na sera zaoMkuu wanaposema hati ya kusafiria ni haki yako wana maanisha nini.....na kwann si kila mtu hatakiwi kuipata ukinijibu haya maswali ntashukuru sana
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hayakuhusu naweza kuitaka hata for prestige tu kuwa Nina passport wewe kinakuuma Nini? It is non of your bussiness.Wewe nipe passport mengine niachie mwenyewe
Hayakuhusu naweza kuitaka hata for prestige tu kuwa Nina passport wewe kinakuuma Nini? It is non of your bussiness.Wewe nipe passport mengine niachie mwenyewe
kwa hiyo nchi zinazotoa passport chap chap ndani ya saa tatu kama rwanda zimejaa terrorists?Hata terrorists wanataka sana passport ndo maaana wanahangaika na passport feki, you think leading people is an easy thing as you just say nipe! Afterall skushangai something is still missing kichwan kwako
wanataka waonekane wako busy while they are busy for nothing kwa kuuliza maswali kama hayoMaswaali meengi " unaenda wapi, kufanya nini, nani kakupa mwaliko, je ni ndugu yako, utakaa siku ngapi, tuone akaunti ya benki una tsh ngapi, ulishawahi kwenda huko, unafanya kazi gani/wapi,? "
kifupi wanakuintarogeti pale... Kaaazi kweli kweli
UJINGA MTUPU KUULIZA MASWALI YA UBALOZINI UNAPOOMBA VISA NI KUPOTEZEANA MUDA TU WA WATU KUWAHI KWENDA KUFANYA MAMBO MENGINEHaki yako endapo utafuata utaratibu, hayo maswali ni uhamiaji wameweka,ndo taratibu zao na sera zao
Sent using Jamii Forums mobile app
kwa hiyo nchi zinazotoa passport chap chap ndani ya saa tatu kama rwanda zimejaa terrorists?
Kweli kabisawanataka waonekane wako busy while they are busy for nothing kwa kuuliza maswali kama hayo
hayo maswali ni ya ubalozi unapoomba viza sio yao.Yaani mtu anafika jioni anasema leo nimechoka nimefanya kazi kweli kweli kwa kushinda akiuliza maswali ya ubalozini?
Akienda mtaalamu consultant afanye work study uhamiaji kuna watu kibao watapewa retrenchment au redundancy