Uhamiaji Musoma, huyu mama kutoka Burundi angefariki damu yake ingewalilia

Hii nchi Ndugai ni kichaa lakini alisema ukweli kuwa ishauzwa
 
Hujaelewa soma tena uzi

Umeelewa tunacholaumu ni kipi?
 
Umeelewa mada kweli?
Naona hajaelewa mada,na ndiyo maana maelezo yake yako nje ya mada hii!! Inaonekana hata kanuni na taratibu za uhamiaji Tanzania hazijui kabisa, ndiyo maana kabaki kulinganisha na uhamiaji wa Nchi zingine za ki Africa wanavyo wa treat wageni!!
 
Hamjalaumu kuhusu ukamataji, mmelaumu kuhusu nini ?

Kama unakubali kwamba alivyokamatwa ni sawa hapa tunabishania nini cha zaidi ???
Tunalaumu kumtelekeza mtuhumiwa wenu! Je Magereza au police nao wakiwa wanawatelekeza watuhumiwa wao baada ya kupata maradhi au ujauzito hali ingekuwaje unazani!?

Kamata mtuhumiwa wako,hata akipata tatizo la ki afya mpe huduma kwanza,alafu akisha pona waweza endelea na mashitaka yako!!
 
mmh maskini waafrika hatupendani. Hope Mama na mtoto watatoka salama hospital
huwa napata kigugumizi unakuta mkuu wa polisi anakaa front page kutangaza kakamata wahamiaji haramu 30 au 40 si upuuzi huo.
wale wanapita tu waende wanakokwenda si muwaache tu
 
Acha upuuzi wako, mambo mengine unatumia akili tuu sio kujifanya unafuata sheria za kufikirika na unauliza passport wakati wenye nazo hata one percent ya nchi nzima hawafiki
 
System ya majambazi tu!
 
Na kukimbia kwa wahusika unaitaje hiyo tabia!
 
Mimi napendekeza Uhamiaji na Polisi zifutwe, Jwtz ifanye majukumu yao!!! Gademiti,!!
 
Acha upuuzi wako, mambo mengine unatumia akili tuu sio kujifanya unafuata sheria za kufikirika na unauliza passport wakati wenye nazo hata one percent ya nchi nzima hawafiki
Mimi napendekeza Uhamiaji na Polisi zifutwe tuanze upya na chombo kingine !!
 
Tunalaumu kumtelekeza mtuhumiwa wenu!
Ubalozi wa Burundi ulipaswa kuja kumhudumia subject alien wao…

Tanzanian constitution does not guarantee civil protections for non citizen aliens…

Boarder patrol agents did everything by the book…
 
Kule Kigoma Kuna mzee mmoja alimwita Mmbwa wake imagiration sijui ndivyo inavyoandikwa, Basi kila akipita pale mpakani anamwita hivyo Basi wake jamaa wa uhamiaji wakampiga risasi yule mmbwa.
 
Ubalozi wa Burundi ulipaswa kuja kumhudumia subject alien wao…

Tanzanian constitution does not guarantee civil protections for non citizen aliens…

Boarder patrol agents did everything by the book…
Je muliwaasiliana na huo Ubalozi wa Burundi!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…