Uhamiaji naomba muwamulike Wanaijeria walio Tanzania

Kwanini wakuulize wakati Passport yaeleza yote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Si wapopo tu waCongoman wamejaa mtaani,wanajiita wabembe wa kibirizi

Nchi imefunguliwa acheni watu tutafute pesa,chamsingi hatupori mali za watu kama wazawa
 
Yule mama mkuu wa Uhamiaji imemshinda anachekacheka tu. hawa wanaigeria na wakongo sio wa kuwachekea hawa wanatakiwa wawasake usiku apàrtment kwa apartment hasa hasa tabata na mtaa wa Agrey k/koo, wanaingia na gia ya kuwaoa mabinti wa kibogo.
 
Yule mama mkuu wa Uhamiaji imemshinda anachekacheka tu. hawa wanaigeria na wakongo sio wa kuwachekea hawa wanatakiwa wawasake usiku apàrtment kwa apartment hasa hasa tabata na mtaa wa Agrey k/koo, wanaingia na gia ya kuwaoa mabinti wa kibogo.
Wameingia kihalali au wamezamia??
 
Mikoa ya Pembezoni haswa Kigoma wamejazana Raia wa kigeni amabo hawana vibali vya kufanya kazi,
Kuna wimbi la raia wa Burundi na DRC.
ni vyema mikoa ya mipakani ikapewa uangalizi wa hali ya Juuuuu maana wahalifu hugeuza mikoa hiyo kuwa chimbo.
Rukwa,katavi,Kigoma,Kagera na Tabora kuna lundo la wakongo,warundi na wanyarwanda.
 
Yule mama mkuu wa Uhamiaji imemshinda anachekacheka tu. hawa wanaigeria na wakongo sio wa kuwachekea hawa wanatakiwa wawasake usiku apàrtment kwa apartment hasa hasa tabata na mtaa wa Agrey k/koo, wanaingia na gia ya kuwaoa mabinti wa kibogo.
Vanessa Mdee
 
Mpopo wanini mie Kaka zetu wananitosha..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wapopo wee wako on [emoji91][emoji91].
 
Wanatuletea Tabia za ajabu ajabu Sana wageni..ndio Mana msomali hataki ndabo za wageni ..mimtu Ina kukhanith kwenye ardhi yako...
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kabisaaaa.
 
Si wapopo tu waCongoman wamejaa mtaani,wanajiita wabembe wa kibirizi

Nchi imefunguliwa acheni watu tutafute pesa,chamsingi hatupori mali za watu kama wazawa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kati ya idara za hovyo hapa nchini ni uhamiaji na sijui kwanini haijamufuliwa.Polisi ina nafuu kuliko uhamiaji.hovyo kabisa.wahindi wapakistani wengi sana wanaishi kwenye magodown huko vingunguti na uhamiaji wanajifanya hawaoni.Hao wanaigeria wanafahamika uhamiaji ni mwendo wa rushwa tu.
 
Mnaijeria rudi kwenu...
Usiwe mkali wenyewe wakikutimua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…