Unatumia mifano batili kujiaminisha jambo, kweli ni haki yako!.Boss iko hivi, kwa huku Afrika, kiongozi au chama kikikaa madarakani zaidi ya miaka 10 mfululizo, chaguzi nyingine zinazofuatia hutawaliwa na vitimbi, uhuni, ulaghai na ujanja ujanja ili kubaki madarakani. Ushahidi wa haya upo bayana. Inshort chaguzi chini ya mazingira hayo huwa ni kufuata formalities tu na sio zaidi ya hapo.
Tofauti ya Mbowe na hao akina Gaddafi ni kutokuwa na dola tu, lakini sioni tofauti yoyote nje ya hao.
Mbowe anaweza kukaa madarakani hata miaka 100 hapo CDM kwa kuchaguliwa na wanachama kama usemavyo, lakini usitegemee ubora tena toka kwake. Hiki ndio ninachoamini, hivyo utanisemehe kutokuwa upande unaoamini, na ninaheshimu unachoamini pia.
Heri umemwambiaNaheshimu maoni yako lakini hujui ukweli na huzijui vizuri siasa au yawezekana nyinyi ni wale wafuasi wa moyoni wa Dr Slaa ndio wana imani kama hizi.
Pamoja na wizi wote uliofanyika mwaka 2015 kama siyo system kuivunja Ukawa na kumnyofowa Dr Slaa na Ibrahim Lipumba Ccm ilikuwa imeshaelekezwa kibra inachinjwa.
Walichokuwa wanahitaji watu ni kuiondowa kwanza Ccm ibaki historian tu kama KANU.
Mzee ulitaka Chama kianhukie kwa Cecil Mwambe au Sumaye?
Chama kingekuwa wapi kwasasa! binafsi naheshimu mawazo yako lkn msijifananishe na ccm kujenga Chama Cha upinzani kwenye ncha za Africa na Tanzania yenye vijana wanaowaza kununulika Refer Katambi na Silinde sio jambo dogo! Lazima kujilidhisha nani unamuachia Chama ... hata hivyo Mbowe alishatangaza baada ya kipindi hiki kuisha hatagombea
Unatumia mifano batili kujiaminisha jambo, kweli nI haki yako!.
Haya ndio huwa majibu mepesi yanayotolewa na walioishiwa hoja.Nilichogundua wanaoalamikia ujio wa Lowasa nakutaka Mbowe aondoke ni wadau wa Slaa
Hapana hoja yangu sikwamba hakuna mtu mwingine huko Chadema lkn hatuwezi kuwaiga ccm Mbowe huu ni msimu wake wa mwisho mwenyewe alishasema lkn ukweli unabaki tu kwamba kwa uchaguzi uliopita angekuwa Sumaye au Mwambe naamini muda huu tungekuwa tunajadili mengineMkuu hata CCM wanasema wanajua wamechokwa, ila hawaoni chama cha kukiachia nchi. Je unakubaliana na hayo maneno yao? Sasa hamashia hayo kwa Mbowe, ni kweli hakuna mwingine huko CDM anayeweza cheo hicho?
Na kama ni kweli CDM hakuna anayeweza kuwa mwenyekiti zaidi ya Mbowe kitu ambacho si kweli, basi hicho chama ni cha kukiangalia kwa umakini mkubwa.
Soma tena hoja yote uelewe nilichoandika mimi situmii utumbo kufikiriHaya ndio huwa majibu mepesi yanayotolewa na walioishiwa hoja.
Hoja iko wapi!Soma tena hoja yote uelewe nilichoandika mimi situmii utumbo kufikiri
Hapana hoja yangu sikwamba hakuna mtu mwingine huko Chadema lkn hatuwezi kuwaiga ccm Mbowe huu ni msimu wake wa mwisho mwenyewe alishasema
Hapana hoja yangu sikwamba hakuna mtu mwingine huko Chadema lkn hatuwezi kuwaiga ccm Mbowe huu ni msimu wake wa mwisho mwenyewe alishasema lkn ukweli unabaki tu kwamba kwa uchaguzi uliopita angekuwa Sumaye au Mwambe naamini muda huu tungekuwa tunajadili mengine
ombi langu tuwasaidie Viongozi wetu tuwashauri inapobidi lkn tusiwakatishe tamaa mpaka sasa Chadema imekuwa taasisi kubwa mtu anaechiwa dhamana lazima aeleweke!
mtu kama Mnyika alikuwa kwenye target yamanunuzi lkn aliweka msimamo na leo ni Katibu mkuu wa Chama sasa watu wa namna ile ukiwapa dhamana yakuongoza Chama unahakika kiko kwenye mikono salama
Hii picha hua inanifurahishaga sana...
Wakati kama huu mnapofanya mazungumzo na Ccm, Mbowe ana umuhimu wake.Mambo haya na madhaifu mengine kadhaa ndio yanapelekea mimi kutaka Mbowe akae pembeni kama mwenyekiti ili aingie mtu mpya na mbinu mpya, kwani kwa sasa ni sahihi kabisa kwake kukaa pembeni
Wewe hujaona tofauti kati ya Magufuli na Salimia, hata kama lengo lao ni moja?Kwako ni mazingira yapi ya kisiasa yaliyobadilika yanayomfanya Mbowe asifae kuendelea kuwa mwenyekiti wa CDM?
Nina wasiwasi wengi wenu mmeichoka sura ya Mbowe, lakini kwakuwa hamuwezi kusema wazi, basi mnatafuta sababu zisizo na mashiko ili kutimiza malengo yenu.
Nawashangaa, iweje kama tatizo la Chadema ni kusuasua kutoa taarifa kwa wakati, badala ya kusema Mbowe abadilishe wasaidizi wake, nyie mnamtaka aondoke, kwani huyo mwenyekiti mpya atakayekuja na wasaidizi wasiokosea mtaotoa sayari ipi? naona nae after some days mtamtaka aondoke!.
NB.
Haya ni mawazo huru, simpigii debe Mbowe wala mwingine yeyote awaye.
Sawa.Sijawahi kuwa na tatizo na unachoamini, hivyo sikuzuii kutoa maoni yako dhidi ya ninachokiamini.
Ngoja kwanza tumalize ya Novemba, baada ya hapo mwanga utakuwa umeondoa giza.Aisee unaweza dadavua Hilo tatizo mkuu
Swali la kipumbavu lisilohitaji jibu la heshima.Mtaani kwako umefanya nini hata uwaze ya Mbowe
😆😆 Huyo mangi anastahili nishani ya ujasiri.Hii picha hua inanifurahishaga sana...