dolevaby
JF-Expert Member
- Aug 25, 2013
- 12,958
- 9,516
Mzee ulitaka Chama kianhukie kwa Cecil Mwambe au Sumaye?
Chama kingekuwa wapi kwasasa! binafsi naheshimu mawazo yako lkn msijifananishe na ccm kujenga Chama Cha upinzani kwenye ncha za Africa na Tanzania yenye vijana wanaowaza kununulika Refer Katambi na Silinde sio jambo dogo! Lazima kujilidhisha nani unamuachia Chama ... hata hivyo Mbowe alishatangaza baada ya kipindi hiki kuisha hatagombea
Chama kingekuwa wapi kwasasa! binafsi naheshimu mawazo yako lkn msijifananishe na ccm kujenga Chama Cha upinzani kwenye ncha za Africa na Tanzania yenye vijana wanaowaza kununulika Refer Katambi na Silinde sio jambo dogo! Lazima kujilidhisha nani unamuachia Chama ... hata hivyo Mbowe alishatangaza baada ya kipindi hiki kuisha hatagombea