Uharibifu wa viti zaidi ya 200 uwanja wa Taifa DSM wakati wa mchezo wa Yanga na Simba

Nasikia leo mnafanya sherehe ya kutoa sare na WAKIMATAIFA WENYE SOKA LAO BONGO .........Hongereni, angalau soka lenu linaanza kuja kwa mbaaaaaaali.
Bahati yenu mmebebwa kama kawaida yenu lakini mkwara wa mashabiki umemtisha refa asiendelee kuwabeba na mmezidiwa na watu tisa uwanjani mibaba mizima!Hatupendi ujinga sisi
 
Hapa ingetakiwa kila aliyevunja kiti achukuliwe hatua. ..hii ingejenga nidhamu
 
Uhuni Kaanza Malinzi kumpanga mwanachama wa Yanga achezeshe game.
 
Simba inyang'anywe point 6 na icheze mechi 10 bila mashabiki mechi zake za nyumbani, huu ni upumbavu wa hali ya juu!!
Mmeona la mkono halitoshi mnataka point za mezani. Sukuhizi hazipogi hizo
 
Mimi nawaomba Simba siku nyingine tujitahidi hata kungoa zaidi ya nusu labda tutasikilizwa tumelalamika vyavkutosha sisi ni wa kuonewa tu...au sisi ndiyo watakatifu sana huyo refa siku nyingine angalau apate hata kikofi...
 
Tambwe mtu mbaya sana, kagoli kamoja tu viti kwachukwachu. Siye tulimiminwa 5 na hatukurusha hata chupa. Mjifunze ustaarabu wa matopeni, haya lipeni fine na mabomu juu...
Ustaarabu Chaneta?
 
Kamuulize Mwamuzi anamajibu juu ya povu lako
 
acheni ushamba fuatilieni ligi ya brasil, Argentina au Urusi mtaniambia watu wanachapana mpaka kuuana na wanaharibu uwanja sembuse bongo
Kwahiyo wew unataka uuawe uwanjani sio, hizi akili za akina profesa pumba kabisaa sijui mnazitoa wapi
 
Watu wanakuwa na akili Kama za profesa lipu bhana??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…