omary khamis
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 402
- 77
Duuh wakalipe wa matopen
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa wangemfikiaje wakati tambwe yuko mbali?kilichokaribu ni kitisijui viti viliwaudhi nini. Kufunga afunge Tambwe , hasira iishie kwenye viti. kama vip wangemvunja tambwe basi
Huko kote ni Afrika hii hii.... No wonder....!!!Vurugu Mchezoni zipo Dunia nzima tatizo lako si mfuatiliaji. Egypt watu walilete Usengerema Kama huu watu wakauana, Congo, Ghana kote the same story!
Yanga wehu km wehu wengineNasikia leo mnafanya sherehe ya kutoa sare na WAKIMATAIFA WENYE SOKA LAO BONGO .........Hongereni, angalau soka lenu linaanza kuja kwa mbaaaaaaali.
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha, yanga uwezo wenu upo kwenye kuzimia saa ngapi utakumbuka kung'oa kiti wakati umezimiaHaya majitu hamnazo kweli,mara ngapi refa anafanya ujinga kwa yanga na wala hawakuwahi kufanya huu upuuzi?kuna yule refa mwanamke sitamsahau alichokifanya ila huwezi kukuta mtu wa yanga anafanya upuuzi kama huo,hii timu ni ya watu wasio na akili.
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha, kila mtu ana style yale pale anapofungwa, simba akifungwa watu wanakuwa na nguvu ya kung'oa viti na yanga akifungwa mashabiki huwa wanazimia saa ngapi watapata nguvu ya kuvunja viti!? [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Tambwe mtu mbaya sana, kagoli kamoja tu viti kwachukwachu. Siye tulimiminwa 5 na hatukurusha hata chupa. Mjifunze ustaarabu wa matopeni, haya lipeni fine na mabomu juu...
teh teh umeona ndo njia pekee iyo ya kuifikia simba pale juuSimba inyang'anywe point 6 na icheze mechi 10 bila mashabiki mechi zake za nyumbani, huu ni upumbavu wa hali ya juu!!
Simba waliniudhi waliporudi uwanjani kuendelea na mechi. Wangeondoka tu, wawaache wacheze wenyewe na refa wao!
Mwambieni "MO" ajiandae kufungua benki atuletee pesa za Faini.
Sisi kama TF hatupendagi ujinga.
ndiyo mluchotaka tususie ili mpewe pointi 3 na goli 3 kama mluvyofanya Zanzibar...Simba waliniudhi waliporudi uwanjani kuendelea na mechi. Wangeondoka tu, wawaache wacheze wenyewe na refa wao!
Huko kote ni Afrika hii hii.... No wonder....!!!
Peleka huko, huwezi kuwa mashabiki wa simba hata siku moja, pamoja mi mwenyewe sifurahii aina ya upumbavu wa mashabiki uliofanywa kwa kuvunja viti ila siwezi nikacomment timu yangu ipokwe point 6, tunasitahili adhabu kubwa lakini sio adhabu ya kipuuzi kama unayopendekeza wewe, ukiona sehemu fulani ujinga kama huu hautokei ujue marefa wanachezesha fair playMimi ni simba ila SIHALALISHI ujinga kwa kusema mbona fulani nae anafanya!!
Refa alinitia hasira sana leo kiasi kwamba ningekuwa sniper hakika ningekula nae sahani mojaSimba waliniudhi waliporudi uwanjani kuendelea na mechi. Wangeondoka tu, wawaache wacheze wenyewe na refa wao!
Wameshazoea kubebwa sana ndo maana wanajiita wakimataifa halafu wanaishia kuwa watalii wa viwanja vya mpira barani Africa, kule hakuna kubebwa maana hawatakagi ujinga ujingateh teh umeona ndo njia pekee iyo ya kuifikia simba pale juu