Kero yako hapo ni ipi?Wakuu,
Yaani mpaka mtu anaandika utafikiri anamuita mtu mwingine mheshimiwa, kumbe anijiita mwenyewe, mhehimiwa mimina msije kujidai hapa oooh wanaandikiwa blaa blaa, kwani hawapitii kuondoa hizo aibu ndogo ndogo?
Uoga huu ulitakiwa kuwa kwenye uwajibikaji, waogope mno kutokuwajibika kwa wananchi, tuna watu useless wanaokuja kuita Rais Mungu!
Wananchi amkeni turudishe mambo sawa, sisi ndio serikali!
Alitenguliwa ubunge? Huenda kuna kitu unakikosa katika hoja yakoWakuu,
Yaani mpaka mtu anaandika utafikiri anamuita mtu mwingine mheshimiwa, kumbe anijiita mwenyewe, mhehimiwa mimina msije kujidai hapa oooh wanaandikiwa blaa blaa, kwani hawapitii kuondoa hizo aibu ndogo ndogo?
Uoga huu ulitakiwa kuwa kwenye uwajibikaji, waogope mno kutokuwajibika kwa wananchi, tuna watu useless wanaokuja kuita Rais Mungu!
Wananchi amkeni turudishe mambo sawa, sisi ndio serikali!
Si ana haddler wa account za mtandao wake, nani kakuambie kwamba kaandika yeye?Wakuu,
Yaani mpaka mtu anaandika utafikiri anamuita mtu mwingine mheshimiwa, kumbe anijiita mwenyewe, mhehimiwa mimina msije kujidai hapa oooh wanaandikiwa blaa blaa, kwani hawapitii kuondoa hizo aibu ndogo ndogo?
Uoga huu ulitakiwa kuwa kwenye uwajibikaji, waogope mno kutokuwajibika kwa wananchi, tuna watu useless wanaokuja kuita Rais Mungu!
Wananchi amkeni turudishe mambo sawa, sisi ndio serikali!
Kwani ukiwe mbunge heshima ya kuitwa muheshimiwa inaondoka una lako jambo.Wapi nimesema alitenguliwa ubunge[emoji2357][emoji2357] huu mkurupuko ni wa five G!
Kuna ambaye hajui Ummy kaondolewa kwenye Uwaziri?
Huyo si ni mh.mbuge lakini?🐒Wakuu,
Yaani mpaka mtu anaandika utafikiri anamuita mtu mwingine mheshimiwa, kumbe anijiita mwenyewe, mhehimiwa mimina msije kujidai hapa oooh wanaandikiwa blaa blaa, kwani hawapitii kuondoa hizo aibu ndogo ndogo?
Uoga huu ulitakiwa kuwa kwenye uwajibikaji, waogope mno kutokuwajibika kwa wananchi, tuna watu useless wanaokuja kuita Rais Mungu!
Wananchi amkeni turudishe mambo sawa, sisi ndio serikali!
Choyo choyo watz tumezidi sasa apo kuna kipi cha kukufanya uanzishe thread?Wakuu,
Yaani mpaka mtu anaandika utafikiri anamuita mtu mwingine mheshimiwa, kumbe anijiita mwenyewe, mhehimiwa
Mheshimiwa DIVISHENI FOO 😹😹Mheshimiwa BICHWA KOMWE -
Mheshimiwa Lamomy
Mheshimiwa cocastic
Mheshimiwa WIZO
Cc: Mbaga Jr Kapeace
Sahihi....."Leo nime...."Nadhani mleta mada anamaanisha, huyu ndg. Mwalimu kaandika kana kwamba kamuandikia mtu mwingine!
Labda alipaswa ndg. Ummy aandike hivi, "Leo nimeshiriki matembezi...."
Noma sanaUnanikumbusha mbali kuna siku moja diwani aliingia eneo nnalotolea huduma bila taarifa, ikabid nimtoe ofisin sababu huduma yangu inahitaji privacy kwa wateja wangu, japo kwa mbinde ndio alitoka maana aligomea flani sasa jamaa akaenda nishtaki kwa wakubwa zake eti nmemvunjia heshima mbele ya wananchi wake, baadae aniambia "naitwa muheshimiwa ....., nafikir utakuwa hunifahamu" nikamjib ningekuheshimu kama ungeheshimu ofisi yangu, jamaa hadi leo ana hasira na mimi.