Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
Sasa kama ubunge anao bado, nini kinakushangaza yeye kuitwa Mheshimiwa? Au hujui wabunge wote wa Tanzania wanaitwa waheshimiwa? Ukazungushia kabisa duara kwenye screenshot!Wapi nimesema alitenguliwa ubunge🤦♂️🤦♂️ huu mkurupuko ni wa five G!
Kuna ambaye hajui Ummy kaondolewa kwenye Uwaziri?