LGE2024 Uheshimiwa mtamu mpaka mtu anajiita mwenyewe, wakitenguliwa wanaweweseka! Cheo kinachobaki kinashikiliwa kama roho!

LGE2024 Uheshimiwa mtamu mpaka mtu anajiita mwenyewe, wakitenguliwa wanaweweseka! Cheo kinachobaki kinashikiliwa kama roho!

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Wapi nimesema alitenguliwa ubunge🤦‍♂️🤦‍♂️ huu mkurupuko ni wa five G!

Kuna ambaye hajui Ummy kaondolewa kwenye Uwaziri?
Sasa kama ubunge anao bado, nini kinakushangaza yeye kuitwa Mheshimiwa? Au hujui wabunge wote wa Tanzania wanaitwa waheshimiwa? Ukazungushia kabisa duara kwenye screenshot!
 
Wapi nimesema alitenguliwa ubunge🤦‍♂️🤦‍♂️ huu mkurupuko ni wa five G!

Kuna ambaye hajui Ummy kaondolewa kwenye Uwaziri?
Sasa kama ubunge anao bado, nini kinakushangaza yeye kuitwa Mheshimiwa? Au hujui wabunge wote wa Tanzania wanaitwa waheshimiwa? Ukazungushia kabisa duara kwenye screenshot
 
Wapi nimesema alitenguliwa ubunge🤦‍♂️🤦‍♂️ huu mkurupuko ni wa five G!

Kuna ambaye hajui Ummy kaondolewa kwenye Uwaziri?
Sasa neno mheshimiwa kutumika kwa Mbunge si nd'omahali pake?

Ama sijakuelewa mantiki ya hoja yako?
 
Mkuu sio wote huwa wanapitia, mwenyewe juzikati tu hapa kuna mzee aliniomba nimsaidie kazi, ilipokamilika nikamtumia, baada ya wiki akaenda kuwasilisha kwenye kikao. Kumbe hata hakuwahi kupitia nashangaa ananipingia simu nimsaidie kufafanua kilichoandikwa kwa boss wake.
😹😹😹 huu ni uzembe tena wa hali ya juu Mkuu, wala si bahati mbaya kwa huyo aliyeenda present... kwa Ummy yeye ni public figure lazima ajue nini kinaenda huko duniani kuhusu yeye, anaweza kuwa na mtu wakufanya hivyo au anaweka mwenyewe, sehemu ile ni sensitive sababu inabeba pia utu wake, asipokuwa anaangalia siku litaenda boko kweli kweli abaki uchi
 
😹😹😹 huu ni uzembe tena wa hali ya juu Mkuu, wala si bahati mbaya kwa huyo aliyeenda present... kwa Ummy yeye ni public figure lazima ajue nini kinaenda huko duniani kuhusu yeye, anaweza kuwa na mtu wakufanya hivyo au anaweka mwenyewe, sehemu ile ni sensitive sababu inabeba pia utu wake, asipokuwa anaangalia siku litaenda boko kweli kweli abaki uchi
Ukurasa wake anaemeneji ni mtu mwingine wa Ofisi yake kwa hio lazima amuite muheshimiwa ulitaka amuite vingine kibarua kiote manyasi?
 
Maajabu au ni ushamba sielewi
.account yake halafu anajiita tena
Mleta mada nimekuelewa vizuri
Ilitakiwa aandike tu leo nimeshiriki hiki na hiki maana account inasomeka jina lake, au labda ni account fake ya mwingine akimsifia
 
Mheshimiwa= Honourable ,Respected

Kiasili mwanadamu anapenda sifa .
Hata mimi natafuta uheshimiwa hata kwa nguvu ila sio katika siasa
Mheshimiwa Utajua wewe 'uheshimiwa' upo tu muhimu fanya kwa nafasi yako vizuri kila mtu atakuheshimu
 
Sasa kama ubunge anao bado, nini kinakushangaza yeye kuitwa Mheshimiwa? Au hujui wabunge wote wa Tanzania wanaitwa waheshimiwa? Ukazungushia kabisa duara kwenye screenshot!
Kamuita nani na account ni yake?🌚
 
Ukurasa wake anaemeneji ni mtu mwingine wa Ofisi yake kwa hio lazima amuite muheshimiwa ulitaka amuite vingine kibarua kiote manyasi?
Ni kweli anamanage mtu mwingine? Still hii haitakiwi kutokea
 
Back
Top Bottom