coscated
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 3,264
- 2,676
Jamaa yupo nyuma ya muda anafikiri waziri tu ndio mheshimiwa. Hajui hata diwani, hakimu pia nao ni waheshimiwa.Alitenguliwa ubunge? Huenda kuna kitu unakikosa katika hoja yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa yupo nyuma ya muda anafikiri waziri tu ndio mheshimiwa. Hajui hata diwani, hakimu pia nao ni waheshimiwa.Alitenguliwa ubunge? Huenda kuna kitu unakikosa katika hoja yako
hili ni jukwaa na shule ya wadau wa masuala ya kisiasa. Ni darasa tosha la maana na muhimu mno, ikiwa mtu anataka kujifunza na kuongeza uelewa na ufahamu wake juu ya masuala ya kisiasa nchiniUmechukua jimbo la Jukwaa la Siasa?
Watu au mtoa mada hamaanishi katika kuona wivu. Tusiharibu dhana ya mleta mada. Inawezekana wewe umejibu kutokana na majibu au hoja za wachanguaji, kwamba hujasoma ile screen shot. Nenda kasome ile reporting system uone ni account ya nani na ni nani anatoa taarifa. Mleta thread ana hoja kufuatia namna ya mwenye account alivyoripoti tukio.Tupunguze sasa wivu mwingine sio kwa hio unataka afutwe uheshimiwa aitwe tu kawaida?
Mtoa mada yuko sahihi,kwa sisi wataalam wa lugha huwezi kujipa salutation mwenyewe.mfano huwezi kusema my name is Mr Mdukuzi,utasema my name is Mdukuzi,ila mtu baki yuko sahihi kuniita Mr MdukuziAlitenguliwa ubunge? Huenda kuna kitu unakikosa katika hoja yako
Mkuu una uhakika account yake inakuwa managed na mtu mwingine?Ukurasa wake anaemeneji ni mtu mwingine wa Ofisi yake kwa hio lazima amuite muheshimiwa ulitaka amuite vingine kibarua kiote manyasi?
Still bado atabakia kua muheshimiwaMtoa mada yuko sahihi,kwa sisi wataalam wa lugha huwezi kujipa salutation mwenyewe.mfano huwezi kusema my name is Mr Mdukuzi,utasema my name is Mdukuzi,ila mtu baki yuko sahihi kuniita Mr Mdukuzi
NdioMkuu una uhakika account yake inakuwa managed na mtu mwingine?
Siku atakayolishwa matango pori katika account yake ndiyo atajua!!!
Mkuu usiumize kichwa, huyo anaelewa ulichomaanisha, ni uchawa tu unamsumbua.Unamiss the whole point, kunywa maji usije ukapaliwa na mate, aitwe na wengine wanaoona anadeserve kuheshimiwa, usijifanye hujaelewa nilichoweka
Ona sasa!!!! 'Still' 'bado' ndiyo nini?Still bado atabakia kua muheshimiwa
Chawa huyo hawezi kuelewa kitu mkuuKuna sehemu nimeongelea chochote kuhusu kero hapo chapa?
Soma ujue nimeandika nini
Sahihi kabisa. Wewe tuu umemwelewa Cute Wife siyo hao wajingawajinga hapo juu aina Covax na Tlaatlaah wanabwabwaja tu wakati mleta mada yupo very clear.Nadhani mleta mada anamaanisha, huyu ndg. Mwalimu kaandika kana kwamba kamuandikia mtu mwingine!
Labda alipaswa ndg. Ummy aandike hivi, "Leo nimeshiriki matembezi...."
Ndio ajiite Mheshimiwa?Huyo si ni mh.mbuge lakini?🐒
Hivyo hivyo still bado ushaelewa namaanisha nini au niseme bado ni muheshimiwa haya furahiOna sasa!!!! 'Still' 'bado' ndiyo nini?
Wivu wa kibwegeWakuu,
Yaani mpaka mtu anaandika utafikiri anamuita mtu mwingine mheshimiwa, kumbe anijiita mwenyewe, mhehimiwa mimina msije kujidai hapa oooh wanaandikiwa blaa blaa, kwani hawapitii kuondoa hizo aibu ndogo ndogo?
Uoga huu ulitakiwa kuwa kwenye uwajibikaji, waogope mno kutokuwajibika kwa wananchi, tuna watu useless wanaokuja kuita Rais Mungu!
Wananchi amkeni turudishe mambo sawa, sisi ndio serikali!
Tatizo lenu wengine mnajibu tu kutokana na comments za watu bila kusoma mada yenyewe. Elewa mtoa mada hana tatizo la mwenye account kuitwa mheshimiwa, hii imetokana na jinsi alivyoripoti mwenye account mwenyewe. Anamsemea nani? Kama ni yeye mwenyewe, hivyo sivyo inavopasa kujitolea taarifa.Wewe ndio umetafsiri tofauti.hata wewe ukitaka kujiita mheshimiwa kwenye level ya familia yako unaweza kujiita tu bila kuathiri jambo lolote.
CCM walituletea neno la kijinga snneno mheshimiwa linanichefua. watu wa bara la ukimani wanapenda utukufu