Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
Angeipeleka kwenye jukwaa la lugha. Nadhani ni sanaa ya lugha tu, sio ishu ya kuanzishia uziMtoa mada yuko sahihi,kwa sisi wataalam wa lugha huwezi kujipa salutation mwenyewe.mfano huwezi kusema my name is Mr Mdukuzi,utasema my name is Mdukuzi,ila mtu baki yuko sahihi kuniita Mr Mdukuzi
