Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,906
- 5,000
- Thread starter
- #41
Ntakusanua Mheshimiwa😂😂Mfano mimi hapa naendesha hiki ki akaunti cha JF nikijiita Mkuu BUKU 1 800 hapo nifyatue maana anaemeneji hiki ki akaunti ni mimi sijaajiri mtu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ntakusanua Mheshimiwa😂😂Mfano mimi hapa naendesha hiki ki akaunti cha JF nikijiita Mkuu BUKU 1 800 hapo nifyatue maana anaemeneji hiki ki akaunti ni mimi sijaajiri mtu
Kutokea wapi kwa hio umemuona yeye tu au una jambo lako na yeye?Ni kweli anamanage mtu mwingine? Still hii haitakiwi kutokea
Nisabue tuNtakusanua Mheshimiwa😂😂
Unamiss the whole point, kunywa maji usije ukapaliwa na mate, aitwe na wengine wanaoona anadeserve kuheshimiwa, usijifanye hujaelewa nilichowekaTupunguze sasa wivu mwingine sio kwa hio unataka afutwe uheshimiwa aitwe tu kawaida?
ni jambo la kawaida sana kujiadress mwenyewe kulingana na status yako,
Ubunge Bado mbunge,haelewi huyu!Wapi nimesema alitenguliwa ubunge🤦♂️🤦♂️ huu mkurupuko ni wa five G!
Kuna ambaye hajui Ummy kaondolewa kwenye Uwaziri?
Still bado ni muheshimiwaMimi si public figure na siko katika muda wa kampeni, hata nikiita hakuna mtu atajali😹 Tunaangalia wapi Ummy ametoka na anakoelekea
Wa Yombo Dovya!ni jambo la kawaida sana kujiadress mwenyewe kulingana na status yako,
mathalani hata mimi baadhi ya wananchi hunisema wapendavyo kwamba mh. Tlaatlaah yuko hivi au yuko vile, na kwakweli ni uhuru na haki yao kusema hivyo..
hata hivyo mimi mwenyewe ni mh.Tlaatlaah🐒
Yaani kumbe shida ni hiyo? Vyuo vya certificate vifunguliwe tu tubaki wachacheKamuita nani na account ni yake?🌚
Still bado ni muheshimiwaUnamiss the whole point, kunywa maji usije ukapaliwa na mate, aitwe na wengine wanaoona anadeserve kuheshimiwa, usijifanye hujaelewa nilichoweka
ni jambo la kawaida sana kujiadress mwenyewe kulingana na status yako,
Still bado ni muheshimiwa hata akistaafu honorable name itabaki kua muheshimiwaUmenchekesha sana Mkuu🤣🤣
🤣🤣 aiiiii, ila sishangai chawa upo kazini, aendelee kujiita hivyo tutaona nini kinafuata hasa ukizingitia ni Mbunge kiazini jambo la kawaida sana kujiadress mwenyewe kulingana na status yako,
mathalani hata mimi baadhi ya wananchi hunisema wapendavyo kwamba mh. Tlaatlaah yuko hivi au yuko vile, na kwakweli ni uhuru na haki yao kusema hivyo..
hata hivyo mimi mwenyewe ni mh.Tlaatlaah🐒