Kesi ya kuhujumu uchumi na kuisababishia UDA hasara ya Sh. bilioni 8.4 dhidi ya waziri wa zamani Iddi Simba na wenzake imefutwa kwa amri ya DPP.
Source: Breaking News kutoka MWANANCHI
My Take:
Nikiangalia jinsi kesi ilivyokuwa na ukweli kwamba imefutwa na DPP, inasisitiza kile ambacho kimekuwa kikipigiwa kelele: DPP yupo pale kwa maslahi ya makundi fulani na siyo maslahi ya taifa.
Haya yote yanafanyika na mkuu wa kaya anayaangalia tuu?idd smba alfungwa kwa hujuma za rdhwan ili smon group wachukue uda hakuwa na kes ya kujbu rz almkomoa kwa sababu idd smba alkuwa anataka uda iendeshwe kwa faida ila rdhwan kuptia smon goup chn ya smon ksena wakamftn idd smba kwa kumbambkzia kesi akiwa ktk kesi wakajiuzia udda chap sasa wameona wamwachie ni sawa na alchofanyiwa lawrence mafuru CeO wa NBC aliyekataa kuipa tenda ya kuendesha kes za nbc kampun ya GRK law Chambers ya rdhwan kwan alsema ni changa na haina wataalam /wanasheria makin rdhwan kupitia bodi ya udhamini ya nbc wakamsmamisha kazi baada ya GRK CHAMBERS(kampun ya rzwan kikwete) kuchukua tenda NBC rdhwan kuptia bod wakamrudsha ila kutokana na ststus na elmu nzur ya mafuru amabaye anauzka kwa kila taasisi kubwa akaresgn akakataa kuendlea na kaz
Kesi ya kuhujumu uchumi na kuisababishia UDA hasara ya Sh. bilioni 8.4 dhidi ya waziri wa zamani Iddi Simba na wenzake imefutwa kwa amri ya DPP.
Source: Breaking News kutoka MWANANCHI
My Take:
Nikiangalia jinsi kesi ilivyokuwa na ukweli kwamba imefutwa na DPP, inasisitiza kile ambacho kimekuwa kikipigiwa kelele: DPP yupo pale kwa maslahi ya makundi fulani na siyo maslahi ya taifa.
Hili ndo la msingi, muhimu kuzi-document kesi zote hadi muda muafaka utakapofika. Tutafukua hata makaburi yao ili washtakiwe.Hizi kesi lazma tutazifufua tu,
Kesi ya kuhujumu uchumi na kuisababishia UDA hasara ya Sh. bilioni 8.4 dhidi ya waziri wa zamani Iddi Simba na wenzake imefutwa kwa amri ya DPP.
Source: Breaking News kutoka MWANANCHI
My Take:
Nikiangalia jinsi kesi ilivyokuwa na ukweli kwamba imefutwa na DPP, inasisitiza kile ambacho kimekuwa kikipigiwa kelele: DPP yupo pale kwa maslahi ya makundi fulani na siyo maslahi ya taifa.
idd smba alfungwa kwa hujuma za rdhwan ili smon group wachukue uda hakuwa na kes ya kujbu rz almkomoa kwa sababu idd smba alkuwa anataka uda iendeshwe kwa faida ila rdhwan kuptia smon goup chn ya smon ksena wakamftn idd smba kwa kumbambkzia kesi akiwa ktk kesi wakajiuzia udda chap sasa wameona wamwachie ni sawa na alchofanyiwa lawrence mafuru CeO wa NBC aliyekataa kuipa tenda ya kuendesha kes za nbc kampun ya GRK law Chambers ya rdhwan kwan alsema ni changa na haina wataalam /wanasheria makin rdhwan kupitia bodi ya udhamini ya nbc wakamsmamisha kazi baada ya GRK CHAMBERS(kampun ya rzwan kikwete) kuchukua tenda NBC rdhwan kuptia bod wakamrudsha ila kutokana na ststus na elmu nzur ya mafuru amabaye anauzka kwa kila taasisi kubwa akaresgn akakataa kuendlea na kaz
Kesi ya kuhujumu uchumi na kuisababishia UDA hasara ya Sh. bilioni 8.4 dhidi ya waziri wa zamani Iddi Simba na wenzake imefutwa kwa amri ya DPP.
Source: Breaking News kutoka MWANANCHI
My Take:
Nikiangalia jinsi kesi ilivyokuwa na ukweli kwamba imefutwa na DPP, inasisitiza kile ambacho kimekuwa kikipigiwa kelele: DPP yupo pale kwa maslahi ya makundi fulani na siyo maslahi ya taifa.
Kwanza kosa la Uhujumu Uchumi, huwa halina dhamana, sasa nilishanga hata watu hawakushtuka baada ya hawa watu kupewa dhamana. Watanzania tulipaswa kuichukulia ile Dhamana waliyopewa kama red flag.
I saw this coming
Mkuu nimeipenda post yako ila uandishi mkuu haujakaa vyema hivyo vifupisho