Wako mingi zaidi ya nasa
Atleast wanapaswa kuigwa East Africa.This is Africa bwana. Uhuru a pure African boy. Kenya a country in Africa.
Sipatii picha Tanzagiza watafikalini humu.Duh kama ni leo Jamaa yupo vizuri sana...hachukulii politics kama vita
Unaweza kuyapata hapa: Public RTSHvi gubilee wana gavana diwani senetor mp wangapi?
Duh kama ni leo Jamaa yupo vizuri sana...hachukulii politics kama vita
Atleast wanapaswa kuigwa East Africa.
Authoritative speech...ilikuwa lazima achimbe mkwara kidogo.Lakini amesema tena kuwa kama wasingelikuwa watunza amani angeliona cha mtema kuni na ameonesha kuchukizwa sana na maamuzi ya mahakama ya juu kabisa na amesema ina shida kubwa...
Kaendelea kusema kuwa wao kuvaa magauni wana waona wakenya wajinga.....
Kwa kauli hizi za uhuru kwakweli nimepata wasi wasi na wanao msifia,,,,,,
Raisi wa Kenya sahv ni nani kwani??akipita atakuwa raisi na ndo cheo alichonacho sahv...unadhani anashindwa kimshughulikia sahvAaah anaposema uchaguzi ukipita tutamshughulikia sio vita? eeh
Ha ha ha ha haaaa!Hii ni ya lini mkuu??
Hawezi kivipi?Hizo ni whisky Mkuu... Alishapiga mambo... Hawezi kumfanya lolote Maraga.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona amemuwekea Jaji maraga kinyongo na anasema hadharani atamshughulikiaDuh kama ni leo Jamaa yupo vizuri sana...hachukulii politics kama vita