Si ndo Rais wa kenya?Mbona anatumia nembo ya urais apo kwenye podium?
Inaita nadhani umemaliza kumbe ndio Kwanza safari inaanza
Hapa anajua kabisa ngoma mzigo waachane na computer zipige tena kura.
Moyo unamuuma maana alidiriki hata kutoa roho za watu loooh
Mbona anatumia nembo ya urais apo kwenye podium?
Majaribio ya Lowassa kuiba Kura yamekwama kwa Mara ya Pili baada ya 2015 kukwamaWewe ukiwa MCHUMIA TUMBO WA KUTUPWA NA SHABIKI MKUBWA wa ukandamizaji wa haki unaofanywa Tanzania , ikiwamo uporaji wa haki za wazanzibar na kusigina katiba kunakofanywa na viongozi wa ccm , Umejifunza nini kuhusu Democrasia hii iliyotukuka kutoka Kenya ?
hawezi juta ndio demokrasia yenyewe kwani nchi ni yakeMugabe aliwahi kusema,... mtu yeyeto ambaye anamiliki pesa, majeshi ni yake, polis n wake, mahakama n zake, bunge n lake, tume ya uchaguz n yake, mamlaka n yake halafu eti ameshndwa n kitu cha kushangaza... hivi odinga akishnda knwy uchaguz wa pili s utajuta milele?