Troll JF
JF-Expert Member
- Feb 6, 2015
- 7,804
- 12,237
-Hakubaliani na Maamuzi ya Majaji
-Amesema anaheshimu Maamuzi ya Majaji
-Awataka Wakenya Kudumisha Amani ya taifa hill
-Achukizwa na Maamuzi ya Watu 6 (Majaji)
-Yupo Tayari Kurudia Uchaguzi
-Hajabadili msimamo wanaenda tena kwa wananchi kuomba Kura.