Uhuru Kenyatta wins Kenya's 2017 General Election. Delivers his speech to thank all Kenyans...

Uhuru Kenyatta wins Kenya's 2017 General Election. Delivers his speech to thank all Kenyans...

Raila ataenda kuapishwa chattle

Sent from my Priceless H40-D00 using JamiiForums mobile app
 
At least Kenya wamefanya uchaguzi sio kama walivofanya Rwanda uhuni mtupu.

Sent from my Priceless H40-D00 using JamiiForums mobile app
 
Wakikuyu wameibinafsisha Kenya kuwa mali yao. Mnh..
Jamii zenye tabia ka za hawa wakikuyu hazifai kutawala..ubinafsi wa kupindukia..
Sasa utasemaje kwa jamii ya Shona inatawala Zimbabwe na Jamii ya Tigrinya inayotawala Ethiopia? Sisi waMeru hawa waKikuyu ndio cousins wetu wa karibu sana na wana mifano mingi sana inafaa kuigwa.I'd rather be led by dynamic ,hardworking people anyday.Nashangaa sana unasema ubinafsi wa waKikuyu lakini huoni ubinafsi mkubwa wa kupindukia wa Raila Amolo Odinga.
 
Hongera sn mheshimiwa rahila akavue. Sasa
 
Huku kitaa wanadai UhuRuto wamemshinda RAO sababu ya kuungwa mkono na Mmsai mmeru na eti Chadema wamechangia ushindi wa Jubilee kwa sehemu kubwa.Chadema na Mmasai mmeru wao kwa sifa hawajambo ,wao tu wako hoi halafu eti ndio wamemfanya Uhuru ashinde,kazi ipo ma wamaufipa
 
Ina maana yule aliyefanya hija kule Chato kashindwa?
1-8-1024x657.jpg
 
Odinga amegombea na kushindwa hii ni mara ya tatu. Magu kawabana huku, mmeamua kujiconsole na kushindwa kwa Raila. Nyumbu kweli mmeishiwa.
No,no hapana hii ni mara ya nne - 1997 ,2007 ,2013 na sasa 2017 ameshindwa tena.
 
Sijui Sizonje atajisikiaje?? [emoji276] [emoji276]

Sent From Kisana Kiki Iphone
Shauri ya lenyewe, nyoko! Watu wanaleta ujinga kwa nchi za watu! Asante YESU kwa kutuokoa! UHURUTO Pigeni kazi wadau wetu!
 
Kenya imegawanyika vibaya, yaani kwenye County moja mtu anapata hadi 96% na anayemfuatia 3%! Mungu atusaidie Tanzania tusifike huko.

Vv
 
86615e47d6fe1027cf4cb7afc77dd5a3.jpg

1346652d6945df190e0dee82b368a102.jpg


efa534caa20991247ab93d961877dd2b.jpg


3e0668aaab4d437c7ae31f0ae0800907.jpg



========​


Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi (IEBC), Wafula Chebukati aemtangaza Uhuru Kenyatta kuwa Mshindi wa kiti cha Urais.

Rais Mteule Uhuru Kenyatta kutoka Chama Cha Jubilee ametangazwa kuwa Mshindi baada ya kupata kura 8,203,290 huku mpinzani wake Raila Odinga kutika Muungano wa Upinzani(NASA) akipata kura 6,762,224.

Uhuru Kenyatta amepata asilimia 54.27 ya kura zote pia ni sawa na asilimia 25 ya kura za kutoka katika Kaunti 35.

Kwa kura zilizopigwa nje ya Kenya Uhuru Kenyatta amepata 52.88% huku Raila Odinga akipata 46.45% ya kura, na Nyaga 0.07%.

  • Nairobi County, Uhuru: 48.55% Raila: 50.85%, Nyaga: 0.18%. Total votes: 2,251,929.

  • Kisumu County, Uhuru:1.96% Raila: 96.64%, Nyaga: 0.27%. Total votes: 539932.
  • Homabay County, Uhuru: 0.49% Raila: 99.34%, Nyaga: 0.11%. Total voters: 496432.
  • Chebukati: Siaya County, Uhuru: 0.66% Raila: 99.11%, Nyaga: 0.14%. Total votes: 459957.
  • Kilifi County, Uhuru: 15.12% Raila: 83.63% Total votes: 32783.
  • Busia County, Uhuru: 12.42% Raila: 86.82%, Nyaga: 0.31%. Total votes: 351087.
  • Bungoma County, Uhuru: 30.21% Raila: 68.3%, Nyaga: 0.49%. Total votes: 559886.

  • Vihiga County, Uhuru: 9.12% Raila: 89.39%, Nyaga: 0.59%. Total votes: 272217.
  • Bomet County, Uhuru: 87.04% Raila: 12.06%, Nyaga: 0.27%. Total votes: 322024.
  • Kericho County, Uhuru: 92.78% Raila: 6.61%, Nyaga: 0.12%. Total votes: 375691.
  • Kajiado County, Uhuru: 57.15% Raila: 42.42%, Nyaga: 0.22%. Total votes: 411267.
  • Narok County, Uhuru: 52.98% Raila: 45.88%, Nyaga: 0.67%.Total votes: 341761.
  • Nakuru County, Uhuru: 84.74% Raila: 14.69%, Nyaga: 0.21%. Total votes: 941971.
  • Laikipia County, Uhuru: 89.11% Raila: 10.37%, Nyaga: 0.15%.Total votes: 246693.

  • Baringo County, Uhuru: 84.78% Raila: 14.57%, Nyaga: 0.13%. Total votes: 232311.
  • Nandi County, Uhuru: 86.84% Raila: 12.49%, Nyaga: 0.18%.Total votes: 346182.
  • Makueni County, Uhuru: 8.24% Raila: 90.57%, Nyaga: 0.52%. Total votes: 423434.
  • Elgeyo Marakwet County, Uhuru: 94.63% Raila: 4.85 %, Nyaga: 0.10%. Total votes: 180979.
  • Meru County, Uhuru: 88.82% Raila: 10.23%. Total votes: 702,776.
  • Machakos County, Uhuru: 17.95% Raila: 80.91%, Nyaga: 0.66%. Total votes: 620363.
  • Tharaka Nithi County, Uhuru: 93.15% Raila: 5.93%. Total votes: 213197.
  • Embu County, Uhuru: 92.01% Raila: 6.99%, Nyaga: 0.02%. Total votes: 309731.
  • Kitui County, Uhuru: 17.98% Raila: 79.90%, Nyaga: 0.06%.
  • Uasin Gishu County, Uhuru: 77.79% Raila: 21.19%, Nyaga: 0.29%. Total votes: 540159.
  • Transzoia County, Uhuru: 44.60% Raila: 54.22%, Nyaga: 0.42%. Total votes: 339715.

  • Samburu County, Uhuru: 49.64% Raila: 49.44%, Nyaga: 0.30%. Total votes: 82794.
  • West Pokot County, Uhuru: 64.61% Raila: 34.50%, Nyaga: 0.32%. Total votes: 188241.
  • Turkana County, Uhuru: 38.91% Raila: 59.87%, Nyaga: 0.42%. Total votes: 191495.
  • Wajir County, Uhuru: 50.98% Raila: 44.15%.
  • Mandera County, Uhuru: 82.88%, Raila: 13.25%.
  • Marsabit County, Uhuru: 83.63%
    Raila: 14.44 %. Total votes: 141730.
  • Kirinyaga County, Uhuru: 98.61%
    Raila: 1.03%, Total votes: 479970.

  • Nyeri County, Uhuru: 98.35% Raila: 1.20%, Nyaga: 0.05%. Total votes: 457197.
  • Nyandarua County, Uhuru: 98.99% Raila: 0.79%, Nyaga: 0.04%. Total votes: 325696.
  • Machakos County, Uhuru: 17.95% Raila: 80.91%, Nyaga: 0.66%. Total votes: 620363.
Chebukati: Tumejifunza mengi kwenye uchaguzi huu ambayo yataimarisha uwezo wetu. Nawashukuru watu wa Kenya, washika dau wetu wa kwanza. Wafanyakazi wetu nchi nzima na familia zao.

Kwa waangalizi wa kimataifa, tunawashukuru kwa kutuunga mkono, Uchaguzi wa 2017 ulikuwa wa haki, tunawashukuru waangalizi kwa ripoti zao za awali. Tunawashukuru kwa uvumilivu wakati tunatoa matokeo kwa hatua.

Wapiga kura waliongea tarehe nane mwezi wa nane na sasa tuko tayari kusema walichoamua.

Nimeambiwa matokeo yanatakiwa kusainiwa, asanteni kwa kuniskiliza na nitarejea kutangaza matokeo.
--------

Mawakala wameshasaini fomu za matokeo na sasa mwenyekiti Chebukati anaweka sahihi kwenye fomu ya matokeo. Hatua ya sasa ni mwenyekiti kuendelea na kutangaza matokeo.
--------

Chebukati: Naomba mniruhusu niendelee na hotuba yangu, kwa mujibu wa nguvu zilizowekwa kwangu na katiba, naomba niwatangazie matokeo.


======

President Uhuru Kenyatta has won a second term in office, garnering 54.2 per cent of votes, according to final results declared by the electoral commission on Friday night.

Independent Electoral and Boundaries Commission (IEBC) Chairman Wafula Chebukati declared Mr Kenyatta the winner of the presidential race at exactly 10.17pm EAT.

“He attained 25 percent of votes cast in 35 counties ” Mr Chebukati, the returning officer of the presidential election, said at Bomas of Kenya— the national tallying centre, in the capital Nairobi

The announcement was met with celebrations in the strongholds of Mr Kenyatta’s party, Jubilee, and protests amongst some Nasa supporters.


Jpm chali
 
Odinga ni ka Lowasa au Lipumba. Anakomaa wee kupata urais ila all the time anashindwa.
Congrats Uhuru. Amefanya kazi nzuri last term ngoja amalizie alichokianza.
 
Back
Top Bottom