Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Amezeeka. Anaandika huku anatetemeka/anatetema.Apewe ugoro wake.Toka uanze mjadala wa DP world, umekuwa na makosa mengi ya kiuandishi.
Mfano Uzi huu una makosa zaidi ya 10, na wewe ilikuwa kinara wa kuwarekebisha watu wanaokosea.
Kuhusu DP world sina cha kuongeza wala kuongeza, mtavyokubaliana ndio hivyo hivyo