Uhuru wa maoni uwe na mipaka. Kinachoendelea sasa hivi Tanzania ni uchokozi

Haakuna shaka yoyote, kwa sasa hivi tunaona Watanzania wengi, wanaojiita wasomi, wanaojiita mawakili wakitowa maoni yao kwa lugha ambazo ni za kuudhi, kukebehi, kukejeli mapa kutusi...
Ukweli siku zote huwa unauma.
 
Kila mtu ashinde mechi zake , wewe unavyobwabwaja uongo humu tunakunyamazia basi ndio unajiona una haki kuliko wengine , Vumilia na mawe ya wengine
 
Samia kaingiaje hapa. Inaonyesha huyo ndiye target wala si bandari na kwa bahati nzuri mama wa watu kapiga kimyaaa, mnazidi kuumia. Mnatamani awajibu lakini ndo kwanza anaendelea na yake.
Samia kaingiaje? Yeye ndo kiongozi namba 1 nchini.

Naam, kwa nafasi aliyonayo ni moja kwa moja yeye ndo anakuwa shabaha.

Mamako mzazi hatumjui. Hatuna raghba ya kutaka kumjua. Na hakuna mtu anayemlenga kwa lolote lile.

Samia ni Rais. It comes with the territory.

Can’t handle it? Quit and go home.
 
lazima sheria zitumike. Mbona wakati wa Magufuli ndio ilisainiwa MoU ya kwanza baina ta Dubai na Tanzania na hatukuona yeyote aliyesema chochote?
Kila jambo umekuwa ukim- refer magufuli. Kama wewe (nyie) mnamsema magufuli kwa madudu na sie tutawasema kwa madudu. Kama magufuli alifanya mabaya na nyie mnaiga shauri yenu sisi tutawaambieni ukweli kwamba hapa mnakosea hatutaangalia eti mbona magufuli alifanya.

Kuhusu suala la kufuata sheria muanze nyie. Haiwezekani mtu mmoja nchi hii au kakikundi fulani kafanye yale wanayojisikia kwa manufaa yao tu na sie tubaki tunaangalia. Fuateni sheria, andaeni mikataba na makubaliano kwa manufaa ya wananchi wote sio kwaajili ya manufuaa ya wachache na kutafuta uungwaji mkono na pesa za uchaguzi 2025.

Haikubaliki na haitakubalika.
 
Haakuna shaka yoyote, kwa sasa hivi tunaona Watanzania wengi, wanaojiita wasomi, wanaojiita mawakili wakitowa maoni yao kwa lugha ambazo ni za kuudhi, kukebehi, kukejeli mapa kutusi...
Tangia ule Nauli yangu na kutotokea Uwanjani nikakushusha thamani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…