Uhuru wa maoni uwe na mipaka. Kinachoendelea sasa hivi Tanzania ni uchokozi

Uhuru wa maoni uwe na mipaka. Kinachoendelea sasa hivi Tanzania ni uchokozi

Serikali itumie mbinu za kawaida na zisizo za kawaida za kiusalama ili kulinda raia wa nchi hii kujiingiza katika chuki na migogoro isiyo ya lazima. Huu ni mtego wa panya watania waliokuwemo na wasiokuwemo.
Mfano wa mbinu zisizo za kawaida ni zipi ?
 
Unaona lugha hiyo, hao "wezi" ni nani na nani na wamekuibia nini?

Duniani wezi kweli wapo lakini unamshutumu mtu bila ushahidi sheria haikuruhusu na unaweza kuchukuliwa hatua. Usifikiri nyuma ya hii mitandao tumejificha kiasi cha tukitakikana hatuwezi kupatikana.
Acha kushabikia maharamia wezi. Kuwa mzalendo wa nchi yako.
 
Bandari za zanzibar hazimo kwa sababu wanasema kila mmoja anasimamia bandari zake

..kila mmoja anasimamia bandari zake kivipi wakati hizi za kwetu zaidi ya 60 zinasimamiwa na Mbarawa, Mzanzibari?

..bandari za Zanzibar sidhani kama zinazidi 5 zinasimamiwa na Wazanzibari.

..bandari za Tanganyika ziko zaidi ya 60 nazo zinasimamiwa na Mzanzibari.

..Jamani HAKI iko wapi?
 
Mbona hata mimi nimeshapigwa ban sana JF mpaka nikaitwa JF ban #!. Mimi nishafungiwa maisha kuchangia JGF akaja kuniombea Obama alivyokuja Tanzania. Kumbe alikuwa ananisoma kabla hajaja Tanzania.
Kumbe connection ilikunusuru?.
 
Asante Sana kwa kuandika jambo Jambo ambalo lilikuwa linaniumiza Sana moyo wangu, Najiuliza kwanini vyombo vya habari vinarusha maudhui pasipo kuyachuja na kuangalia Kama Yana Afya kwa walaji? Kwanini matusi na lugha za dhihaka ,kejeri ,matusi na udhalilishaji kwa Rais wetu na viongozi wa serikali yetu yalihusiwe na kurushwa hewani? Kwanini watu wanatoa matusi na wanaachwa?

Mamlaka husika zipo wapi? Zinasimamia Nini? Zinataka mpaka kitokee Nini ndio ziamke katika usingizini? Mpaka kufanyike Nini ndio watu watimize wajibu wao? Tunatengeneza Taifa la namna gani?

Rwanda watu walichinjana na kuuana kutokana na uchochezi ulio kuwa unaenezwa na vyombo vya habari na baadhi ya viongozi ambao walifumbiwa macho pasipo kukemewa? Tangia lini na wapi na kwa Sheria IPi ya mwaka gani ambapo matusi na udhalilishaji umekuwa Uhuru wa habari?

Kwanini tuache mbegu ya chuki,ubaguzi,udini,ukanda na ujinsia uenezwe na kusambazwa na watu na vyombo vya habari pasipo mamlaka kuchukua hatua?

Kwanini tunataka kulipasua Taifa letu? Kinachofangika siyo Uhuru Wala Demokrasia maana Uhuru au Demokrasia haiwezi ikawa katika kumtukana au kuwatukana watu na kiwavunjia heshima na utu wao. Haya mambo Ni lazima yakome na kukemewa kwa nguvu zote.
Sisi jeshi la polisi tunapokea listi ya wale wanaoichafua dp world na kukwamisha nia njema ya rais. Tunakuomba ukiwapata hao wanaoisema dp world au wanaojadili mkataba wetu utuletee majina ili tuchukue hatua za haraka.
 
..kila mmoja anasimamia bandari zake kivipi wakati hizi za kwetu zaidi ya 60 zinasimamiwa na Mbarawa, Mzanzibari?

..bandari za Zanzibar sidhani kama zinazidi 5 zinasimamiwa na Wazanzibari.

..bandari za Tanganyika ziko zaidi ya 60 nazo zinasimamiwa na Mzanzibari.

..Jamani HAKI iko wapi?
Zanzibar ni sehemu ya Tanzania, hao wazanzibari ni Watanzania pia.
 
Ushahidi wa kauli za kuudhi za FaizaFoxy ziko nyingi tu humu. Halafu anasema weka ushahidi!! Huna lolote wewe mama. Wengi humu wanakuita Jihadist kwa udini wako. Wengine tunaogopa hata kukutana na wewe uso kwa uso, maana tuna wasiwasi na uvumilivu wako kwa mtu wa dini tofauti na wewe.
Huyu Faizafox hana tofauti na wale magaidi wanaojilipua ili kuwatekeza watu wa dini tofauti wakidai wanaupigania uislam ilihali wanampigania shetani. Siku zote chuki zake huanzia kwenye utofauti wa imani za kidini.

Wapo waislam wanaoifuata dini yao kwa unyofu bila ubaguzi wala chuki. Hawa akina Faizafox ni uzao wa shetani waliofifisha akili na utashi.
 
Haakuna shaka yoyote, kwa sasa hivi tunaona Watanzania wengi, wanaojiita wasomi, wanaojiita mawakili wakitowa maoni yao kwa lugha ambazo ni za kuudhi, kukebehi, kukejeli mapa kutusi.

Haya yanayoendelea si maoni tena bali ni vunjifu wa amani uliokusudiwa. Uhuru wa maoni ni lazima uwe na mipaka.

Mtu anajiita mwanasheria msomi au wakili msomi , mwanasiasa, anasimama kwenye majukwaa ya habari na kurusha matangazo yaliyojaa chuki kuwa nchi inauzwa, au bandari inauzwa, Wazanzibari waniuza nchi. Na cha kushangaza sana waziri wa habari amekaa kimya. Waziri wa sheria amekaa kimya. Waziri wa mambo ya ndani amekaa kimya, waziri wa ulinzi amekaa kimya.

Nashauri, vyombo vya habari vyote vinavyorusha matangazo ya chuki vichukuliwe hatua kali za kisheria. Wale wote wanaosimama majukwaani na kufanya uchokozi wa makusudi wachukuliwe hatua za kisheria.

Mpaka sisi tuliozowea mitandao ya kijamii tunawashangaa moderators wapo kimya, watu wanaporusha matusi na kejeli mpaka kwa Rais na mawaziri wake. Hivi hatuyaoni? Au tunapenda huu uchokozi uendelee mpaka uzae madhara?

Kuuwasha moto ni kwepesi sana, kazi inakuja katika kuuzima.

Mimi nadhani wale wote wanaodai nchi imeuzwa waende mahakamani au kwa wao kupeleka madai au serikali iwaite mahakamani waje kuonesha nchi imeuzwa wapi na kwa lipi zaidi?

Nahisi kuna watu wapo nyuma ya pazia amabao wanadhani labda yataishia kiwepesi wepesi yakiachiwa yaendelee. Sasa hivi tayari chuki za wazi zinajionesha kati ya Wasio EWaisslam na Waislam, wasio Waarabu na Waarabu, Wabara na Wazanzibari. watu wa pwani na wasio wa pwani.

Hivi hayo yote kweli yamesababishwa na makubaliano ya Dubai na Tanzania yaliyopitishwa bungeni au kuna yanayoendelea nyuma ya pazia ambayo hatuyaelewi?

Tunaionmba serikali ichukuwe hatua za dhati, kila anaerusha au kuongea chuki akajieleze kwa ushahi wa hayo ayasemayo, kama hana ushahidi aseme ukweli ni na nani yupo nyuma yake anaemlipa au kumchochea kufanya hivyo.

Serikali itumie mbinu za kawaida na zisizo za kawaida za kiusalama ili kulinda raia wa nchi hii kujiingiza katika chuki na migogoro isiyo ya lazima. Huu ni mtego wa panya watania waliokuwemo na wasiokuwemo.

Naamini katika uwazi na ukweli na naamini katika uhuru wa maoni na habari, lakini kila uhuru ni lazima uwe na mipaka yake. Naona au Tanzania hatuna mipaka ya kujielezza maoni yetu aukama tunayo ama hatuijuwi au tunaiwachiie makusudi mipaka inavukwa?

Serikali, hususa Waziri wa habari, Nape Nnauye tueleze tupo bado ndani ya mipaka ya sheria au tumekiuka? Kama bado upo ndani ya mipaka ya sheria za uhuru wa maoni, tunaomba shertia zikafanyiwe ukarabati. Ili tuwe nchi yenhe kuheshimu utowaji mapni yetu uwe wa kuheshimiana.

Wewe kama hupendi nilichosema au kufanya mimi nifahamisheni usinitukane.

Moderators wa JF tunaomba majukwa haya siasa na habari mchanganyiko yapewe kipa umbele ili yasiwe ni chimbuko la maafa.
Kuna jambo muhimu sana ambalo hukulizingatia kufuatia jambo hili. Lilipowafakia wananchi tu liliibua maswali mengi kwa kipindi kifupi sana. Kama serikali ingechukua hatua stahiki mara moja, jambo hili lisingeelekea mbali na kuharibika namna hii au kwa kiwango hiki. Mpaka leo taifa halijapata maelezo kutoka mamlaka ya juu ya nchi wakati ni jambo zito na linalosababisha mpasuko wa hatari.
 
.." makubaliano " yaliyopitishwa na bunge na vigogo wa serikali wakaanguka saini sio mkataba huo?

..nadhani watu wanaoisemea serikali ktk suala hili hawafai.

..kwa kweli wanamchafua na kuharibu sifa nzuri za Raisi Samia na Ofisi yake kwa ujumla.

..Aliyeshauriwa mkataba utetewe na wachekeshaji kama Steve Nyerere, Baba Levo, Zembwela,...ni nani?
Sawa lakini kuhusu kuwa sii Mkataba ni Makubaliano hayo yameswema na wenyewe wenye serikali
 
Huyu Faizafox hana tofauti na wale magaidi wanaojilipua ili kuwatekeza watu wa dini tofauti wakidai wanaupigania uislam ilihali wanampigania shetani. Siku zote chuki zake huanzia kwenye utofauti wa imani za kidini.

Wapo waislam wanaoifuata dini yao kwa unyofu bila ubaguzi wala chuki. Hawa akina Faizafox ni uzao wa shetani waliofifisha akili na utashi.
You have said it all.
 
..kila mmoja anasimamia bandari zake kivipi wakati hizi za kwetu zaidi ya 60 zinasimamiwa na Mbarawa, Mzanzibari?

..bandari za Zanzibar sidhani kama zinazidi 5 zinasimamiwa na Wazanzibari.

..bandari za Tanganyika ziko zaidi ya 60 nazo zinasimamiwa na Mzanzibari.

..Jamani HAKI iko wapi?
Haki ipo kwa sababu vya Tanganyika nyote ni vyamuungano na huyo Mbara ni waaziri wa wizara ya Muungano
 
Mtu anajiita mwanasheria msomi au wakili msomi , mwanasiasa, anasimama kwenye majukwaa ya habari na kurusha matangazo yaliyojaa chuki kuwa nchi inauzwa, au bandari inauzwa, Wazanzibari waniuza nchi.
Maoni ya mtu hayawezi kuwa chuki isipokuwa kwa mtazamo binafsi.
Ili kumaliza utata wa hilo kuna chombo chenye mamlaka ya kuamua, yaani Mahakama

Wanaotoa maoni wajibiwe kwa hoja, kama nchi haijauzwa ijibiwe kwa hoja n.k.
Nashauri, vyombo vya habari vyote vinavyorusha matangazo ya chuki vichukuliwe hatua kali za kisheria.
Matangazo ya chuki ni yapi? Kusema nchi imeuzwa ni chuki? Mbona kila siku tumesikia wengine wakisema Tanganyika ni mkoloni na hatukuwahi kusikia ni chuki seuse kusema bandari inauzwa.
Kwa defnition yako maoni ya chuki ni yapi!
Wale wote wanaosimama majukwaani na kufanya uchokozi wa makusudi wachukuliwe hatua za kisheria.
Hii imeanza wakati wa Bandari! Kiongozi wa UVCCM alisimama jukwaani na kusema wapinzani wapigwe risasi, tuliona watu kitetea uovu wa watu kuuwawa n.k. hatukukusikia ukisema ni chuki, leo mtu akisema bandari imeuzwa hilo ni chuki!
Mpaka sisi tuliozowea mitandao ya kijamii tunawashangaa moderators wapo kimya, watu wanaporusha matusi na kejeli mpaka kwa Rais na mawaziri wake. Hivi hatuyaoni? Au tunapenda huu uchokozi uendelee mpaka uzae madhara?
Uchochezi upi? Kusema Bandari imeuzwa ni uchochezi huo!
Kuuwasha moto ni kwepesi sana, kazi inakuja katika kuuzima.
Nakubaliana nawe kabisa, lakini huo moto umeuona leo? Mbona moto unawaka kule Zanzibar kwa maneno yenye indhara, mitusi na kashfa kwa muda mrefu tu, leo kusema bandari imeuzwa ndio unaona moto!
Mimi nadhani wale wote wanaodai nchi imeuzwa waende mahakamani au kwa wao kupeleka madai au serikali iwaite mahakamani waje kuonesha nchi imeuzwa wapi na kwa lipi zaidi?
Serikali inapaswa kuwashtaki kwa kanuni moja , '' Jukumu la kuthibitisha tuhuma lipo kwa mlalamikaji'
The onus is on the complainant to prove guilty
Nahisi kuna watu wapo nyuma ya pazia amabao wanadhani labda yataishia kiwepesi wepesi yakiachiwa Sasa hivi tayari chuki za wazi zinajionesha kati ya Wasio EWaisslam na Waislam, wasio Waarabu na Waarabu, Wabara na Wazanzibari. watu wa pwani na wasio wa pwani.
Nope! hili la udini na urangi limejengwa kama ngao tu na limekuzwa na hao hao waliolileta.
Kila siku na wewe ukiwemo tunamsema Nyerere kwa ujamaa, si kwa ukatoliki au uzanaki bali kwa Urais wake
Tunamsema Mwinyi kwa kuachia mambo yaende tu si kwa Uislam au Uzanzibar bali kwa urais wake
Tunamsema Mkapa kwa kuuza viwanda, si kwa ukatoliki bali kwa Urais wake
Tunamsema Kikwete kwa udhaifu na kupalilia rushwa, si kwa Uislama wake bali Urais wake
Tunamsema Magufuku kwa ubaguzi wa kikabila na kidini si kwa ukatoliki wake bali kwa Urais
Rais SSH hawezi kuwa tofauti na watangulizi wake, ni Rais kama waliopita na atapata haki yake
Hivi hayo yote kweli yamesababishwa na makubaliano ya Dubai na Tanzania yaliyopitishwa bungeni au kuna yanayoendelea nyuma ya pazia ambayo hatuyaelewi?
Swali zuri sana, na kwakweli nakubaliana nawe kabisa. Haya tunayoyaona ni matokeo ya duku duku na ilipopatikana nafasi ndipo watu wanatema nyongo.

Rais SSH tangu ameingia madarakani ni kama JPM. Kuna mambo mengi sana yanafanyika nyuma ya pazia, hili limefunua tu . Kuna Nepotism sana na revenge katika mambo ya nchi .

Kwa mfano, kuna uvunjaji mkubwa wa katiba akifumbia macho. Ni yale yale ya Mwinyi
SSH amejisahau kuwa ni Rais wa JMT na kudhani ni Rais wa Zanzibar katika JMT. Kosa kubwa sana
Tunaionmba serikali ichukuwe hatua za dhati, kila anaerusha au kuongea chuki akajieleze kwa ushahi wa hayo ayasemayo, kama hana ushahidi aseme ukweli ni na nani yupo nyuma yake anaemlipa au kumchochea kufanya hivyo.
Hapana, serikali iwapeleke mahakamani kuthibitisha tuhuma! Serikali haiwezi kuwa 'Polisi, mwendesha mashtaka na hakimu' . Kabla ya kwenda mahakamani labda wewe utueleze chuki ni kitu gani katika hili la bandari?
Serikali itumie mbinu za kawaida na zisizo za kawaida za kiusalama ili kulinda raia wa nchi hii kujiingiza katika chuki na migogoro isiyo ya lazima. Huu ni mtego wa panya watania waliokuwemo na wasiokuwemo.
Kuna mgogoro gani watu kujadili rasilimali zao?
Naamini katika uwazi na ukweli na naamini katika uhuru wa maoni na habari, lakini kila uhuru ni lazima uwe na mipaka yake. Naona au Tanzania hatuna mipaka ya kujielezza maoni yetu aukama tunayo ama hatuijuwi au tunaiwachiie makusudi mipaka inavukwa?
Kusema bandari imeuzwa ni kuvuka mipaka. Tatizo hapa ni moja, kwamba, unashauri watu wapigwe marufuku kujadili jambo bila kujua huko ni kuwaondolea uhuru wa kujieleza , maoni n.k.
Kuna sheria zilizotungwa dhidi ya ''chuki' hizo zitumike baada ya kuthibitishwa na mahakama
Moderators wa JF tunaomba majukwa haya siasa na habari mchanganyiko yapewe kipa umbele ili yasiwe ni chimbuko la maafa.
I concur with you


JokaKuu Pascal Mayalla
 
Haakuna shaka yoyote, kwa sasa hivi tunaona Watanzania wengi, wanaojiita wasomi, wanaojiita mawakili wakitowa maoni yao kwa lugha ambazo ni za kuudhi, kukebehi, kukejeli mapa kutusi.

Haya yanayoendelea si maoni tena bali ni vunjifu wa amani uliokusudiwa. Uhuru wa maoni ni lazima uwe na mipaka.

Mtu anajiita mwanasheria msomi au wakili msomi , mwanasiasa, anasimama kwenye majukwaa ya habari na kurusha matangazo yaliyojaa chuki kuwa nchi inauzwa, au bandari inauzwa, Wazanzibari waniuza nchi. Na cha kushangaza sana waziri wa habari amekaa kimya. Waziri wa sheria amekaa kimya. Waziri wa mambo ya ndani amekaa kimya, waziri wa ulinzi amekaa kimya.

Nashauri, vyombo vya habari vyote vinavyorusha matangazo ya chuki vichukuliwe hatua kali za kisheria. Wale wote wanaosimama majukwaani na kufanya uchokozi wa makusudi wachukuliwe hatua za kisheria.

Mpaka sisi tuliozowea mitandao ya kijamii tunawashangaa moderators wapo kimya, watu wanaporusha matusi na kejeli mpaka kwa Rais na mawaziri wake. Hivi hatuyaoni? Au tunapenda huu uchokozi uendelee mpaka uzae madhara?

Kuuwasha moto ni kwepesi sana, kazi inakuja katika kuuzima.

Mimi nadhani wale wote wanaodai nchi imeuzwa waende mahakamani au kwa wao kupeleka madai au serikali iwaite mahakamani waje kuonesha nchi imeuzwa wapi na kwa lipi zaidi?

Nahisi kuna watu wapo nyuma ya pazia amabao wanadhani labda yataishia kiwepesi wepesi yakiachiwa yaendelee. Sasa hivi tayari chuki za wazi zinajionesha kati ya Wasio EWaisslam na Waislam, wasio Waarabu na Waarabu, Wabara na Wazanzibari. watu wa pwani na wasio wa pwani.

Hivi hayo yote kweli yamesababishwa na makubaliano ya Dubai na Tanzania yaliyopitishwa bungeni au kuna yanayoendelea nyuma ya pazia ambayo hatuyaelewi?

Tunaionmba serikali ichukuwe hatua za dhati, kila anaerusha au kuongea chuki akajieleze kwa ushahi wa hayo ayasemayo, kama hana ushahidi aseme ukweli ni na nani yupo nyuma yake anaemlipa au kumchochea kufanya hivyo.

Serikali itumie mbinu za kawaida na zisizo za kawaida za kiusalama ili kulinda raia wa nchi hii kujiingiza katika chuki na migogoro isiyo ya lazima. Huu ni mtego wa panya watania waliokuwemo na wasiokuwemo.

Naamini katika uwazi na ukweli na naamini katika uhuru wa maoni na habari, lakini kila uhuru ni lazima uwe na mipaka yake. Naona au Tanzania hatuna mipaka ya kujielezza maoni yetu aukama tunayo ama hatuijuwi au tunaiwachiie makusudi mipaka inavukwa?

Serikali, hususa Waziri wa habari, Nape Nnauye tueleze tupo bado ndani ya mipaka ya sheria au tumekiuka? Kama bado upo ndani ya mipaka ya sheria za uhuru wa maoni, tunaomba shertia zikafanyiwe ukarabati. Ili tuwe nchi yenhe kuheshimu utowaji mapni yetu uwe wa kuheshimiana.

Wewe kama hupendi nilichosema au kufanya mimi nifahamisheni usinitukane.

Moderators wa JF tunaomba majukwa haya siasa na habari mchanganyiko yapewe kipa umbele ili yasiwe ni chimbuko la maafa.


kwanini wasijubu hoja ndiyo uhuru huo. Mipaka pale tu wanaposhidwa hoja?. Hii ni lini Tanzania umesikia CCM yeyote akiambiwa haya maneno wakati kila wakati wanatukana wapinzani! Lini mwana CCM kapelekwa mahakamani kwa kusema mambo ya kizushi kwa upinzani. Wapinzani wameitwa mpaka magaidi mlikuwa wapi wakati huo, wameitwa mabeberu mlikuwa wapi wakati huo mbona wale waliachwa. Sasa mnataka kunyamazisha watu wasomi wenye hoja ya mkataba mbaya!!! Mpinzani gani amewahi kushikwa huko Canada au US Kwa kusema nchi imeuzwa!
 
Haakuna shaka yoyote, kwa sasa hivi tunaona Watanzania wengi, wanaojiita wasomi, wanaojiita mawakili wakitowa maoni yao kwa lugha ambazo ni za kuudhi, kukebehi, kukejeli mapa kutusi.

Haya yanayoendelea si maoni tena bali ni vunjifu wa amani uliokusudiwa. Uhuru wa maoni ni lazima uwe na mipaka.

Mtu anajiita mwanasheria msomi au wakili msomi , mwanasiasa, anasimama kwenye majukwaa ya habari na kurusha matangazo yaliyojaa chuki kuwa nchi inauzwa, au bandari inauzwa, Wazanzibari waniuza nchi. Na cha kushangaza sana waziri wa habari amekaa kimya. Waziri wa sheria amekaa kimya. Waziri wa mambo ya ndani amekaa kimya, waziri wa ulinzi amekaa kimya.

Nashauri, vyombo vya habari vyote vinavyorusha matangazo ya chuki vichukuliwe hatua kali za kisheria. Wale wote wanaosimama majukwaani na kufanya uchokozi wa makusudi wachukuliwe hatua za kisheria.

Mpaka sisi tuliozowea mitandao ya kijamii tunawashangaa moderators wapo kimya, watu wanaporusha matusi na kejeli mpaka kwa Rais na mawaziri wake. Hivi hatuyaoni? Au tunapenda huu uchokozi uendelee mpaka uzae madhara?

Kuuwasha moto ni kwepesi sana, kazi inakuja katika kuuzima.

Mimi nadhani wale wote wanaodai nchi imeuzwa waende mahakamani au kwa wao kupeleka madai au serikali iwaite mahakamani waje kuonesha nchi imeuzwa wapi na kwa lipi zaidi?

Nahisi kuna watu wapo nyuma ya pazia amabao wanadhani labda yataishia kiwepesi wepesi yakiachiwa yaendelee. Sasa hivi tayari chuki za wazi zinajionesha kati ya Wasio EWaisslam na Waislam, wasio Waarabu na Waarabu, Wabara na Wazanzibari. watu wa pwani na wasio wa pwani.

Hivi hayo yote kweli yamesababishwa na makubaliano ya Dubai na Tanzania yaliyopitishwa bungeni au kuna yanayoendelea nyuma ya pazia ambayo hatuyaelewi?

Tunaionmba serikali ichukuwe hatua za dhati, kila anaerusha au kuongea chuki akajieleze kwa ushahi wa hayo ayasemayo, kama hana ushahidi aseme ukweli ni na nani yupo nyuma yake anaemlipa au kumchochea kufanya hivyo.

Serikali itumie mbinu za kawaida na zisizo za kawaida za kiusalama ili kulinda raia wa nchi hii kujiingiza katika chuki na migogoro isiyo ya lazima. Huu ni mtego wa panya watania waliokuwemo na wasiokuwemo.

Naamini katika uwazi na ukweli na naamini katika uhuru wa maoni na habari, lakini kila uhuru ni lazima uwe na mipaka yake. Naona au Tanzania hatuna mipaka ya kujielezza maoni yetu aukama tunayo ama hatuijuwi au tunaiwachiie makusudi mipaka inavukwa?

Serikali, hususa Waziri wa habari, Nape Nnauye tueleze tupo bado ndani ya mipaka ya sheria au tumekiuka? Kama bado upo ndani ya mipaka ya sheria za uhuru wa maoni, tunaomba shertia zikafanyiwe ukarabati. Ili tuwe nchi yenhe kuheshimu utowaji mapni yetu uwe wa kuheshimiana.

Wewe kama hupendi nilichosema au kufanya mimi nifahamisheni usinitukane.

Moderators wa JF tunaomba majukwa haya siasa na habari mchanganyiko yapewe kipa umbele ili yasiwe ni chimbuko la maafa.
Ni kweli kabisa
Hii hali imefika sehemu mbaya.
Serikali inatakiwa ichukue hatua ya haraka sana, wasiwafumbie macho hao wachafuzi
 
Ukiona hao uliowataja mawaziri wamekaa kimya ujue kweli nchi imeuzwa na hao mawaziri wameungana na wazalendo wenzao kupinga huo uuzwaji wa maliasili za tanganyika na hawa wanzabibari wala urojo
ukimya una mshindo.

Subiri "counter".

1688764869633.png


Mzee anakumbuka enzi zake za jeshini.
 
Back
Top Bottom