Uhusiano Huu na Huyu Mshikaji Unanipa Mshangao Mkubwa Sana

Nilikuwaga sipokei na namwambia anasema wewe mshikaji wangu tu ata mda niliopitia magumu watu wengi wakinitenga alikuwa na Mimi bega Kwa bega
 
Kuendana nyota japo yako iko juu kuliko yake so Malaika wenu wamependana hivyo kitendo cha huyo chalii kuwa karibu na ww kuna mambo yake huwa yanaenda vizuri.
 
Hoohoooo isije kuwa ndiyo wale madogo wanao jihita makada wa ccm
 
Kuendana nyota japo yako iko juu kuliko yake so Malaika wenu wamependana hivyo kitendo cha huyo chalii kuwa karibu na ww kuna mambo yake huwa yanaenda vizuri.
Aisee may be na mawazo yangu huyafanyia kazi
 
Kuna mawili kma dogo syo bidhaa bhas anakukubali kma kukubali either age factor
 
Ulikutana vipi na hii familia?
Mwanzo kabisa Mimi na bro wake tulikuwa washikaji akaja kupata kazi akahama mkoa hata Instagram page yake Kuna picha yangu imo ila alikuja punguza mazoea na Mimi alivyoanza sikia natoka na mdogo wake wa kike zikabaki salamu tu
 
Wallah kaka angu angekua ananitafutia mume saizi ningekua mama wa3 mana ana jopo la kila sekta ila wakaka huwa hawatakagi kuona hata una mpenzi
 
Babu mimi ni mtu hatari sana
Mtu hatari unatongozewa demu unaharibu??
Unatolewa out unakubali na unakunywa Kvant mixer kuzima??

Unanunuliwa vizawadi unapokea??

Unapigiwa siku kila asubuhi kijana ajaue mtu hatari kaamkaje??

Stuka, UTASHONWA
 
Dogo yupo sawa sema wewe upo insecure mzee
Tatizo unalo wewe sio yeye
 
Sio kabisa mwana CCM yeye kama Mimi
Sasa kama ni hivyo tafuta kibomba kikubwa rahini kisha kivae na boksa patune haswa kisha akija home kwako kaa sebureni ukiwa hivyo ila usijishitukie kisha mdadisi macho yake kwa kuibia lazima utagundua kitu chanya au hasi ...kamwe shoga awezi kuvumilia anapo hona mkunyeke umetuna ndani ya boksa hata awe mwanajeshi mwenye cheo gani lazima utamgindua tu anaanza kutatalika anapo hona kitu kama hicho.
 
Matusi yapo ngumu ugomvi Kila kitu kipo inategemeana na unakujaje
Kumbe ndo hizo kashikashi mwanzo nilijua mtu mwenye kashikashi ni kama kina lokole au anko t😒

Ahsante kwa kunielewesha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…