Uhusiano Huu na Huyu Mshikaji Unanipa Mshangao Mkubwa Sana

Kabisa Huwa namshauri na kumuonya baadhi ya mambo anapokengeuka
 
Ni upendo tu, usimfikirie vibaya

Huenda kwao yupo wa kiume pekee hivyo anakuona kama kaka

Nataman ningewapata watu kama hao ningejihisi mtu mwenye furaha maishani, upendo wao ni Genuine
 
Mtu hatari unatongozewa demu unaharibu??
Unatolewa out unakubali na unakunywa Kvant mixer kuzima??

Unanunuliwa vizawadi unapokea??

Unapigiwa siku kila asubuhi kijana ajaue mtu hatari kaamkaje??

Stuka, UTASHONWA
Hunijui una haki ku comment mkuu
 
Mh mapenzi ya dogo kwako yamezidi but i believe urafiki wa kweli upo
 
Sina mengi ya kusema zaidi ya kuwatakia kila la heri katika safari yenu ya urafiki mwema

 
Itakua una maokoto/michongo zaidi ake,kwahiyo anakutumia kama sehemu ya mikakati yake mbeleni huko
 
Men of colors mpo active
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…