MWANDENDEULE
JF-Expert Member
- May 24, 2015
- 4,099
- 7,466
NalimholaNimeona watu wengi wameelezea wasukuma na wanyamwezi hapa na makabila yanayoambatana nayo.
Kuua mziki wa fitina wale wenzangu na mie eanyamwezi na binamu zetu wasukuma na viunga vyake tuanze kuongea kisukuma na kinyamwezi ili tuwahakikishie kuwa makabila haya makuu tunasikilizana au hata lugha zetu ni tofauti.
Haya mwendo kasi.... tuanze....
Wangaluka wosee, mlimhola?
Nimeona watu wengi wameelezea wasukuma na wanyamwezi hapa na makabila yanayoambatana nayo.
Kuua mziki wa fitina wale wenzangu na mie eanyamwezi na binamu zetu wasukuma na viunga vyake tuanze kuongea kisukuma na kinyamwezi ili tuwahakikishie kuwa makabila haya makuu tunasikilizana au hata lugha zetu ni tofauti.
Haya mwendo kasi.... tuanze....
Wangaluka wosee, mlimhola?
Nilikuwa natania binamu!!Duuh....
Fuata historia bana ote dugu moja bana.....
Sawa na mtu na binamu yake hawanyimani wala hawadhuriani maana ni nyama ya hamu looh.
Wangaluka mayu, mle vapanga?Nimeona watu wengi wameelezea wasukuma na wanyamwezi hapa na makabila yanayoambatana nayo.
Kuua mziki wa fitina wale wenzangu na mie eanyamwezi na binamu zetu wasukuma na viunga vyake tuanze kuongea kisukuma na kinyamwezi ili tuwahakikishie kuwa makabila haya makuu tunasikilizana au hata lugha zetu ni tofauti.
Haya mwendo kasi.... tuanze....
Wangaluka wosee, mlimhola?
Labda una maana tofautiNi Milambo na sio Mirambo.
Waangalukaa maayuNimeona watu wengi wameelezea wasukuma na wanyamwezi hapa na makabila yanayoambatana nayo.
Kuua mziki wa fitina wale wenzangu na mie eanyamwezi na binamu zetu wasukuma na viunga vyake tuanze kuongea kisukuma na kinyamwezi ili tuwahakikishie kuwa makabila haya makuu tunasikilizana au hata lugha zetu ni tofauti.
Haya mwendo kasi.... tuanze....
Wangaluka wosee, mlimhola?
Nalimhola
Waangalukaa maayu
Kulugo mpolaa?
Wangaluka mayu, mle vapanga?
Ng'wa bhabha.
Nilikuwa Shop tenMkuu ulikuwa kitengo gani hapo Bulyanhulu?
Wapanga (m'hala d'u)Mhola duhu. ... wapanga. ..?
Wapanga (m'hala d'u)
Hadi hapa nilishajua wewe ni wa kusini yaani mdakama/mnyamwezi.
Hapana mkuu ila ni usahihi wa jina hilo.Labda una maana tofauti
Kumbe ulikuwa surface unakula shushu tu. Mie conventional aka narrow veinNilikuwa Shop ten
Hata shimoni nilikuwa natinga kama kawaida, ila nasikia Shop ten haipo tena wote wamehamishiwa shimoniKumbe ulikuwa surface unakula shushu tu. Mie conventional aka narrow vein