Bandiko lako nimeiona la kipuuzi,unapodai CHADEMA walitaka kumdhuru Tundu Lissu, serikali ikampa ulinzi? haya mapenzi ya serikali kwa TL yameanza lini? yalikuwa wapi wakati aliposhambuliwa mchana kweupeee, na risasi 18+
Na Kama CHADEMA walikuwa na njama za kumdhuru TL, sasa siingekuwa vzr mkawakamata na ushahidi, na kuwaaibisha mbele ya Umma? mbona huwa mnawafunga kuwapiga kwa sababu za kitoto? harafu itokee opportunity Kama hii kuwakamata CHADEMA wakitenda jinai, msiwakamate?!! haiingii akilini.
CHADEMA haijawahi kutawala nchi hii, CCM mpo tangu uhuru, unawakumbuka net group solution, wanyama hai kuuzwa nje? Wananchi kuzikwa hai nyamongo? Richmond, EPA.
Nenda katafute kipato kwa Elimu yako, sio kusubili uteuzi, hizi njaa zitawaua vijana, vijana siku hizi mnsendekeza njaa sana, siwalaumu kitaa kugumu, lakini hata Kama unatetea chama chako, jaribu kutumia hoja zenye mashiko, sio hizi story za kisingeli, au za kibongofleva,