Uhusiano wangu na baba yangu

Uhusiano wangu na baba yangu

Baba hata azeeke vipi hawezi kuwa mpumbavu, hata awe na mambo gani ya hovyo hawezi kuwa mpumbavu, tujifunze kutowawekea vinyongo na kupuuza baadhi ya mambo ya mambo yao.

Kikubwa ni kujishusha zaidi na kutoonyesha hasira zako, chuki zako mbele yake kwa kuwa tunahitaji baraka zao zaidi.
Nidhamu ya uoga. Mzazi nae ni mwanadamu so akifanya mambo ya kipumbavu anakuwa ni mpumbavu sababu anafanya upumbavu.

Utakuwa sahihi ukisema sio sawa kushindana na mzazi ambaye amechagua kuwa mpumbavu bali ni vema kumkwepa ili mambo yake yasikuathiri kisaikolojia.

Tukiishi kwa misingi hii hata wewe kesho ukija kuwa na watoto wako utakuwa makini namna unawalea hautawaletea vituko.

Ila tumerithishana mifumo sumu( Toxic Systems) ambayo inafanya watu baadhi kuishi kwa maumivu sana jambo ambalo si sahihi.
 
Mimi ni Mtu mzima wa Miaka 97 mwez wa 8 nafkisha miaka 98, Nakushauri kijana Wangu Achana na huyo baba mpotezee tu hii dunia wte tumekutana tu Hakuna cha Mungu wa pili wala watatu,

Huna baya kam amenyamaza na wew nyamaza Deni la Damu hulipwa kwa Damu, Deni la Shari hulipwa kwa shari,Deni la jeuri hulipwa kwa Jeuri, Jino kwa Jino tu kam hujamkosea usijishushe Na akifa usiende ili iwe fundsho kwa Wapuuz wengne waliobaki.
We mzee unatype kwa kutumia macho na vidole gani khaaaaaah?!
 
Baada ya ule msamaha wa kwanza ulikaa miaka mitano bila kwenda nyumbani kumuona baba yako halafu bado hujui kosa lako, ndio maana mama yako aliachwa na baba yako nadhani naye alikua na akili kama zako

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Hatujasikia upande wa pili wa story bt lets assume ipo kama ulivyo eleza hapa.

Inaonekana mzee wako n mtu wa ku-take control over maisha ya wanae sana. Wewe ulienda kinyume nae ndo maana mlipishana.

Kiimani wazazi uwa tunawapa hadhi ya u-Mungu duniani. Ila kiuhalisia sio hivo. Sometime Your parent can ruin your life so bad kama ukimwendekeza. Wale ni binadamu pia.

Nimeona vijana wengi maisha yao yameharibika kwa kuacha njia zao wanazoziamini na kufuata wanazoelekezwa na mzazi kwa hofu ya kumkwaza endapo atakwenda kinyume nae.

Hivyo basi, kwakua baba yako anahulka ya kutaka kucontrol maisha yako, hata kama utafanya juhudi za kufuatisha alichokisema ili mpatane, bado in a long run mtakuja kukosana tena sababu atataka kuingilia maisha yako tena.

Ishi maisha yako. Wadogo zako watakapo kuwa wakubwa vyakutosha, wataujua undani na watakuwa upande wako tuu. As long as you are safe katika hili.

There might be a serious reason as for why mama yenu alichana na huyo mzee na hajataka hata kuwatafuta hadi leo.
LOL!!! BEST COMMENT 😍
 
Usidanganywe eti una maisha yako. Baba yako siyo mshikaji wako. Hata kiroho ana nguvu sn. Ninachokiona kwako na ambacho baba yako hakukigundua ni umri uliokuwa nao wakati unamaliza form 4. Ulikuwa kwenye kipindi Cha FOOLISH AGE ambacho huambatana na hulka mbalimbali km kujiona mkubwa na mwenye nguvu za mwili kuliko MTU yeyote. Ndiyo maana baada ya kuambiwa uingie kazi ya Police wewe uliamua kuondoka bila kujali impact ya uamuzi wako kwako mwenyewe na kwa baba yako. Kitendo hicho ni dhahiri ulimdharau sn baba yako. Hata km hukutaka kwenda u-police ulitakiwa kuongea kwa upole na staha na baba yako kwa kumshawishi uendelee na masomo na pengine hata kuwatumia ndugu wa baba yako km shangazi na baba zako wadogo au wakubwa au huyo mama yako wa kambo.

Kila mzazi anapenda kuona mtoto wake akifanikiwa. Najua wakati anakuambia uende police huenda kuna kitu alikiona ndani yako. Ila wewe kwa kibri kutokana na foolish age ukamdharau ukaamua kuhama nyumbani. Ukasahau kuwa "running away from a problem is not a way of solving a problem".

Km ni mimi hapo usingerudi milele. Ifike wakati tujue wazazi siyo wake wenza au sawa na mawifi kila mara kusuguana kwa maneno. Yakupasa kumsikiliza mzazi wako, penye shida unatufuta njia sahihi siyo kumuonesha kibri kuwa hata bila yeye wewe mwenyewe unasonga mbele. Huo ni ukosefu wa nidhamu na maadili. Leo ni mzima unaongea kwa kibri ipo siku unaweza kumuhitaj kwa lolote na ndiyo maana hata wakati unaomba mkopo Bidi ya elimu ya juu ulitumia jina lake km unajiona baba yako siyo kitu Wala lolote kwa nini usingeandika hata jina la mjomba wako kwenye hizo form za mkopo.

Mimi km mtu mzima nakushauti nenda kamuombe baba yako msamaha hata km unaona huna kosa, yeye analiona na hata mimi nineliona. Vijana msijianye wa mjini sana au kujitia ujuaji wa kipuuzi kwa sababu za marafiki waliokosa maadili ya wazazi wao, mtapotea. Hata uwe na elimu kiasi gani au mali kiasi gani hivyo vyote havijawahi kumzika mtu.

Alafu eti unajinasibu kuwa wewe ni mhitimu chuo kikuu. Chuo kikuu gani hicho ambacho huwezi kutumia intellects zako ku-solve mambo madogo km hayo hadi unakimbilia mitandaoni.

Usidharau maneno yangu, what goes around comes around. Na ukishupaza shingo kwa kuokoteleza ushauri wa humu wa baadhi ya watu wanaokusapiti ipo sku utakuja kujuta na tayari itakuwa too late. Take care.
Ushauri mzuri sana huu....huyu mleta uzi anaangalia alipoangukia badala alipojikwaa....tatizo lilianza alipokataa kwenda polisi na mbaya zaidi akaondoka nyumbani.....hapa ndo alipoharibu na kwa mzazi yeyote hiyo ilikuwa dharau kabisa na ipo wazi hiyo.....dharau ikaendelea alipokaidi kwenda alipomwambia aende kuomba msamaha kwa baba zake wakubwa na shangazi zake.....!!Mi namshauri ajishushe arudi kwa baba ake wakayamalize.... otherwise dunia itamfundisha kama ulivyomsema what's comes around goes around.....yatakuja kumrudia kwa watt zake halafu ndo atajua vzr.
 
Wakuu mmebarikiwa sana sana.

Moja kwa moja kwny hoja, kwny familia yetu mimi ni first born bahati mbaya mimi na wadogo zng hatukulelewa na mama mzazi maana inasemekana mzee na mama waliachana tukiwa bdo wadogo so mzee alioa mke mwngne.

Mwaka nliomaliza kdato cha 4 ndo ilikuwa mara yng ya kwanza kukosana na mzee kwan alikuwa hataki niendelee kusoma aktaka niwe polisi nliamua kuondoka nyumbani nikiwa na vitabu vyangu na cheti na nguo nilizovaa tu.

Kufupisha story nlienda kuish kwa rafiki zake na ndugu yng mtoto wa aunt yng at last aunt alinitafutia shule kdato cha 5 mpk cha 6 nikamaliza nikafaulu vema ksha aunt akanishauri nirud home kwa mzee, kweli nilirud na mzee alinpokea kwa amani sn maisha yakaendelea nikafanya process za chuo nikapata na mkopo pia nikapata.

Nilipohitimu chuo kikuu skuwa na mawazo ya kurud kuish home hata kama nikirud bs nikae muda mfupi sn nipange chumba chng uzuri nilikuwa nimeshanunua kila ktu yan ktanda nk. Na pale home nilikuwa naish nyumba ya nje ndo kulikuwa geto kwng.

Niliporejea home toka chuo nikaanza mishe mishe zng wkt mwngn nlikuwa narud night si mnajua changamoto za usafiri dar na home ni karibia na chanika uko sa ikishafka jion uko town ujue mpk utoboe maeneo ya chanika hapo ni tano au sita usku. Itategemea sasa hiyo jion unatokea wp na umeanza safari saa ngapi. Kwaiyo mara nyng nlikuwa narud night, skuwa na wasiwasi ukzngatia room yng iko nje sisumbui mtu kunifungulia wala kudai chakula.

Siku moja asubuhi npo kwny daladala naona sms ya mzee akitaka ninapotoka nikfunga room yng nikabiz funguo kwa ma mdogo mmmh kweli ilinchukua muda kumjbu nikawa nawaza kuna shda gn tena na lengo ni nn je iktokea nimerud usku je niwagongee wanpe key? Nikapata majbu kwmb inatakiwa sasa nihame kbs home nikapange room then nikabz room kbs, so nikamjbu mzee naomba unpe wk 2 nikamilishe mambo ya kulipia room nikukabiz chumba ili kuepusha misuguano.

Mzee akanijbu kama nahama bs ktanda nikiache kwan wakija wageni watakuwa wanalala wp. Nikajiulza naachaje ktanda chng na sina hela ya kununua kngne?

Kweli nliamua kuacha ktanda ila godoro na vngnevyo nlibeba. Hapo ndpo mgogoro mkubwa ulianza mzee akawa ananilaumu kwann nlihama nyumban na tuhuma nyngn nyng sn. Hazkunisumbua kbs, tulipata msiba wa bibi sku ya kuzka watu walisema bibi hazkwi mpk tofauti zng na mzee ziishe niliamriwa kuomba msamaha, nlitii tena kwa magoti mzee akasema mbona sina tatzo na uyu mtoto kbs.

Basi mi nikajua yameisha sasa, msiba ulipokwsha nlikwenda mtembelea mzee nyumban yan hapo ilikuwa imepta miaka kama mitano sjakanyaga home kbs, nlimkuta mzee na mama mdogo sasa nikawa nimekaa kando na mzee story za hapa na pale nikamwambia mzee nashukuru sn kwa msamaha wake sa tuanze maisha mapya, aisee mzee alinigeuka hatari akasema alishani delete kbs haitaji mi nimuite baba kwan mtu yeyote anaweza kuwa baba, nliomba msamaha tena na tena bt aligoma at last akanpa masharti eti niende kijijin uko kanda ya ziwa nikaombe msamaha kwa kaka ake na dada ake ksha niende kwny kabuli la bibi napo niombe msamaha ksha ndo nirud kwake.

Mmmh hakika nafsi iligoma na wala skumjbu chochote ila nilimuaga ksha nikaenda ndan kumuaga ma mdogo na kumwambia mzee bdo kabaki na msimamo wake kumbe hajasamehe kwaiyo mi ndo naondoka stakanyaga tena mji huu bs ma mdogo naye akajsemesha semesha hapo nikaondoka zng, leo ni miaka mi5 sjakanyaga home kbs.

Npo na maisha yng na family yng knachonisktisha mzee akawa anapga kampen ya kunigombanisha na wadogo zng na ndugu zng wengne wasje kwangu wala wasinisaidie chochote, nlifiwa na mtoto wng nlitoa taarifa kwa wote mpk na mzee ila hawakuja bt namshukuru MUNGU SN WALIKUJA BAADHI YA MADOGO BT KIFUPI MSIBA ULIBEBWA NA KANISA MI NILINUNUA JENEZA TU.

NAMSHUKURU MUNGU NAENDELEA NA MAISHA YNG NAISHI KAMA SINA NDUGU ILA NDUGU ZNG HUWA NI WATU WA KANISANI TU KULIKO WA UKOO AU WA DAMU KWNY SHIDA NA RAHA.

Sa wakuu naomba mniambie nimekosea wapi na nifanye nini, bnafs nina amani kbs sina tatzo.
KARIBUNI.
Kwani ungeenda kwa dada'ke na kaka'ke na kuzuru kaburi la bibi yako ungepungukiwa nini?

Kwa kufanya kiburi na kukataa hilo ndipo ulipomuumiza muumiza baba'ko, kwa muono wake na makuzi yake, ambayo ni tofauti na yako, umemvunjia hadhi yake kwa ndugu zake.

Vijana mnakuwa na yenu mapya na wazazi wenu walilelewa na mila na desturi zao, hata kama hamkubaliani nazo haina sababu ya kuwafanyia kiburi.

Nashukuru, Kiislam tunafundishwa kutoka kwenye Qur'an kuwa kwa wazazi hatutakiwi hata kuwagunia "mnhh" licha ya kuwajibu na kupingana nao, mradi haitutowi kwenye Uislam wetu.

Rudi, fata aliyokushauri baba'ko "to the dot" . Wachana na kiburi.
 
WEWE ni mjeuri na una kiburi,,ungekua unataka amani na baba Yako pindi amekupa masharti yake sijui ukamuombe msamaaa nana na nani kwanza ndio urudi kwake ungetekeleza...ajabu ww ukampuuza sijui kwann ila inaonekana ni kiburi chako Cha ndani..

Uyo ni baba Ako tu,,unasema una familia subiri na ww ilo toto lako litakuja kukutenga mpaka ukome..kijana acha kiburi na ujuaji Rudi Kwa baba Ako mnynyekeee msikilize na myajenge..na nenda kama mtoto sio kujiona mkubwa mwenzake kisa una kifamilia.
 
Mama yako mzazi una mawasiliano nae? Mahusiano yako na yeye yapoje
 
Umesoma lakini alichokiandika au umetoa tu ushauri boss?
Sijajua ulitaka uone ushauri gani,
1. Kalelewa upande wa baba
2. Waliishi dar
3. Alioomaliza chuo alikua na mishe anachelwa kurudi baba hakupenda hilo
4. Kaamua kuhama na sasa anafamilia
5. Alifiwa na ndugu hawakuja
6. Yeye ako na amani kabisa ila anataka kujua amekosea wapi.

Ulitaka nimwambieje? Kama sio kuyajenga na baba ake kama anaona inafaa?
 
Wakuu mmebarikiwa sana sana.

Moja kwa moja kwny hoja, kwny familia yetu mimi ni first born bahati mbaya mimi na wadogo zng hatukulelewa na mama mzazi maana inasemekana mzee na mama waliachana tukiwa bdo wadogo so mzee alioa mke mwngne.

Mwaka nliomaliza kdato cha 4 ndo ilikuwa mara yng ya kwanza kukosana na mzee kwan alikuwa hataki niendelee kusoma aktaka niwe polisi nliamua kuondoka nyumbani nikiwa na vitabu vyangu na cheti na nguo nilizovaa tu.

Kufupisha story nlienda kuish kwa rafiki zake na ndugu yng mtoto wa aunt yng at last aunt alinitafutia shule kdato cha 5 mpk cha 6 nikamaliza nikafaulu vema ksha aunt akanishauri nirud home kwa mzee, kweli nilirud na mzee alinpokea kwa amani sn maisha yakaendelea nikafanya process za chuo nikapata na mkopo pia nikapata.

Nilipohitimu chuo kikuu skuwa na mawazo ya kurud kuish home hata kama nikirud bs nikae muda mfupi sn nipange chumba chng uzuri nilikuwa nimeshanunua kila ktu yan ktanda nk. Na pale home nilikuwa naish nyumba ya nje ndo kulikuwa geto kwng.

Niliporejea home toka chuo nikaanza mishe mishe zng wkt mwngn nlikuwa narud night si mnajua changamoto za usafiri dar na home ni karibia na chanika uko sa ikishafka jion uko town ujue mpk utoboe maeneo ya chanika hapo ni tano au sita usku. Itategemea sasa hiyo jion unatokea wp na umeanza safari saa ngapi. Kwaiyo mara nyng nlikuwa narud night, skuwa na wasiwasi ukzngatia room yng iko nje sisumbui mtu kunifungulia wala kudai chakula.

Siku moja asubuhi npo kwny daladala naona sms ya mzee akitaka ninapotoka nikfunga room yng nikabiz funguo kwa ma mdogo mmmh kweli ilinchukua muda kumjbu nikawa nawaza kuna shda gn tena na lengo ni nn je iktokea nimerud usku je niwagongee wanpe key? Nikapata majbu kwmb inatakiwa sasa nihame kbs home nikapange room then nikabz room kbs, so nikamjbu mzee naomba unpe wk 2 nikamilishe mambo ya kulipia room nikukabiz chumba ili kuepusha misuguano.

Mzee akanijbu kama nahama bs ktanda nikiache kwan wakija wageni watakuwa wanalala wp. Nikajiulza naachaje ktanda chng na sina hela ya kununua kngne?

Kweli nliamua kuacha ktanda ila godoro na vngnevyo nlibeba. Hapo ndpo mgogoro mkubwa ulianza mzee akawa ananilaumu kwann nlihama nyumban na tuhuma nyngn nyng sn. Hazkunisumbua kbs, tulipata msiba wa bibi sku ya kuzka watu walisema bibi hazkwi mpk tofauti zng na mzee ziishe niliamriwa kuomba msamaha, nlitii tena kwa magoti mzee akasema mbona sina tatzo na uyu mtoto kbs.

Basi mi nikajua yameisha sasa, msiba ulipokwsha nlikwenda mtembelea mzee nyumban yan hapo ilikuwa imepta miaka kama mitano sjakanyaga home kbs, nlimkuta mzee na mama mdogo sasa nikawa nimekaa kando na mzee story za hapa na pale nikamwambia mzee nashukuru sn kwa msamaha wake sa tuanze maisha mapya, aisee mzee alinigeuka hatari akasema alishani delete kbs haitaji mi nimuite baba kwan mtu yeyote anaweza kuwa baba, nliomba msamaha tena na tena bt aligoma at last akanpa masharti eti niende kijijin uko kanda ya ziwa nikaombe msamaha kwa kaka ake na dada ake ksha niende kwny kabuli la bibi napo niombe msamaha ksha ndo nirud kwake.

Mmmh hakika nafsi iligoma na wala skumjbu chochote ila nilimuaga ksha nikaenda ndan kumuaga ma mdogo na kumwambia mzee bdo kabaki na msimamo wake kumbe hajasamehe kwaiyo mi ndo naondoka stakanyaga tena mji huu bs ma mdogo naye akajsemesha semesha hapo nikaondoka zng, leo ni miaka mi5 sjakanyaga home kbs.

Npo na maisha yng na family yng knachonisktisha mzee akawa anapga kampen ya kunigombanisha na wadogo zng na ndugu zng wengne wasje kwangu wala wasinisaidie chochote, nlifiwa na mtoto wng nlitoa taarifa kwa wote mpk na mzee ila hawakuja bt namshukuru MUNGU SN WALIKUJA BAADHI YA MADOGO BT KIFUPI MSIBA ULIBEBWA NA KANISA MI NILINUNUA JENEZA TU.

NAMSHUKURU MUNGU NAENDELEA NA MAISHA YNG NAISHI KAMA SINA NDUGU ILA NDUGU ZNG HUWA NI WATU WA KANISANI TU KULIKO WA UKOO AU WA DAMU KWNY SHIDA NA RAHA.

Sa wakuu naomba mniambie nimekosea wapi na nifanye nini, bnafs nina amani kbs sina tatzo.
KARIBUNI.
Kama ulichoeleza hapa ni sahihi hakuna kitu ulichoficha basi Mimi binafsi sioni tatzo??

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Sorry to say ila una shida nyingi.

Ulipofanyiwa mpango wa upolisi na baba yako ukaruka mita 1000 na kuondoka nyumbani tatizo lilianzia hapa.
Sijui historia ya nyuma ya maisha yenu ila ni ile aina ya watoto ambao tayari wana black mentality juu ya wamama wa kambo.tayari uliishaona baba hakutakii mema tangu alipoamua kuachana na mama yako.

Angalia ndugu zako wote wanakutenga si kwa sababu wameambiwa na baba yako ila ni ukweli wewe ni kimeo,sema hujui ama hutaki na hauko tayari kujua.

Unasema unaomba msamaha,sijajua ni msamaha wa namna gani,ila inaonekana ni ule msamaha wa shinikizo..

Sikushauri ukomae na utaratibu huo wa maisha,jenga ukaribu na ndugu zako kisha mzee,inawezekana hujakaa sawa kiuchumi ndio sababu kila akikuangalia anapata hasira jinsi ulivyoamua maamuzi ya kimbuzi kwa kutomsikiliza,ungeenda upolisi kisha uendelee na shule huku ukisaidia wengine na yeye pia,badala yake ukawa kijana wa kulala uwani na kurudi saa tano usiku[emoji23][emoji23]
 
Wewe wewe wewe mleta mada narudia tena km BANDOKITITA, Jana nilikuambia na leo nakuambia. Mtoto kwa mzazi hakui, mzazi huwa hakosei(wahenga walisema), na mzazi ni Mungu wako wa 2 baada ya unaemuabudu. Hivi unajua kwa nini baada ya mama yako kuachana na baba yako bado baba yako alihakikisha damu yake haipotei akamwambia mama yako aondoke ila amuachie watoto wake ambao ni nyie. Unadhani km asingekuwa na mapenzi na wewe unafikiri angeshindwa kumwambia wewe uende na mama yako alafu wadogo zako ndiyo abaki nao? Kawalea kwa tabu bila mama yenu mzazi alafu leo unakuja kumlipa ujeuri.

Ngoja nikuulize, km angekuwa ni mama yako kakufanyia uliyoeleza hapa na akakuambia ukaombe msamaha ungekataa? Tena hata jf usingekuja kuandika upuuzi huu. Nyie ndiyo watoto mliojaa ujinga kuwa "nani km mama" ndiyo maana unamdharau baba yako. Nina uhakika km angekuwa ni mama yako mzazi usingemfanyia haya uliyofanya kwa baba yako sema umeona ni baba tena mnaowaita majina ya Kila aina yasiyo na staha km "dingi, mshuwa, Mzee, nk" ndiyo maana umemdharau bila kujua kuwa ipo sku na wewe utazeeka na majina hayo yote yatakuhusu.

Na kinachooneka kinakupa kibri kwa sasa ni hicho ki-degree chako na kikazi ulicho nako bila kujua vyote hivyo havina maana km hujiheshimu na kuheshimu wazazi wako. Hata huyo MKE uliye naye hayuko Smart kichwani, anawezaj kuishi na wewe bila kujua kwenu Wala mzazi wako then she's comfortable kana kwamba wewe ni mtoto yatima? Au ni wale wanawake wa "sogeabtukae". Mwanamke anaejitambua asilani abadani asingekubali kukaa na wewe bila kwenda kumpeleka kwa wazazi wako. Usijifanye kuwa mwerefu sn wakati mbele ni giza. Hivi watoto wako wakikua watajifunza nini kutoka kwako? Jana nilikuambia "what goes around comes around". Take care, "Dunia ni mti mkavu kiumbe usiuegemee." Usibabaike na hivyo vihela kidogo ulivyo navyo.

Kwa hiyo unasubiri baba yako afe ndo ukaombe msamaha kwenye kaburi lake au hata msibani hutaenda na mirathi huitaji. Kumbuka huyo siyo kaka, dada, au mdogo wako kwamba unaweza ku-take easy na maisha yakaenda. Huyo ni mzazi wako unaetembelea damu yake ktk mwili wako na una DNA yake.

Km unajifanya wa kisasa wa kizazi Cha wahuni na ushoga basi endelea kukaza shingo ipo siku hata hao wadogo zako watakuona bwege.

Nimemaliza.
 
Mimi ni Mtu mzima wa Miaka 97 mwez wa 8 nafkisha miaka 98, Nakushauri kijana Wangu Achana na huyo baba mpotezee tu hii dunia wte tumekutana tu Hakuna cha Mungu wa pili wala watatu,

Huna baya kam amenyamaza na wew nyamaza Deni la Damu hulipwa kwa Damu, Deni la Shari hulipwa kwa shari,Deni la jeuri hulipwa kwa Jeuri, Jino kwa Jino tu kam hujamkosea usijishushe Na akifa usiende ili iwe fundsho kwa Wapuuz wengne waliobaki.
Ningekujibu ila basi. Haya mtu mzima.
 
Wewe wewe wewe mleta mada narudia tena km BANDOKITITA, Jana nilikuambia na leo nakuambia. Mtoto kwa mzazi hakui, mzazi huwa hakosei(wahenga walisema), na mzazi ni Mungu wako wa 2 baada ya unaemuabudu. Hivi unajua kwa nini baada ya mama yako kuachana na baba yako bado baba yako alihakikisha damu yake haipotei akamwambia mama yako aondoke ila amuachie watoto wake ambao ni nyie. Unadhani km asingekuwa na mapenzi na wewe unafikiri angeshindwa kumwambia wewe uende na mama yako alafu wadogo zako ndiyo abaki nao? Kawalea kwa tabu bila mama yenu mzazi alafu leo unakuja kumlipa ujeuri.

Ngoja nikuulize, km angekuwa ni mama yako kakufanyia uliyoeleza hapa na akakuambia ukaombe msamaha ungekataa? Tena hata jf usingekuja kuandika upuuzi huu. Nyie ndiyo watoto mliojaa ujinga kuwa "nani km mama" ndiyo maana unamdharau baba yako. Nina uhakika km angekuwa ni mama yako mzazi usingemfanyia haya uliyofanya kwa baba yako sema umeona ni baba tena mnaowaita majina ya Kila aina yasiyo na staha km "dingi, mshuwa, Mzee, nk" ndiyo maana umemdharau bila kujua kuwa ipo sku na wewe utazeeka na majina hayo yote yatakuhusu.

Na kinachooneka kinakupa kibri kwa sasa ni hicho ki-degree chako na kikazi ulicho nako bila kujua vyote hivyo havina maana km hujiheshimu na kuheshimu wazazi wako. Hata huyo MKE uliye naye hayuko Smart kichwani, anawezaj kuishi na wewe bila kujua kwenu Wala mzazi wako then she's comfortable kana kwamba wewe ni mtoto yatima? Au ni wale wanawake wa "sogeabtukae". Mwanamke anaejitambua asilani abadani asingekubali kukaa na wewe bila kwenda kumpeleka kwa wazazi wako. Usijifanye kuwa mwerefu sn wakati mbele ni giza. Hivi watoto wako wakikua watajifunza nini kutoka kwako? Jana nilikuambia "what goes around comes around". Take care, "Dunia ni mti mkavu kiumbe usiuegemee." Usibabaike na hivyo vihela kidogo ulivyo navyo.

Kwa hiyo unasubiri baba yako afe ndo ukaombe msamaha kwenye kaburi lake au hata msibani hutaenda na mirathi huitaji. Kumbuka huyo siyo kaka, dada, au mdogo wako kwamba unaweza ku-take easy na maisha yakaenda. Huyo ni mzazi wako unaetembelea damu yake ktk mwili wako na una DNA yake.

Km unajifanya wa kisasa wa kizazi Cha wahuni na ushoga basi endelea kukaza shingo ipo siku hata hao wadogo zako watakuona bwege.

Nimemaliza.
Aaahaahaaa
 
Wewe wewe wewe mleta mada narudia tena km BANDOKITITA, Jana nilikuambia na leo nakuambia. Mtoto kwa mzazi hakui, mzazi huwa hakosei(wahenga walisema), na mzazi ni Mungu wako wa 2 baada ya unaemuabudu. Hivi unajua kwa nini baada ya mama yako kuachana na baba yako bado baba yako alihakikisha damu yake haipotei akamwambia mama yako aondoke ila amuachie watoto wake ambao ni nyie. Unadhani km asingekuwa na mapenzi na wewe unafikiri angeshindwa kumwambia wewe uende na mama yako alafu wadogo zako ndiyo abaki nao? Kawalea kwa tabu bila mama yenu mzazi alafu leo unakuja kumlipa ujeuri.

Ngoja nikuulize, km angekuwa ni mama yako kakufanyia uliyoeleza hapa na akakuambia ukaombe msamaha ungekataa? Tena hata jf usingekuja kuandika upuuzi huu. Nyie ndiyo watoto mliojaa ujinga kuwa "nani km mama" ndiyo maana unamdharau baba yako. Nina uhakika km angekuwa ni mama yako mzazi usingemfanyia haya uliyofanya kwa baba yako sema umeona ni baba tena mnaowaita majina ya Kila aina yasiyo na staha km "dingi, mshuwa, Mzee, nk" ndiyo maana umemdharau bila kujua kuwa ipo sku na wewe utazeeka na majina hayo yote yatakuhusu.

Na kinachooneka kinakupa kibri kwa sasa ni hicho ki-degree chako na kikazi ulicho nako bila kujua vyote hivyo havina maana km hujiheshimu na kuheshimu wazazi wako. Hata huyo MKE uliye naye hayuko Smart kichwani, anawezaj kuishi na wewe bila kujua kwenu Wala mzazi wako then she's comfortable kana kwamba wewe ni mtoto yatima? Au ni wale wanawake wa "sogeabtukae". Mwanamke anaejitambua asilani abadani asingekubali kukaa na wewe bila kwenda kumpeleka kwa wazazi wako. Usijifanye kuwa mwerefu sn wakati mbele ni giza. Hivi watoto wako wakikua watajifunza nini kutoka kwako? Jana nilikuambia "what goes around comes around". Take care, "Dunia ni mti mkavu kiumbe usiuegemee." Usibabaike na hivyo vihela kidogo ulivyo navyo.

Kwa hiyo unasubiri baba yako afe ndo ukaombe msamaha kwenye kaburi lake au hata msibani hutaenda na mirathi huitaji. Kumbuka huyo siyo kaka, dada, au mdogo wako kwamba unaweza ku-take easy na maisha yakaenda. Huyo ni mzazi wako unaetembelea damu yake ktk mwili wako na una DNA yake.

Km unajifanya wa kisasa wa kizazi Cha wahuni na ushoga basi endelea kukaza shingo ipo siku hata hao wadogo zako watakuona bwege.

Nimemaliza.
Kituko hiki kikupate wewe na familia yako
 
Sorry to say ila una shida nyingi.

Ulipofanyiwa mpango wa upolisi na baba yako ukaruka mita 1000 na kuondoka nyumbani tatizo lilianzia hapa.
Sijui historia ya nyuma ya maisha yenu ila ni ile aina ya watoto ambao tayari wana black mentality juu ya wamama wa kambo.tayari uliishaona baba hakutakii mema tangu alipoamua kuachana na mama yako.

Angalia ndugu zako wote wanakutenga si kwa sababu wameambiwa na baba yako ila ni ukweli wewe ni kimeo,sema hujui ama hutaki na hauko tayari kujua.

Unasema unaomba msamaha,sijajua ni msamaha wa namna gani,ila inaonekana ni ule msamaha wa shinikizo..

Sikushauri ukomae na utaratibu huo wa maisha,jenga ukaribu na ndugu zako kisha mzee,inawezekana hujakaa sawa kiuchumi ndio sababu kila akikuangalia anapata hasira jinsi ulivyoamua maamuzi ya kimbuzi kwa kutomsikiliza,ungeenda upolisi kisha uendelee na shule huku ukisaidia wengine na yeye pia,badala yake ukawa kijana wa kulala uwani na kurudi saa tano usiku[emoji23][emoji23]
kituko
 
Back
Top Bottom