Pole jamaa Ila naelewa situation unayopitia ,na maumivu makali.
Acha nikwambie ukweli na kubaliana nao, ukiona mwanamke anaongea na wewe kwa kujiamin Sana bila waswas jua hapo huna chako Zaid kuna mwamba kakuzid kete either kimapenz au kifeza ,Mara nyingi Hawa viumbe Ni watu wa ajabu Sana na wakikuchoka wanachoka kweli kweli .
Kuendelea kumfuatilia Ni kujitafutia pressure za bure tu.
Huyo kwasasa anakuona kawaida Sana ,maana mwanamke anayekupenda hata kupokea cm ya mtu mwingine hata angekua rafik lazima aogope au kuweka hii loud ili kukuaminisha kuwa Hana hizo mbishe na hili atalifanya bila kumshurutisha Wala kumwambia chochote Zaid atajikosha yeye km yeye.
Mwanamke anayekuambia ulichosikia ndio ukweli wenyewe kimbia mita 100 , najua unampenda Sana Lakin kubali kuwa mjinga mtumwa wa maumivu ndani ya mwezi mmoja .
Usipige cm ,Wala kutuma sms ,Wala kujibu sms yake yoyote ile hata iwe ya msamaha ,unajua kwann nakwambia Ivo hii itampa maumivu yeye kuona upo cool na huna time nae Ila kumbe unaumia vibaya Sana.
Niamin mm huyo mwanamke atakutafuta tu kwa magoti na akija usionyeshe udhaifu kwake mkazie kazie baadae unajifanya unarud kishongo upande ,haki lazima atakuheshimu balaaa.
Ukimkazia asipokutafuta Basi jua Kuna mdau kakuzid kete pakubwa sna so itabid ukubaliane na matokeo songa mbele .
Mimi Nina kanuni yangu moja mwanamke akileta ujuaji ninachofanya Ni kuwala marafik zake wa karibu yaan ntafanya kila njia ili niwale kuepusha dharau ,na hakuna kitu kinamuuma mwanamke km ukimla rafiki ake ,lazima tu atakutafuta na kukupa lawama zote alafu usimjibu chochote .
Note:kupendana na demu wa chuo Ni kujitafutia magonjwa ya pressure bure ,demu real mpate akiwa kitaa ashamaliza chuo na amekaa kitaa hata mwaka ashajua nn maana ya maisha , huko chuo wengi wanakua na Ile Hali ya kujiona bado mabinti wabichi ,na wanapigwa bumbu Sana sabab ya njaa zao na maisha ya kuigiza.
Kama umepita chuo nadhan utakua unanielewa ninachokuambia hapa ,
Achana na huyo manzi kubali kubeba maumivu Kuna muda utakua free Sana pia utajicheka Sana kwa kumlilia demu wa dizain hiyo ,wanawake wamejaa kila Kona tafuta wa kupoza machungu huku ukiendelea kumsahau .
Futa picha zake ,futa no zake ,block fb ,ig ,wasap ,kila Kona alafu songa mbele ,Kama anakupenda ipo cku atakutafuta kwa gharama yoyote ile Sasa ndio itakua zamu yake kulia.