Uingereza: Chris Whitty asema hakuna haja ya lockdown, wataishi na Corona kama mafua

MATAGA kazi mnayo
 
Wachana na hizo ndoto za uhuru na mzalendo kupitia kwa huyu MATAGA
 
Labda wazungu wa chato kilimani,hayati mwenyewe covid imempiga mpka kameza ulimi na kufariki,wasalimie wazungu wa chato maendeleo yana vyama.
[emoji870]tena kwa hayati
 
And what were the intentions of JPM? To kill us? Of what benefit are our deaths to him? On the other hand, harsh economic circumstances as a result of measures such as lockdown would certainly have killed a good number of us, so again, what were his intentions upon which you desire to judge the late president?
 
Vatican najua mnasikia, mpendwa wetu hayati John Joseph Pombe Magufuli atangazwe Mwenye Heli....kuekekea kuwa Mtakatifu!
Nimeanza kuona miujiza kupitia kwake....
"Kupitia kwa mtumishi wako John, naweka nia nakuomba Vatican waisikie sauti yangu juu ya uwepo wa miujiza ya kushangaza katika yale aliyoyaamini Magufuli....."
 
Magu was not right at all, they were right as you can not put lives of your citizens at risk by taking for granted all precautionery measures required against Covid as Magu did to Us.

Magufuli kept our lives at risks.
🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪kwi kwi
👻👻👻👻👻👻🐒🐒🐒🐒🐒🐒🐒🐒
MAGULIFICATION OF EUROPE
 


Listen , the late president cared more for economic and materials gain of the state than individuals wellbeings as a result he was reluctant to impose just a partial lockdown and during the second phase of the disease he put no pressure prescribed and advised by medical experts to combat the disease as it was previously in the first phase of the disease, he falsely insisting that the disease was just like the normal flu and nothing to fear, by a lock down people would die of hunger etc,!!!, his hidden agenda was; by any lock down (partial or fully) there would be little incomes from Tax collections and the white elephant projects like the SGR etc would deteriorate, people did not understand this hidden trick and took the whole scenario of the disease at ease and leasure resuling into deaths of several people as results, again to hide the manace he blind fooled and folded Tz mass and the world by not exposing the statistics of deaths and infection from the disease.

To cut the well known story short, how can you name a man of such nature??

He sacrificed our lives for his ambitious state economic and material gains, he did not know that people lives are more valuable than the SGR etc, that's why I say his intention was a sinister hiden under a sheep skin. He was very ambitious to set a legacy surpassing his predecessors, that legacy blurred his mind.
 
Mkalimani unatuingiza chaka!
 
Hivi hujaamini tu kuwa enzi za kusifu na kuabudu zimepita? Hii ni awamu ya sita,kila zama na vitabu vyake.
 
Korona imemwondoa
 
Kama unavyodai hizo sehemu zoote hazikuwa na lockdown n.k. iweje sasa kila kuchao ni "covid denial president", Tanzania haitoi takwimu n.k. na maneno lukuki kuhusu TZ na siyo Sweden
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…