Uingereza: Chris Whitty asema hakuna haja ya lockdown, wataishi na Corona kama mafua

Uingereza: Chris Whitty asema hakuna haja ya lockdown, wataishi na Corona kama mafua

Sasa mbona mlikuwa mnapiga kelele magufuli aweke lockdown wakati kuna nchi zingine HAWAJAWEKA?.
tunamsifu magufuli sababu WALIMUANDAMA SANA.
Wakati mwingine tuache kujibambikia sifa za kijinga.Kwa taarifa yako Sweden,Philippines,Singapore,Nicaragua na South Korea hawakuwa na lockdown.Pia yapo baadhi ya majimbo huko USA hayakuwa na lockdown eg South Dacota,North Dacota and Wyoming.

Sehemu zote hizo wazungu hawakuziona isipokuwa Tanzania ya Magufuli.
 
Sasa mbona mlikuwa mnapiga kelele magufuli aweke lockdown wakati kuna nchi zingine HAWAJAWEKA?.
tunamsifu magufuli sababu WALIMUANDAMA SANA.
Hivi watu walikuwa wanamtaka JPM aweke lockdown au serikali ichukue hatua ya kudhibiti kuenea kwa ugonjwa? Hivi nyie watu mbona mnapenda kupotosha na kutetea ujinga?! Ukiwasikia watu wengi wanazungumzia issue za barakoa na kuepusha misongamano! Hivi kuna Mtanzania atakayeshabikia lockdown wakati majority maisha yao yanaendeshwa na shughulizi zisizo rasmi?! Endeleeni kutetea ujinga lakini mzee wenu hata kama mnadanganyana amekufa kwa ugonjwa wa moyo, kuna uwezekano mkubwa corona ikawa imechangia manake kila mwenye utimamu anafahamu huwezi kucheza na corona wakati mtu mwenyewe ni spana mkononi!!!
 
Naona ulikuwa bado Mtoto au haujazaliwa.
Hivi watu walikuwa wanamtaka JPM aweke lockdown au serikali ichukue hatua ya kudhibiti kuenea kwa ugonjwa? Hivi nyie watu mbona mnapenda kupotosha na kutetea ujinga?! Ukiwasikia watu wengi wanazungumzia issue za barakoa na kuepusha misongamano! Hivi kuna Mtanzania atakayeshabikia lockdown wakati majority maisha yao yanaendeshwa na shughulizi zisizo rasmi?! Endeleeni kutetea ujinga lakini mzee wenu hata kama mnadanganyana amekufa kwa ugonjwa wa moyo, kuna uwezekano mkubwa corona ikawa imechangia manake kila mwenye utimamu anafahamu huwezi kucheza na corona wakati mtu mwenyewe ni spana mkononi!!!
 
Magu was not right at all, they were right as you can not put lives of your citizens at risk by taking for granted all precautionery measures required against Covid as Magu did to Us.

Magufuli kept our lives at risks.
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.
Raisi John alichukuwa taratibu zote za kujikinga na Covid-19 hapo swali, lakini baada ya kuona muelekeo na athari za hizo taratibu ni hatari zaidi kwa watanzania kiafya na kiuchumi ndipo aliporegeza masharti ya kujikinga kama yalivyoainishwa na WHO.
 
Wazungu bhana sasa wameingia hasara bure na bado wanaendelea kuingia hasara tu. Nadhani wataelewa vizuri sasa mwanaume alipo sema ni me sacrifice maisha yangu kwaajili ya watanzania hawakumwelewa. Nadhani sasa watamwelewa.
Naona bado unaomboleza hahahaha
 
Wamepata chanjo hao, hata wakitoka lockdown ni sawa tu!

Corona haiwezi tena kuwa tishio kubwa kwao kama kipindi kile hawana chanjo.

Na hawakuwahi kuplan kukaa kwenye lockdown forever
Ni kweli Missile of the Nation, 40% imekwisha pata vaccine ambayo ni Frontline health Care staff, wazee over 50 years na wenye underlying health conditions. Hao waliobakia ambao ni 60% inahusisha vijana na watoto ambao kinga zao dhidi ya magonjwa ziko juu.
 
Wakati mwingine tuache kujibambikia sifa za kijinga.Kwa taarifa yako Sweden,Philippines,Singapore,Nicaragua na South Korea hawakuwa na lockdown.Pia yapo baadhi ya majimbo huko USA hayakuwa na lockdown eg South Dacota,North Dacota and Wyoming.

Sehemu zote hizo wazungu hawakuziona isipokuwa Tanzania ya Magufuli.
Don't lie broo,am in manila philippines,there was and still lockdown continues.
 
Hivi watu walikuwa wanamtaka JPM aweke lockdown au serikali ichukue hatua ya kudhibiti kuenea kwa ugonjwa? Hivi nyie watu mbona mnapenda kupotosha na kutetea ujinga?! Ukiwasikia watu wengi wanazungumzia issue za barakoa na kuepusha misongamano! Hivi kuna Mtanzania atakayeshabikia lockdown wakati majority maisha yao yanaendeshwa na shughulizi zisizo rasmi?! Endeleeni kutetea ujinga lakini mzee wenu hata kama mnadanganyana amekufa kwa ugonjwa wa moyo, kuna uwezekano mkubwa corona ikawa imechangia manake kila mwenye utimamu anafahamu huwezi kucheza na corona wakati mtu mwenyewe ni spana mkononi!!!
Tupe ww hatua stahiki za kudhibiti ugonjwa
 
Wakati mwingine tuache kujibambikia sifa za kijinga.Kwa taarifa yako Sweden,Philippines,Singapore,Nicaragua na South Korea hawakuwa na lockdown.Pia yapo baadhi ya majimbo huko USA hayakuwa na lockdown eg South Dacota,North Dacota and Wyoming.

Sehemu zote hizo wazungu hawakuziona isipokuwa Tanzania ya Magufuli.
Kwani mleta nada anekosea nini au kwa vile Magufuli kapewa credit? Hizo nchi ulizotaja zimefanya kama Tanzania na ni nchi chache sana duniani zilichukua muelekeo huo sasa huoni hapo JPM aliact kishujaa tena mwanzoni kabisa?

JPM atakumbukwa daima dunia nzima katika masuala mbalimbali yatakayokuwa yanajitokeza sawa vile na baadhi ya first generation leaders kama Nyerere, Nkrumah et al. Hii ni matokeo ya kuwa na msimamo thabiti na wa kizalendo.

Wewe mchukie unavyotaka lakini huwezi kumfuta JPM katika historia siyo tu ya Tanzania bali ya dunia. JPM ataandikwa, kujadiliwa na kuwa point of reference katika masuala yatakayokuwa yanajitokeza hasa yale yanayogusa maslahi ya watu wa hali ya chini.
 
Wazungu bhana sasa wameingia hasara bure na bado wanaendelea kuingia hasara tu. Nadhani wataelewa vizuri sasa mwanaume alipo sema ni me sacrifice maisha yangu kwaajili ya watanzania hawakumwelewa. Nadhani sasa watamwelewa.
Mkuu soma mantiki zima

Lockdown imeisha baada ya kuchanja population yote ya wazee above 65%
Huyo unaemsifia uzi huu hauhusiani na hajasaidia lolote kwenge mapambano haya. Nani amwelewe sasa zaidi ya walioumizwa na sera mbaya za magonjwa ya milipuko?

Wenzetu wamefanya scientific calculations hawana hasara yoyoye hasara tunazo hapa kwa kupoteza wazee wengi na nguvu kazi.

Watanzania tupende kusoma, kutafiti na kuelewa vizuri usiaminishwe kabla hujatafuta ukweli. Na ndivyo tutavyozidi kuachwa nyuma.
 
Wazungu huko jumuiya ya Ulaya wamechoshwa na lockdown wataka waachwe washerehekee Pasaka kwa kujinafasi.

Ufaransa serikali italazimika kutumia mbinu za ziada kuwatuliza wananchi wake ambao pamoja na maambukizi kuongezeka wao wanataka kutoka nje wakidai mateso ni yale yale.

Nako UK wameonelea ni heri waishi na Corona kama wanavyoishi na mafua badala ya kufungiana ndani.

Wazungu wengi hasa wanaotembelea Tanzania na Zanzibar specifically wamemwita hayati Magufuli ni mwanasayansi aliyepevuka, mwanasiasa mahiri na kiongozi Shupavu.

Maendeleo hayana vyama!
Unamsifia marehemu kwa maslahi gani?
Huwezi kubadilisha matokeo bora hizo sifa umsifie mkeo acha kupoteza time
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Back
Top Bottom