Uingereza: Chris Whitty asema hakuna haja ya lockdown, wataishi na Corona kama mafua

Uingereza: Chris Whitty asema hakuna haja ya lockdown, wataishi na Corona kama mafua

Wazungu huko jumuiya ya Ulaya wamechoshwa na lockdown wataka waachwe washerehekee Pasaka kwa kujinafasi.

Ufaransa serikali italazimika kutumia mbinu za ziada kuwatuliza wananchi wake ambao pamoja na maambukizi kuongezeka wao wanataka kutoka nje wakidai mateso ni yale yale.

Nako UK wameonelea ni heri waishi na Corona kama wanavyoishi na mafua badala ya kufungiana ndani.

Wazungu wengi hasa wanaotembelea Tanzania na Zanzibar specifically wamemwita hayati Magufuli ni mwanasayansi aliyepevuka, mwanasiasa mahiri na kiongozi Shupavu.

Maendeleo hayana vyama!
Kwa hiyo utakata kutuambia kuwa Tanzania peke yake ndiyo kulikuwa hamna lockdown?
 
P
Wakati mwingine tuache kujibambikia sifa za kijinga.Kwa taarifa yako Sweden,Philippines,Singapore,Nicaragua na South Korea hawakuwa na lockdown.Pia yapo baadhi ya majimbo huko USA hayakuwa na lockdown eg South Dacota,North Dacota and Wyoming.

Sehemu zote hizo wazungu hawakuziona isipokuwa Tanzania ya Magufuli.
NI TANZANIA TU HAPA DUNIANI L, HATA WHO ANALIJUA KWAMBA TANZANIA NDIO HAIKUA NA LOCK DOWN, WEWE NI MNAFIKI TU, HUNA LOLOTE UNAONEA WIVU HADI MAREHEMU, ROHO MBAYA TU.
DUNIA NZIMA INAJUA HIYO MIKELELE YAKO YA KIJINGA HAKUNA ATAKAYE KUELEWA,

VIVA MAGUFULI, RIP PRESIDENT OF THE WORLD
 
Aliporegeza masharti ya kujikinga ili tufe kizembe na kijinga.
Hapana Mokaze, hilo si kusudio lake la kufa kizembe, alitaka watanzania wapambane wenyewe kwani hakuna mtu aliyekatazwa kufuata masharti ya WHO as individual, na kufa hata hizo nchi zinazosemekana wapo mbele katika sayansi bado wanakufa, hivyo tushukuru hata wewe na mimi tungali hai. Huu ugonjwa si kama vile tunavyofikiria ni zaidi ya ugonjwa, hivyo basi vaa barakoa, jiepushe na misongamano, nawa mikono na maji tiririka na baki salama.
 
Hivi watu walikuwa wanamtaka JPM aweke lockdown au serikali ichukue hatua ya kudhibiti kuenea kwa ugonjwa? Hivi nyie watu mbona mnapenda kupotosha na kutetea ujinga?! Ukiwasikia watu wengi wanazungumzia issue za barakoa na kuepusha misongamano! Hivi kuna Mtanzania atakayeshabikia lockdown wakati majority maisha yao yanaendeshwa na shughulizi zisizo rasmi?! Endeleeni kutetea ujinga lakini mzee wenu hata kama mnadanganyana amekufa kwa ugonjwa wa moyo, kuna uwezekano mkubwa corona ikawa imechangia manake kila mwenye utimamu anafahamu huwezi kucheza na corona wakati mtu mwenyewe ni spana mkononi!!!
HAKUNA ATAKAYEWEZA KUKUSIKILIZA NA HIZI PUMBA ZAKO. MAGUFULI HAWEZI KUFA KWA CORONA. TUNAELEWA SISI SIO WATOTO WADOGO. WALA KIJAZI HAKUFA KWA CORONA. SIO NINYI NDIO MLIKUA MNASISITIZA MARA WATU WAVAE BARAKOA, MARA SOCIAL DISTANCE. LEO UMEBAKI UNATOA MIPOVU.

HIS LEGACY WILL LIVE FOREVER. AND YOU CAN'T BE DESTROY IT.

RIP PRESIDENT OF THE WORLD
 
HAKUNA ATAKAYEWEZA KUKUSIKILIZA NA HIZI PUMBA ZAKO. MAGUFULI HAWEZI KUFA KWA CORONA. TUNAELEWA SISI SIO WATOTO WADOGO. WALA KIJAZI HAKUFA KWA CORONA. SIO NINYI NDIO MLIKUA MNASISITIZA MARA WATU WAVAE BARAKOA, MARA SOCIAL DISTANCE. LEO UMEBAKI UNATOA MIPOVU.

HIS LEGACY WILL LIVE FOREVER. AND YOU CAN'T BE DESTROY IT.

RIP PRESIDENT OF THE WORLD
Unapotumia herufi kubwa inatafsirika unafanya"shouting"! It becomes disgusting kama una-shout kwa kuongea upumbavu! Na kuhusu legacy, kila mwenye utimamu wa akili anafahamu legacy ya Jiwe na ukiukwaji mkubwa wa demokrasia, uhuru wa maoni na mauaji!

Endelea nma uzwazwa wako wa kuimba mapambio lakini hata hao waliokuwa wanakula kupitia mapambio, hivi sasa wanajificha!!
 
Hapana Mokaze, hilo si kusudio lake la kufa kizembe, alitaka watanzania wapambane wenyewe kwani hakuna mtu aliyekatazwa kufuata masharti ya WHO as individual, na kufa hata hizo nchi zinazosemekana wapo mbele katika sayansi bado wanakufa, hivyo tushukuru hata wewe na mimi tungali hai. Huu ugonjwa si kama vile tunavyofikiria ni zaidi ya ugonjwa, hivyo basi vaa barakoa, jiepushe na misongamano, nawa mikono na maji tiririka na baki salama.


Unachosema ndugu yangu ni sahihi kwa watu tunaojitambua (wewe na mimi), lakini katika nchi ya watu 55milioni wote tutajitambua kuhusu huo ugonjwa, wote tunaweza chukua tahadhari vilivyo dhidi ya Corona bila Shinikizo la serikali???!!----acha masihara mkuu!!.

Wakati serikali na viongozi wa nchi zingine duniani wakichukua hatua dhidi ya Ugonjwa huo sisi Tz tuliachwa Yatima tujihudumie individually na mbaya zaidi tukaaminishwa na huyo mwendazake kwamba Covid ni "tumafua tu" eti hofu yetu ndio ingetuua na sio hiyo Covid!!!, nchi nzima ilikuwa paralysed bali dunia nzima ikawa amazed na maneno ya huyo mwendazake, viongozi, Madaktari nk, wote waliufyata isipokuwa kiongozi mmoja wa dini ndiye aliyeibuka na kumkosoa mwendazake.

Akamuweka Mungu mbele bila kwanza kuchukua hatua yeyote inayostahili kufuatwa dhidi ya ugonjwa huo, hapo akajifanya mtu wa Mungu wakati mafunzo ya upadri yalimshinda na akasahau na asijue kanuni ya Mungu inafanyaje kazi juu!!!, kwanza inapaswa mtu ufanye juhudi juu ya jambo lako na baadaye ndio ufanye maombi ili Mungu atie baraka katika hilo jambo lako, sisi hatukufanya juhudi yoyote dhidi ya Covid bali tulitaka Mungu atutafunie na kutulisha bila kufanya juhudi na hapo ilikuwa kama tunamjaribu Mungu.

Kifupi Magu alikosea sana katika suala la Corona.
 
HAKUNA ATAKAYEWEZA KUKUSIKILIZA NA HIZI PUMBA ZAKO. MAGUFULI HAWEZI KUFA KWA CORONA. TUNAELEWA SISI SIO WATOTO WADOGO. WALA KIJAZI HAKUFA KWA CORONA. SIO NINYI NDIO MLIKUA MNASISITIZA MARA WATU WAVAE BARAKOA, MARA SOCIAL DISTANCE. LEO UMEBAKI UNATOA MIPOVU.

HIS LEGACY WILL LIVE FOREVER. AND YOU CAN'T BE DESTROY IT.

RIP PRESIDENT OF THE WORLD
Makelele ya nini huwezi ongea kwa ustaarabu? Corona ilishaonyesha makali yake kwa walioidharau haya makelele hayana maana yoyote
 
HILO HATA WHO HANALIJUA WEWE NYUMBU UNAPINGA UNATOKEA WAPI MPAKA TUKUSIKILIZE.
Kumbe ni kilaza namna hii!! Hujui hata nchi ambazo hawajawahi kuweka lockdown! FYI, kuna nchi kibao tu ambazo hazikuweka lockdown, na zingine not a shithole country kama ya Mfalme Jiwe!! That being said, kama kuna watu watataka kupigia mfano duniani kutokana na kutokuwa na lockdown basi ni hizo nchi ambazo zinafahamika duniani kote; kwa mfano Sweden!!
 
Inapendeza wamejishtukia mapema...

Nadhani watakua wameshuhudia ule umati wa Tanzania kwenye maazishi wakaona Covid ni uzushi...
 
Wazungu huko jumuiya ya Ulaya wamechoshwa na lockdown wataka waachwe washerehekee Pasaka kwa kujinafasi.

Ufaransa serikali italazimika kutumia mbinu za ziada kuwatuliza wananchi wake ambao pamoja na maambukizi kuongezeka wao wanataka kutoka nje wakidai mateso ni yale yale.

Nako UK wameonelea ni heri waishi na Corona kama wanavyoishi na mafua badala ya kufungiana ndani.

Wazungu wengi hasa wanaotembelea Tanzania na Zanzibar specifically wamemwita hayati Magufuli ni mwanasayansi aliyepevuka, mwanasiasa mahiri na kiongozi Shupavu.

Maendeleo hayana vyama!
Acha upumbavu
Pasaka njema.
 
Back
Top Bottom