Uingereza haina utawala wa kifalme, kinachoendelea pale ni kiini macho

Uingereza haina utawala wa kifalme, kinachoendelea pale ni kiini macho

Tulifundishwa Civics Form II katika forms of government. Na kwenye kipengele cha Monarch tukaambiwa kuna two types of Monarchies. Constitutional Monarch na Absolute Monarch. Mfano wa Constitutional Monarch ni UK, na Absolute Monarch ni Swaziland ambayo sasa ni Eswatini.

Wewe ulidoji tu vipindi au hukua unaelewa ila tulifundishwa.
Alikuwa anakimbilia mihogo na pilipili....
 
Rudi shule kaka bado muda unao. Mfalme ndio mwenye madaraka makubwa pale UK hakuna wa kumzidi yy, hata vitani yy ndio hutoa amri sio huyo Waziri mkuu.
Anaweza kuwa na aina fulani ya mamlaka lakini hamna hadhi ya mfalme pale.
 
Si muisome historia...


Australia
New Zealand
Canada
Ireland's
Wales Etc
Who owns those Mfn countries?

Who's their leader... Hizo habari za ceremonial si ni KWA ajili ya kutuhadaa sisi mambumbumbu..
 
Tuletee ufafanuzi mkuu, ni vipi mtawala wa Uingereza anamiliki hizo nchi?
Hizo ni baadhi ya nchi ambazo Britain alivamia na Kujichukulia .. baadhi ni democratic baadhi Siyo... Uhuru wa bendera lakini bado queen anayo influence Kubwa huko...

Refer ishu ya Meghan markle na Mmewe kuondoka buckingham na kuhamia canada .....
 
Hizo ni baadhi ya nchi ambazo Britain alivamia na Kujichukulia .. baadhi ni democratic baadhi Siyo... Uhuru wa bendera lakini bado queen anayo influence Kubwa huko...

Refer ishu ya Meghan markle na Mmewe kuondoka buckingham na kuhamia canada .....
Anayo influence ya kidiplomasia lakini sio kumiliki hizo nchi.
 
Elewa zipo aina tofauti za tawala za kifalme. Mfano Kuna Absolute Monarchy na Constitutional Monarchy. Uingereza wako kwenye ya pili.

Tafuta material ujielimishe Mkuu. Elimu Haina Mwisho.
 
Elewa zipo aina tofauti za tawala za kifalme. Mfano Kuna Absolute Monarchy na Constitutional Monarchy. Uingereza wako kwenye ya pili.

Tafuta material ujielimishe Mkuu. Elimu Haina Mwisho.
Hicho kitu wanaita constitutional monarch ni usanii mtupu wa hiyo familia na nyingine kama hizo. Walipoona wamepoteza uwezo wa kuendesha ufalme wakaanzisha hicho kufanya brain washing.
 
Sifa za mtu anayetambulika kama mfalme:

1. Awe anamiliki ardhi yote anayotawala.
2. Awe na amri juu ya watu wote wa eneo lake kila wakati
3. Awe anamiliki mali zote katika eneo lake na kwamba kila raia awe anafanya kazi kwa ajili ya mfalme
4. Tamko la mfalme linakuwa sheria ambayo inatekelezwa mara moja
5. Mfalme ndio mwongozo wa tabia, mwenendo na tamaduni ya kila raia kwenye eneo lake
6. Mfalme anayo haki ya kumpatia au kumnyang'anya yeyote kitu chochote bila kuulizwa
7. Hukumu ya mfalme ni mwanzo na mwisho wa mabishano.
8. Mfalme anawajibika kiulinzi na kuhakikisha watu wake wanapata mahitaji yao ya kila siku.

Haya yote hayapo pale Uingereza. Kinachoendelea pale ni raia masikini wanakubali kuitunza familia isiyokuwa na mamlaka ya kiutawala juu yao.
Hizi ni sifa za ‘Absolute Monarchy’ zilikua mashuhuri sana zamani mpaka karne ya 17.

Btw hizi sifa za unaemuita mfalme ni kwa mujibu wa nani?
 
China , Russia , U.S.A, France walikataa aina hizi za tawala waliwa furumusha watawala wao kwa aibu kubwa . Haiwezekani familia moja kutawala nchi miaka yote hiyo .

N.b: Ni ujinga Karne hii ya 21 kufagilia tawala za kidikteta za kifalme .
 
Walipata wapi crown estate kama sio kwa waingereza wenyewe? Buckingham palace na Windsor castle ni mali za umma ambazo zinagharamiwa na waingereza.
Hiyo familia ndiyo imeifanya UK kuwa hapo ilipo, soma historia.
 
Hizi ni sifa za ‘Absolute Monarchy’ zilikua mashuhuri sana zamani mpaka karne ya 17.

Btw hizi sifa za unaemuita mfalme ni kwa mujibu wa nani?
Hicho kitu wanaita constitutional monarch ni usanii mtupu. Walipoona wamepoteza uwezo wa kuendesha ufalme wakaanzisha hicho kufanya brain washing.
 
Back
Top Bottom