Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,971
- 9,437
Ndugu yangu ni lini kobazi waliwai kuwa na akili?Wahamiaji wengi wanazingua, halafu wengi wao ni Waislam hasa Waarabu kutoka Mashariki ya kati, India, Pakistan, Indonesia, Somalia na Bangladesh
Wanataka kuleta tamaduni zao...kuanzia Ibada, mavazi n.k kwenye nchi isiyokuwa yao, tena nchi ya Makafiri wakati wao ni wageni tu
Sijui kwanini wasiende kwenye nchi za Waislam zenye Waumin wenzao ili waishi watakavyo
kazi kung'ang'ania kwenye nchi za Makafiri zilizojaa ranch za Nguruwe na viwanda vya Pombe kila kona
Nyerere alishasema ubaguzi ni sawasawa na kula Nyama ya Mtu huachi,, sasa Waingeraza wakibaguana itaenda mpaka ...wewe ni wa Wells rudi kwenu Wells...wewe ni Mscotish rudi kwenu Scotland ...wewe ni MuIrish rudi kwenu Northern Ireland.Uingereza wakija hao tunauwa maana waliondoka kwa ridhaa yao
Nani kachomwa kisu ? Na nani ? Na kwa nini ?
waarabu siyo watu//Ndiyo maana Trump anapendwa na Wamarekani wazawa maana ameahidi kupambana na wahamiaji na uhamiaji haramu. Kuna mvuvumko wa populist politics duniani kote ili kulinda haki za wazawa. Kwa Ulaya nadhani walichelewa kuliona hili mapema; and it is too late. Mbaya zaidi wenyewe wanazaa katoto kamoja au hawazai kabisa wakati waarabu wanakamua mpaka watoto wanane+....
View attachment 3061229
Wewe punguani kweli unaongea fikra zako chanzo ni raia Uingereza mwenye asili ya Burundi lakini kazaliwa Uingereza aliwachoma watoto wa kizungu huyo mrundi ni mkiristo hapo Uislam unaingieje, hao wazungu hata ukiwa mkiristo wanakupiga tu.Tatizo na chanzo ni hawa jamii ya waarabu na dini yao hawatakagi kukaa kistarabu, wao kila saa ni kuwaza ugaidi tupy
Bbc news wameiongelea. Nimeona leo mchanaBBC naona hii habari hawataki kabisa kuiongelea. Ingekuwa inatokea nchi nyingine wangeonesha Breaking news muda wote. Wanafiki sana BBC
Nyie mapunguani angalia mabwana zenu.waarabu siyo watu//
Hii ni nini?Nyie mapunguani angalia mabwana zenu.
View: https://x.com/zhao_dashuai/status/1819924586575831440?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Wanaenda nchi za watu wanaanza kupangia watu kitu cha kufanya.Tatizo na chanzo ni hawa jamii ya waarabu na dini yao hawatakagi kukaa kistarabu, wao kila saa ni kuwaza ugaidi tupy
Hapa duniani tafuta maarifa.Waingereza wale wazee ndio walikuwa wanapambana sababu ya umaskini wakati ule sasa hichi kizazi sio cha kazi wanashida sana huo ndio ukweli. Waarabu wanafanya kazi ndio maana nchi zao wao wanaajiri tu wao pesa zimejaa sasa hujiulizi utajiri huu wanaupata wapi. Huwezi kukuta raia wa UAE kaajiriwa England ila wao wamejaa Dubai. Waafrica watu wakazi wanatafuta wanaishi ni tumekosa sera nzuri tu lakini kazi watu wanatafuta sana. Uk akiwa hana kazi analipwa posho sasa unataka kufananisha na sisi.
Watapelekwa Rwanda huko kuna kambi kubwa tu ya wakimbizi.Karibu kunakucha
Jeshi litaamua
Walisubiri hili litokee wapate pa kuanzia kuwatimua..
Karibu watajua hawajui
Ni swala la muda watabebwa wooote
Tengeneza dunia yako peke yako ndo utaishi bila ya kuwepo muislamu ,mbaguzi mkubwa weweHizi sasa ni fikira zako amnazo nazo unabahatidha iwapo mimi ni Christian au Muslim!
Sasa wewe endelea kumntabiria kuhusu imani yangu, lakini ni mhimu ukweli usemwe, mwislamu hasa mwarabu, chaguo la kujilipua na kuuwa wengine, kwake ndilo no moja, mengine ndo yafuate
Kwa jinsi hiyo, huwezi ruhusiwa kukaa kwenye nchi za kistarabu
Ndomaana vitu kama Corona vinaletwa kutoka maabara,ili kukontroo population.Hii dunia ikija kufikia watu bilioni 10 itakuwa na mvurugano kweli kila mahali.
Mbona aliyeua huko Uingereza ni kijana wa Kiingereza mwenye Asili ya Kitutsi ambae ni Mkristo?Islamists they happy anywhere.. wakiwa makwao wao kwa wao ni vita e.g wasomali
Wakienda huko ukimbizini kama ulaya ambapo hakuna uislamu wanataka watu wote wavae kiislamu na kufuata dini yao.
Pia wakikuta kuna amani lazima waletw chokochoko naona sasa wenyeji wameshindwa na uvumilimu kila mtu aende kwa mogadishu,huko pakistani na lebanon.