Uingereza kunawaka Moto. Wenyeji wanapigana na Wahamiaji

Kaeni kwa watu na mfuate taratibu na Sheria zao...mbona hawakuwasumbua miaka yote mpaka nafasi za uongozi Waislam wanapata vizuri tu

Once you are in Rome, live as Romans
 
Kaeni kwa watu na mfuate taratibu na Sheria zao...mbona hawakuwasumbua miaka yote mpaka nafasi za uongozi Waislam wanapata vizuri tu

Once you are in Rome, live as Romans
Yakitokea south Africa mbona huwa mnalaani?. Acheni yatokee tu popote pale ili akili iwakae sawa.

Na pia wanahaki yakuabudi kadri watakavyo maana huko ndio Kuna Human rights
 
Inavyoelekea, huko mbeleni dini ya mhamiaji itakuwa moja ya kigezo muhimu ili kupewa visa. Yaani watu ni wageni nchi ya watu halafu wanalazimisha matakwa yao juu ya wenyeji.

Kule Portugal raia walishaandamana kupinga uhamiaji wa hao jamaa wa dini ya "haki"..

View: https://twitter.com/AzzatAlsaalem/status/1754867942586487291?t=pBO_CVedL0PQDI9Db51Gpw&s=19
 
Itavunjwa tu.Hakuna kusamehe mihunihuni.They've to go back to their old homestead!
Nihalali wazungu watuite wesu Nyani, kama wao ndio wanatuhimiza sisi tutelekeleze haki za binadamu lakini wao wakizvunja tunaona ni sawa na tunawaunga mkono. Acha utekaji bongo uendelee.
 
Utamsikia mzanzibari akisema uingereza wanakaa makafir na mabeberu lakini akiambiwa achague nchi ya kuhamia haendi Afghanistan au Bangladesh, utakuta anataka uingereza au Israel and hata sumbawanga.
Waislamu wamegundua kwamba nchi za kikristo Zina Amani ya kweli.
Sijawahi kusikia MTU anazamia Afghanistan au Azerbeijan au undengestan au hata Mkuranga.
 
Nihalali wazungu watuite wesu Nyani, kama wao ndio wanatuhimiza sisi tutelekeleze haki za binadamu lakini wao wakizvunja tunaona ni sawa na tunawaunga mkono. Acha utekaji bongo uendelee.
Kuna muda unapaswa uelewe kwamba ustaarabu ukimfanyia mjinga asiye na shukrani unakuwa hauna tofauti na mjinga mwenyewe. Kick those bastards out of bounds!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…