Uingereza kunawaka Moto. Wenyeji wanapigana na Wahamiaji



Huyo Trump ni nani huko Marekani ?? si ndio hao watoto wa wahamiaji ??
 
Hakuna marekani mzawa
 
Huwa nawashangaa sana weupe, kuruhusu influx ya mwarabu kwenye nchi yako ni kuruhusu machafuko tu...
Aliyeua sio mwarabu,ni Alex,ni mnyarwanda,kama wewe,ni mkristo kama wewe,ni mwafrika kama wewe.Ndiye aliyeua wasichana watatu kwa kisu na kujeruhi tisa,serekali ya Uingereza ili anya kosa,kwa kutomtangaza mapema,baada ya kujua ni mkristo,aliyefanya mauaji,sasa hapa muarabu anahusika vipi na vurugu hizi au muislamu anahusika vipi.Tumia akili.
 
Bado muda hujafika mbona ndio kwanza wameanza.

Miaka zaidi 500 ni mingi hawa hata miaka 50 ya usumbufu bado haijafika
Waingereza wanajikuta wabinafsi kupitiliza. Ila mtu mweusi mnafiki sana aisee, kuna Mnyakyusa anajifanya kuwakandia Wahamiaji hapa jukwaani, anajifanya yuko upande wa Wazungu.
 

Ni chuki tu walizonazo hata yule aliyetaka kumuuwa Trump kumbe ni myahudi lakini waliyeyusha kwanza, lakini siku hizi ukweli ni rahisi kujulikana
 
Wewe ufiche upumbavu wako, kama wewe ni mwarabu, nimekwambia ukweli na ukweli umekuchoma, na hata sasa kwa majibu haya tu, tayari umetamani kunilipua mabomu

Nyinyi watu ni wa hovyo mno yaani
Aliyeua ni Alex,mnywaranda,ni mkristo,ameua wasichana watatu wa kizungu,na kujeruhi 9,hakuna muarabu wala muislamu ,aliyehusika hapo.Huyo Alex,mnyarwandwa,ndio aliyesababisha vurugu yote hii.
 
Aliyeua ni Alex,mnywaranda,ni mkristo,ameua wasichana watatu wa kizungu,na kujeruhi 9,hakuna muarabu wala muislamu ,aliyehusika hapo.Huyo Alex,mnyarwandwa,ndio aliyesababisha vurugu yote hii.
Azarel, imhotep

Aliyeua ni Alex,mnywaranda,ni mkristo,ameua wasichana watatu wa kizungu,na kujeruhi 9,hakuna muarabu wala muislamu ,aliyehusika hapo.Huyo Alex,mnyarwandwa,ndio aliyesababisha vurugu yote hii.
 
Ni Muingereza mwenye Asili ya Rwanda.



View: https://youtu.be/FOGTCKQklPQ
 
Wao ni wageni.Wasiwapangie wenyeji ya kufanya.Watulie,laa sivyo deportation kurudi kwao inawahusu.Bloody-midevu & madera!
Aliyeaua wasichana 3 na kujeruhi 9,ni Alex,mkristo mwenzako,huyu ndiye aliyesababisha vurugu.NA WANAOTAKIWA KUONDOKA NI WAHAMIAJI WOTE,BILA KUJALI Rangi,kabila,dini,huna dini,utaifa nk.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…