Uingereza yatuma kikosi maalum cha makomandoo wa SAS Msumbiji kumuokoa raia wao aliyetekwa

Mfaransa namtazama kwa jicho la mfitini mbwa yule..... Popote aendapo anaacha uhasama mbwa yule.....
 
Hiyo ya USA ndio imetolewa kwenye muvi ya LONE SURVIVOR?
 
Kwani hao wanaununua gesi, dhahabu na maadini mengine ni kina nani na wanatokea wapi, maana vizuri kabisa mzizi wa fitna ukatwe
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Wazungu ndio walichokuwa wana kitafuta hicho waweza kukuta raisi wa Msumbiji tayari alishapewa pesa kitambo na Wazungu ili wachukue mafuta halafu yeye ajifanye kama vile hajui kitu Yaani kumbe vugu vugu lote la hao magaidi analijua chanzo chake Daahh siasa hizi [emoji29][emoji16]
 
Wengi wameenda akhera akiwemo utadh Ilunga hasaan...hata hawa IS wa msumbiji wanasema walikua wafuasi wa Abood Rogo
Wale mashekhe mashekhe wanao jifanya ni Wana harakati wote huwa wanatumika dini wanaitumia kama kivuli Cha kuficha maovu yao
 
Michongo tu hiyo viongozi wanakula pesa za mabeberu halafu wanajifanya kuuhadaa ulimwengu [emoji16]
 
Hapo mind games tu, wanasema watatu, kumbe battalion nzima ilishaingizwa kisiri, chini ya Maji. Hivi wataka kusema, America na England, wanamajii wao hawako kule baharini tayari, dah, hata bila kusema tena wamejiweka stand-by mode, navy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…