Uingereza yatuma kikosi maalum cha makomandoo wa SAS Msumbiji kumuokoa raia wao aliyetekwa

Uingereza yatuma kikosi maalum cha makomandoo wa SAS Msumbiji kumuokoa raia wao aliyetekwa

Mkuu mbona unanifanya niwaze Sana bomba la mafuta la kutoka HOIMA +0756 kwenda CHONGOLEANI +0755 linajengwa na kampuni ya kifaransa ya TOTAL kumbuka na sisi tuna gesi kule kisini Kama songosongo msimbati isije ikawa n target TU ya kumonopolize hizo resources kwa kigezo cha kujrnga urafk kupitia bomba la mafuta

Dah ulimwengu una Siri nzito Sana
Mfaransa namtazama kwa jicho la mfitini mbwa yule..... Popote aendapo anaacha uhasama mbwa yule.....
 
Ufaransa walipeleka makomandoo saba kwa Al Shabab kuokoa raia wao,wakafa 4,watatu wakasalimika na hawakuokoa raia wao.
U.S walipeleka kwa siri sana makomandoo watatu Afghanstan kumkamata kiongozi mmoja wa Taleban,wakafa wawili mmoja akapona kwa kufichwa na raia wa Afghanstan.
Haya embu nambie bwashee izo kazi za comando watakazo fanya ao watatu kuokoa raia wao uko Msumbiji?
Hiyo ya USA ndio imetolewa kwenye muvi ya LONE SURVIVOR?
 
Kwani hao wanaununua gesi, dhahabu na maadini mengine ni kina nani na wanatokea wapi, maana vizuri kabisa mzizi wa fitna ukatwe
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Wazungu ndio walichokuwa wana kitafuta hicho waweza kukuta raisi wa Msumbiji tayari alishapewa pesa kitambo na Wazungu ili wachukue mafuta halafu yeye ajifanye kama vile hajui kitu Yaani kumbe vugu vugu lote la hao magaidi analijua chanzo chake Daahh siasa hizi [emoji29][emoji16]
 
Wengi wameenda akhera akiwemo utadh Ilunga hasaan...hata hawa IS wa msumbiji wanasema walikua wafuasi wa Abood Rogo
Wale mashekhe mashekhe wanao jifanya ni Wana harakati wote huwa wanatumika dini wanaitumia kama kivuli Cha kuficha maovu yao
 
Nashangaa sana Jeshi la msumbiji ,yaani wanashindwa kuwamaliza hao "WAVUTA BANGI wanaojiita ISIS"? Yaani wanaingia kwako na kufanya mauaji na wao wapo tu kambini wanakula mikate yenye siagi na chai ya maziwa? Hao ni Operation ya Week tu unawakamata na kuwakaanga kwenye concentrated Sulphuric acid.
Michongo tu hiyo viongozi wanakula pesa za mabeberu halafu wanajifanya kuuhadaa ulimwengu [emoji16]
 
Kila kwenye mafuta na gesi Africa lazima kuwe na uwasi hata Tz tungecheza kidogo yangetukuta najiuliza makomando watatu wakaokoe mtu mmoja kwenye kundi la waasi ambao wameshikilia miji na mitaa msumbujii kama sio wao wenyewe kwenda kutoa mafunzo kwa magaid na ushaambiwa wao ni walimu wa" bush welfare"pia cha ajabu kampuni Total bado inafunga mitambo yake bila shida yn utaniutani msumbujii ndio bc tn
Hapo mind games tu, wanasema watatu, kumbe battalion nzima ilishaingizwa kisiri, chini ya Maji. Hivi wataka kusema, America na England, wanamajii wao hawako kule baharini tayari, dah, hata bila kusema tena wamejiweka stand-by mode, navy
 
Back
Top Bottom