UISLAM: Mbali Na Kuwa Chombo/Mpango wa Waarabu Kueneza Tamaduni Zao. Bali Pia ni Chombo Chao Cha Harakati/Kupigania Haki/Uhuru Wao

UISLAM: Mbali Na Kuwa Chombo/Mpango wa Waarabu Kueneza Tamaduni Zao. Bali Pia ni Chombo Chao Cha Harakati/Kupigania Haki/Uhuru Wao

eliakeem

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2009
Posts
17,214
Reaction score
15,853
Miezi michache iliyopita kumekuwa na hoja nzito ikielekezwa kwa uislam. Hasa suala la kutumia lugha ya Kiarabu katika ibada. Mpaka ikaonekana kwamba uislam siyo dini, bali ni chombo au mpango wa waarabu wa kueneza tamaduni, mila na desturi zao.

Pia lingine ambalo watu wengi wameanza kulimulika ni ile hali ya chombo hiki (uislam) kuwa na sura ya uana harakati au upigania uhuru. Uislam ulivyo unajitanabaisha na harakati za kudai uhuru/haki maeneo mbali mbali duniani. Tofauti na tulivyokuwa tukitarajia uislam uwe kwa kuwaelekeza waumini wake kwenye maisha ya peponi baada ya haya. Wenyewe sasa wanawaendeleza maandamano na migogoro na mamlaka. Wakitaka haki na uhuru wao. Wakilazimisha sheria za nchi ambako wanaishi zibadili sheria na kuongoza nchi hizo kwa sharia law. Kitu ambacho dini zingine hazijawahi kufanya.

Baada ya kuyaona hayo, nchi nyingi sasa hazichukulii uislam kama dini (kama waumini wake wanavyodai), bali ni mpango au chombo cha (wanaharakati cha) kupigania uhuru na haki ya waislam/waarabu kwa njia ya kipekee (exclusive right). Wanataka mahali popote wanapoishi wapewe uhuru/haki zao katika njia ambayo wengine hawawezi kupata. Wanataka wapewe special attention na mamlaka ya nchi husika. Hata kama kufanya hivyo kunaweza kwa hali au namna fulani kuathiri haki, uhuru, mamlaka na ustawi wa wengine.

Ndiyo maana mara zote nimekuwa nikiwa dhidi ya wazo la kwamba uislam ni dini. Kwa sababu nilizozitaja. Hiyo ni desturi yaani zaidi ya dini. Binafsi nawafananisha na wamasai. Wamasai licha ya kuwa wana ishi katika nchi zenye serikali yaani Jamhuri. Lakini bado wana utaratibu au namna yao ya utawala, siasa, imani (beliefs), lugha, sheria, mavazi nk. Pia jamii hii popote ikienda, lazima kuwe na msuguano na jamii walioikuta kwa kuwa siku zote wanaamini utamaduni wao ni bora kuliko wa wengine. Hili nilo mfanano dhahili wa uislam (yaani desturi za waarabu) na wamasai.
Naomba niishie hapa.
Alamsiki
 
Kabla huyo Mohamed kuanzisha uislamu, waarabu waliishije? Huwa nataka kusoma sana maisha yao ya kabla maana huyo mtu aliwavuruga sana na hiyo dini, yaani kila muarabu anazaliwa akilazimishwa kuwa muislamu, hawana uhuru wowote
 
Vikundi mbalimbali duniani vya kugombania haki/uhuru ukiviangalia vinajitabanaisha kuwa na uhusiano na dini. Mfano Al Shabab, Boko Haram, Alqaeda nk.
 
Bwasheee tuko 2B hao wanayofanya harakati ni wale wenye madai Yao ya msingi sidhani Kama watu wote hao 2b wanapigania Haki huko walipo unless Kuna sababu maalum ya kufanya hivyo. Kama sababu ipo Uislam sio ulokole piga Kofi hapa nageuzia huku pia usilam ni dini hayo ni maoni yakona mataptap Yako TU who are you to shape our religion?
 
Kabla huyo Mohamed kuanzisha uislamu, waarabu waliishije? Huwa nataka kusoma sana maisha yao ya kabla maana huyo mtu aliwavuruga sana na hiyo dini, yaani kila muarabu anazaliwa akilazimishwa kuwa muislamu, hawana uhuru wowote
Walikua ni insignificant people, wanachunga zao ngamia kwenye jangwa, waliua watoto wa kike wakidhania kwamba ni nuksi kuwazaa, walikua na kila aina ya uchafu, uisilamu ndio umewainua, hivyo kusema Uisilamu unasambaza Mila za Kiarabu ni ukosefu wa elimu sababu Uisilamu ndio umewastaarabisha waarabu.
 
Miezi michache iliyopita kumekuwa na hoja nzito ikielekezwa kwa uislam. Hasa suala la kutumia lugha ya Kiarabu katika ibada. Mpaka ikaonekana kwamba uislam siyo dini, bali ni chombo au mpango wa waarabu wa kueneza tamaduni, mila na desturi zao.

Pia lingine ambalo watu wengi wameanza kulimulika ni ile hali ya chombo hiki (uislam) kuwa na sura ya uana harakati au upigania uhuru. Uislam ulivyo unajitanabaisha na harakati za kudai uhuru/haki maeneo mbali mbali duniani. Tofauti na tulivyokuwa tukitarajia uislam uwe kwa kuwaelekeza waumini wake kwenye maisha ya peponi baada ya haya. Wenyewe sasa wanawaendeleza maandamano na migogoro na mamlaka. Wakitaka haki na uhuru wao. Wakilazimisha sheria za nchi ambako wanaishi zibadili sheria na kuongoza nchi hizo kwa sharia law. Kitu ambacho dini zingine hazijawahi kufanya.

Baada ya kuyaona hayo, nchi nyingi sasa hazichukulii uislam kama dini (kama waumini wake wanavyodai), bali ni mpango au chombo cha (wanaharakati cha) kupigania uhuru na haki ya waislam/waarabu kwa njia ya kipekee (exclusive right). Wanataka mahali popote wanapoishi wapewe uhuru/haki zao katika njia ambayo wengine hawawezi kupata. Wanataka wapewe special attention na mamlaka ya nchi husika. Hata kama kufanya hivyo kunaweza kwa hali au namna fulani kuathiri haki, uhuru, mamlaka na ustawi wa wengine.

Ndiyo maana mara zote nimekuwa nikiwa dhidi ya wazo la kwamba uislam ni dini. Kwa sababu nilizozitaja. Hiyo ni desturi yaani zaidi ya dini. Binafsi nawafananisha na wamasai. Wamasai licha ya kuwa wana ishi katika nchi zenye serikali yaani Jamhuri. Lakini bado wana utaratibu au namna yao ya utawala, siasa, imani (beliefs), lugha, sheria, mavazi nk. Pia jamii hii popote ikienda, lazima kuwe na msuguano na jamii walioikuta kwa kuwa siku zote wanaamini utamaduni wao ni bora kuliko wa wengine. Hili nilo mfanano dhahili wa uislam (yaani desturi za waarabu) na wamasai.
Naomba niishie hapa.
Alamsiki
 
Miezi michache iliyopita kumekuwa na hoja nzito ikielekezwa kwa uislam. Hasa suala la kutumia lugha ya Kiarabu katika ibada. Mpaka ikaonekana kwamba uislam siyo dini, bali ni chombo au mpango wa waarabu wa kueneza tamaduni, mila na desturi zao.

Pia lingine ambalo watu wengi wameanza kulimulika ni ile hali ya chombo hiki (uislam) kuwa na sura ya uana harakati au upigania uhuru. Uislam ulivyo unajitanabaisha na harakati za kudai uhuru/haki maeneo mbali mbali duniani. Tofauti na tulivyokuwa tukitarajia uislam uwe kwa kuwaelekeza waumini wake kwenye maisha ya peponi baada ya haya. Wenyewe sasa wanawaendeleza maandamano na migogoro na mamlaka. Wakitaka haki na uhuru wao. Wakilazimisha sheria za nchi ambako wanaishi zibadili sheria na kuongoza nchi hizo kwa sharia law. Kitu ambacho dini zingine hazijawahi kufanya.

Baada ya kuyaona hayo, nchi nyingi sasa hazichukulii uislam kama dini (kama waumini wake wanavyodai), bali ni mpango au chombo cha (wanaharakati cha) kupigania uhuru na haki ya waislam/waarabu kwa njia ya kipekee (exclusive right). Wanataka mahali popote wanapoishi wapewe uhuru/haki zao katika njia ambayo wengine hawawezi kupata. Wanataka wapewe special attention na mamlaka ya nchi husika. Hata kama kufanya hivyo kunaweza kwa hali au namna fulani kuathiri haki, uhuru, mamlaka na ustawi wa wengine.

Ndiyo maana mara zote nimekuwa nikiwa dhidi ya wazo la kwamba uislam ni dini. Kwa sababu nilizozitaja. Hiyo ni desturi yaani zaidi ya dini. Binafsi nawafananisha na wamasai. Wamasai licha ya kuwa wana ishi katika nchi zenye serikali yaani Jamhuri. Lakini bado wana utaratibu au namna yao ya utawala, siasa, imani (beliefs), lugha, sheria, mavazi nk. Pia jamii hii popote ikienda, lazima kuwe na msuguano na jamii walioikuta kwa kuwa siku zote wanaamini utamaduni wao ni bora kuliko wa wengine. Hili nilo mfanano dhahili wa uislam (yaani desturi za waarabu) na wamasai.
Naomba niishie hapa.
Alamsiki
Najua una lengo lako ila nakukumbusha tu uisilamu unatetea haki za wote, usisahau hapo Africa Kusini wakati weusi ambao karibia wote sio waisilamu walikua wanabaguliwa waisilamu walikua bega kwa bega na weusi.

South Africa waisilamu ni wachache sana kama asilimia moja tu ila walikua na mchango mkubwa kutokomeza huo ubaguzi na wengi waliuliwa kwa kuwatetea weusi.

Mfano Imam Haroun ambaye alikufa akitetea hio haki

Mazishi yake yalihudhuriwa na watu 40,000 ambao walitembea kilomita 10 kubeba jeneza Lake kama Symbol ya ukombozi.

Si Tu south Africa Waisilamu walishiriki kwenye ukombozi wa Nchi nyingi Africa na Asia wakati wa Ukoloni hata kama wao walikua minority.
 
Bwasheee tuko 2B hao wanayofanya harakati ni wale wenye madai Yao ya msingi sidhani Kama watu wote hao 2b wanapigania Haki huko walipo unless Kuna sababu maalum ya kufanya hivyo. Kama sababu ipo Uislam sio ulokole piga Kofi hapa nageuzia huku pia usilam ni dini hayo ni maoni yakona mataptap Yako TU who are you to shape our religion?

Tulia, kunywa maji, jipange halafu uje tena.
 
Walikua ni insignificant people, wanachunga zao ngamia kwenye jangwa, waliua watoto wa kike wakidhania kwamba ni nuksi kuwazaa, walikua na kila aina ya uchafu, uisilamu ndio umewainua, hivyo kusema Uisilamu unasambaza Mila za Kiarabu ni ukosefu wa elimu sababu Uisilamu ndio umewastaarabisha waarabu.
Sasa walizalianaje kabla ya kobazis?
 
Walikua ni insignificant people, wanachunga zao ngamia kwenye jangwa, waliua watoto wa kike wakidhania kwamba ni nuksi kuwazaa, walikua na kila aina ya uchafu, uisilamu ndio umewainua, hivyo kusema Uisilamu unasambaza Mila za Kiarabu ni ukosefu wa elimu sababu Uisilamu ndio umewastaarabisha waarabu.

Umeeleza vizuri sana kuhusu maisha ya waarabu miaka ya nyuma. Kama ungetupa rejea nasi tupitie
 
Miezi michache iliyopita kumekuwa na hoja nzito ikielekezwa kwa uislam. Hasa suala la kutumia lugha ya Kiarabu katika ibada. Mpaka ikaonekana kwamba uislam siyo dini, bali ni chombo au mpango wa waarabu wa kueneza tamaduni, mila na desturi zao.

Pia lingine ambalo watu wengi wameanza kulimulika ni ile hali ya chombo hiki (uislam) kuwa na sura ya uana harakati au upigania uhuru. Uislam ulivyo unajitanabaisha na harakati za kudai uhuru/haki maeneo mbali mbali duniani. Tofauti na tulivyokuwa tukitarajia uislam uwe kwa kuwaelekeza waumini wake kwenye maisha ya peponi baada ya haya. Wenyewe sasa wanawaendeleza maandamano na migogoro na mamlaka. Wakitaka haki na uhuru wao. Wakilazimisha sheria za nchi ambako wanaishi zibadili sheria na kuongoza nchi hizo kwa sharia law. Kitu ambacho dini zingine hazijawahi kufanya.

Baada ya kuyaona hayo, nchi nyingi sasa hazichukulii uislam kama dini (kama waumini wake wanavyodai), bali ni mpango au chombo cha (wanaharakati cha) kupigania uhuru na haki ya waislam/waarabu kwa njia ya kipekee (exclusive right). Wanataka mahali popote wanapoishi wapewe uhuru/haki zao katika njia ambayo wengine hawawezi kupata. Wanataka wapewe special attention na mamlaka ya nchi husika. Hata kama kufanya hivyo kunaweza kwa hali au namna fulani kuathiri haki, uhuru, mamlaka na ustawi wa wengine.

Ndiyo maana mara zote nimekuwa nikiwa dhidi ya wazo la kwamba uislam ni dini. Kwa sababu nilizozitaja. Hiyo ni desturi yaani zaidi ya dini. Binafsi nawafananisha na wamasai. Wamasai licha ya kuwa wana ishi katika nchi zenye serikali yaani Jamhuri. Lakini bado wana utaratibu au namna yao ya utawala, siasa, imani (beliefs), lugha, sheria, mavazi nk. Pia jamii hii popote ikienda, lazima kuwe na msuguano na jamii walioikuta kwa kuwa siku zote wanaamini utamaduni wao ni bora kuliko wa wengine. Hili nilo mfanano dhahili wa uislam (yaani desturi za waarabu) na wamasai.
Naomba niishie hapa.
Alamsiki
Uislam upo zaidi ya miaka 1400 iliyopita,,,haya uliyoyaeleza ni mambo yaliyoanza kama miaka 100 iliyopita....

Uislam ni dini ya amani lakini inataka amani hiyo iwe imetokana na haki na sio uoga.
 
Miezi michache iliyopita kumekuwa na hoja nzito ikielekezwa kwa uislam. Hasa suala la kutumia lugha ya Kiarabu katika ibada. Mpaka ikaonekana kwamba uislam siyo dini, bali ni chombo au mpango wa waarabu wa kueneza tamaduni, mila na desturi zao.

Pia lingine ambalo watu wengi wameanza kulimulika ni ile hali ya chombo hiki (uislam) kuwa na sura ya uana harakati au upigania uhuru. Uislam ulivyo unajitanabaisha na harakati za kudai uhuru/haki maeneo mbali mbali duniani. Tofauti na tulivyokuwa tukitarajia uislam uwe kwa kuwaelekeza waumini wake kwenye maisha ya peponi baada ya haya. Wenyewe sasa wanawaendeleza maandamano na migogoro na mamlaka. Wakitaka haki na uhuru wao. Wakilazimisha sheria za nchi ambako wanaishi zibadili sheria na kuongoza nchi hizo kwa sharia law. Kitu ambacho dini zingine hazijawahi kufanya.

Baada ya kuyaona hayo, nchi nyingi sasa hazichukulii uislam kama dini (kama waumini wake wanavyodai), bali ni mpango au chombo cha (wanaharakati cha) kupigania uhuru na haki ya waislam/waarabu kwa njia ya kipekee (exclusive right). Wanataka mahali popote wanapoishi wapewe uhuru/haki zao katika njia ambayo wengine hawawezi kupata. Wanataka wapewe special attention na mamlaka ya nchi husika. Hata kama kufanya hivyo kunaweza kwa hali au namna fulani kuathiri haki, uhuru, mamlaka na ustawi wa wengine.

Ndiyo maana mara zote nimekuwa nikiwa dhidi ya wazo la kwamba uislam ni dini. Kwa sababu nilizozitaja. Hiyo ni desturi yaani zaidi ya dini. Binafsi nawafananisha na wamasai. Wamasai licha ya kuwa wana ishi katika nchi zenye serikali yaani Jamhuri. Lakini bado wana utaratibu au namna yao ya utawala, siasa, imani (beliefs), lugha, sheria, mavazi nk. Pia jamii hii popote ikienda, lazima kuwe na msuguano na jamii walioikuta kwa kuwa siku zote wanaamini utamaduni wao ni bora kuliko wa wengine. Hili nilo mfanano dhahili wa uislam (yaani desturi za waarabu) na wamasai.
Naomba niishie hapa.
Alamsiki
1.Quran sio kiarabu,-------kujua kiarabu sio tiketi ya kuweza kusoma Quran,😀😆....... waarabu kibao hawajui chochote kuhusu Quran
2.Haki kwenye uislam ni kitu cha kwqnza
-Ndio maana nchi nyingi zenye waislamu wengi duniani ni tajiri ukilinganisha na nchi zenye wakristo wengi,.......uislam hauwezi kuruhusu eti watu wachange sadaka vijijini huko ziende kutumika Vatican, ulaya huko,kwa kigezo cha kua wao ndio viongozi wa dini😆😆,kwenye uislam huo ni uhanithi na ni upumbavu
----Uislam ni mfumo rasmi wa maisha kuanzia kula,kulala,kufanya mapenzi etc.......uislam sio nadharia kua viongozo wa dini hawaou au hawaolewi😄😁,(yaani MTU ana nyege kibaiolojia haruhusiwi kuoa,dini inapinagana na physiology ya mwili=vichekesho)......
------dunia hii ilivojaa wanawake wajane,sababu wanaume wanawahi kufa sababu ya upambanaji,uislam ulijua mapema sana,ndio maana mwenye uwezo akaruhusiwa kuoa wake wanne.
-------uislam upo mbele ya muda ndio maana mukishindwana Kuna taraka,......vichekesho eti watu mumekutana ukubwani hakuna kuachana😆😂🤣
-------uislam hauwezo ruhusu Binti wa miaka 12 atumie uzazi wa mpango kwa kigezo ni mtoto ila akiolewa ni ameonewa
-----uislam upo hauwezi ruhusu mtu atumie kilevi kwa kigezo kua asiliwe,si vichekesho hivi?.😅😂
......ukisoma hapo juu,utaona uislam upo mbele ya muda kwenye mambo mengi sana ya kidunia
 
Najua una lengo lako ila nakukumbusha tu uisilamu unatetea haki za wote, usisahau hapo Africa Kusini wakati weusi ambao karibia wote sio waisilamu walikua wanabaguliwa waisilamu walikua bega kwa bega na weusi.

South Africa waisilamu ni wachache sana kama asilimia moja tu ila walikua na mchango mkubwa kutokomeza huo ubaguzi na wengi waliuliwa kwa kuwatetea weusi.

Mfano Imam Haroun ambaye alikufa akitetea hio haki

Mazishi yake yalihudhuriwa na watu 40,000 ambao walitembea kilomita 10 kubeba jeneza Lake kama Symbol ya ukombozi.

Si Tu south Africa Waisilamu walishiriki kwenye ukombozi wa Nchi nyingi Africa na Asia wakati wa Ukoloni hata kama wao walikua minority.
Uislamu unaotetea haki za wote ni upi? Zenj tu hapo ukifika nfungo waislamu hawataki kuona mtu anakula mchana

Saudi Arabia ni marufuku hata mtu wa dini nyingine kupractice dini yake

Hapa hapa tu Tz Kuna sheikh alikua anaitwa sheikh illunga(ameshafariki) alikua anasema hadharani mtu asiye muislamu anapaswa kuuwawa, Wala alikua hasemi kwa kificho ni hadharani na alikua akitoa cd zake enzi za jk
 
Back
Top Bottom