UISLAM: Mbali Na Kuwa Chombo/Mpango wa Waarabu Kueneza Tamaduni Zao. Bali Pia ni Chombo Chao Cha Harakati/Kupigania Haki/Uhuru Wao

UISLAM: Mbali Na Kuwa Chombo/Mpango wa Waarabu Kueneza Tamaduni Zao. Bali Pia ni Chombo Chao Cha Harakati/Kupigania Haki/Uhuru Wao

Ni haki yangu huku sio kule? Kwa Nini huko nisipewe haki yangu kama ulivyosema uislamu unapigania haki za wote?
Umepewa haki yako ya kula, ila usile kwa kuwasumbua wenzako, ni kama vile mi imekaa kwangu uje na mke wako uanze kumbandua mbele yangu, una haki ya kumbandua mkeo ila sio kwa kusumbua wengine ni ngumu sana kuelewa hili?
Ulienda Rwanda huruhusiwi kupractice uislamu public? Uongo huu, hata hvyo kuhusu Rwanda hata makanisa nayo yamepigwa pin. Lakini hapa pia hatulinganishi uislamu na wengine hapa tunazungumzia uislamu kupigania haki za wasio waislamu kama ulivyosema. Hii kulinganisha inaingiaje?

Mimi sio raia wa saudia Arabia natakiwa niheshimu nchi za watu sijawasaidia kupigania nchi yao? Sasa mbona unajikataa mwenyewe uliyesema uislamu unapigania haki za wengine wasio waislamu?
Pia hapa mbona unahalalisha wanayopitia waislamu wachache walio nchi za wengine? Mfano wanayopitia waislamu wa Rohingya kule Myanmar? Na yale wanaopitia kule China? So China na mynamar wapo sawa wanayofanya kwa waislamu? If so, mbona huwa mnalalamika?
China na Rohingya kule ni kwao, wana haki ya kutetea maeneo yao na sidhani kama kuna uhusiano wowote na tunachodiscuss hapa. Ingekua waisilamu wa Afghanistan wapo China kutetea haki zao hapo ingekua na point.
Nimesoma wapi .tu kuhama uislamu akauliwa? Unajifanya kipofu au? Hizi cases zipo nyingi tu. Alafu mbona tena unasema mwenye mamlaka ya kuua anayebadili dini ni khalifa, lakini hapo hapo unauliza nimeona wapi aliyehama dini akiuliwa? Mbona unajichanganya?
Hakuna kuchanganya it's just comprehension ni janga la Taifa, sio kosa langu umeshindwa kuelewa nilichoandika, khalifa ni kiongozi wa waisilamu na waisilamu sasa hatuna khalifa hio sheria haiwezi kutolewa hukumu kwa sasa.

Na kukutafunia tu iliwekwa hio sheria sababu waisilamu wote ni mandatory kuparticipate kwenye Jihad na watu walikua wakikimbia, Nchi inapovamiwa na mtu unapoikimbia nchi yako ni Treason, Si tu waisilamu bali karibia serikali zote Treason hukumu yake ni kifo.

Serikali zetu za sasa hazina makhalifa hata hizo nchi za Kiislamu, zina majeshi na mifumo mingine ambayo sio 100% ya kiisilamu, ndio maana ma Ulamaa wa sasa hawa enforce hio sheria ya kutoka kwenye dini uuliwe sababu ya wakati tulionao, kuna link inaelezea vizuri nimekupa comment iliopita kama shida yako ni kuelewa Soma, kama shida yako ni chuki juu ya uisilamu endelea kusambaza uongo wako kila comment utayojaaliwa.
Watu bil 2 wangeamrishwa kuua pasingekalika? Dunia Ina watu bil 8, hao watu bil 2 wangeua watu wote bil 6 ambao sio waislamu? Pia nani kakuambia kila muilamu anafata kwa usahihi Quran unavyosema?? Quran inakataza kuzini, je hao waislamu bil 2 wote huea hawazini? Quran inakataza watu kuwa washirikina, je hao waislamu bil 2 wote hawafanyi shirki? Quran inakataza ulevi, je hao waislamu wote bil 2 hawafanyi ulevi? Kwa akili yako sababu Quran umesema wasio waislamu wauwawe basi unajua waislamu wote watakubaliana na hilo?

Quran imekataza muislamu kuwa na urafiki na mayahudi na wakristo, imeenda mbali Kuna Aya zinazosema asiye muislamu unatakiwa kuuwawa hizo hapo
View attachment 3186443View attachment 3186445
View attachment 3186446
Quran haisomwi kama Gazeti, context za Aya ni zipi?

KILA Aya ina mahala yake iliposhushwa na Context inayoelezea.

Mfano Quran 8:13-17 umeiweka hapo ni Aya imeshushwa kwenye Vita vya Badr, ambapo washirikina wa Mecca walipingana na waisilamu, waisilamu wachache wakafanikiwa kuwapiga, na Aya ina wa Adress Malaika ila source yako for unknown reasons haijaweka neno Malaika probably kupotosha

Aya inasomeka hivi
˹Remember, O Prophet,˺ when your Lord revealed to the angels, “I am with you. So make the believers stand firm. I will cast horror into the hearts of the disbelievers. So strike their necks and strike their fingertips.”

Sisi waisilamu tu naamini kwenye Vita vya Badr Waisilamu wachache waliweza kushinda sababu Malaika walishuka na kuwasaidia na hio Aya in reveal order ya Mwenyezi Mungu kwa Hao Malaika.

So Kitu ambacho mwenyezi Mungu aliwaambia Malaika kwenye Vita Vya Badr kuwasaidia waisilamu kupiga jeshi ambalo limekuja Kuwavamia kinahusiana nini na waisilamu kuwaua wasio waisilamu?


Same kwa Surat tauba na Aya Nyengine, nyingi zipo hivyo hivyo mnatoa maneno hapa na pale mnaacha Aya za nyuma na mbele kuharibu context ili mpotoshe.
 
Tulia, kunywa maji, jipange halafu uje tena.
Wew ndio utulie waarabu ni 20% TU ya waislam dunian ambao ni 2bilion, na wanaharakati wengi ni waarabu na wasomali kutokana na nature ya jamii zao Sasa wew unajumuisha dini nzima wewe si ndio kituko?
 
Umepewa haki yako ya kula, ila usile kwa kuwasumbua wenzako, ni kama vile mi imekaa kwangu uje na mke wako uanze kumbandua mbele yangu, una haki ya kumbandua mkeo ila sio kwa kusumbua wengine ni ngumu sana kuelewa hili?



China na Rohingya kule ni kwao, wana haki ya kutetea maeneo yao na sidhani kama kuna uhusiano wowote na tunachodiscuss hapa. Ingekua waisilamu wa Afghanistan wapo China kutetea haki zao hapo ingekua na point.

Hakuna kuchanganya it's just comprehension ni janga la Taifa, sio kosa langu umeshindwa kuelewa nilichoandika, khalifa ni kiongozi wa waisilamu na waisilamu sasa hatuna khalifa hio sheria haiwezi kutolewa hukumu kwa sasa.

Na kukutafunia tu iliwekwa hio sheria sababu waisilamu wote ni mandatory kuparticipate kwenye Jihad na watu walikua wakikimbia, Nchi inapovamiwa na mtu unapoikimbia nchi yako ni Treason, Si tu waisilamu bali karibia serikali zote Treason hukumu yake ni kifo.

Serikali zetu za sasa hazina makhalifa hata hizo nchi za Kiislamu, zina majeshi na mifumo mingine ambayo sio 100% ya kiisilamu, ndio maana ma Ulamaa wa sasa hawa enforce hio sheria ya kutoka kwenye dini uuliwe sababu ya wakati tulionao, kuna link inaelezea vizuri nimekupa comment iliopita kama shida yako ni kuelewa Soma, kama shida yako ni chuki juu ya uisilamu endelea kusambaza uongo wako kila comment utayojaaliwa.

Quran haisomwi kama Gazeti, context za Aya ni zipi?

KILA Aya ina mahala yake iliposhushwa na Context inayoelezea.

Mfano Quran 8:13-17 umeiweka hapo ni Aya imeshushwa kwenye Vita vya Badr, ambapo washirikina wa Mecca walipingana na waisilamu, waisilamu wachache wakafanikiwa kuwapiga, na Aya ina wa Adress Malaika ila source yako for unknown reasons haijaweka neno Malaika probably kupotosha

Aya inasomeka hivi
˹Remember, O Prophet,˺ when your Lord revealed to the angels, “I am with you. So make the believers stand firm. I will cast horror into the hearts of the disbelievers. So strike their necks and strike their fingertips.”

Sisi waisilamu tu naamini kwenye Vita vya Badr Waisilamu wachache waliweza kushinda sababu Malaika walishuka na kuwasaidia na hio Aya in reveal order ya Mwenyezi Mungu kwa Hao Malaika.

So Kitu ambacho mwenyezi Mungu aliwaambia Malaika kwenye Vita Vya Badr kuwasaidia waisilamu kupiga jeshi ambalo limekuja Kuwavamia kinahusiana nini na waisilamu kuwaua wasio waisilamu?


Same kwa Surat tauba na Aya Nyengine, nyingi zipo hivyo hivyo mnatoa maneno hapa na pale mnaacha Aya za nyuma na mbele kuharibu context ili mpotoshe.
Huwa unasoma unachoandika? Unapewa haki ya kula Ila usisumbue wengine? Kwa hiyo kula ni kusumbua wengine? Mtu anayekula anatembea barabarani anakusumbua nini wewe ambae mnapishane nae njiani? Kula unafananisha na kubandua?

Hao wa huko China na Rohingya huko ni kwao ndio maana wanapigania haki yao, kwani hakuna wakristo ambao kwao ni Zanzibar? Hakuna wakristo ambao kwako ni Saudia? Unaongea pumba gani tena

Zipo nchi nyingi tu zinaOendeshwakwa sharia law,na yapo maeneo ambayo kwenye nchi nyingi tu wanatumia sharia law ambayo hutoa hizo adhabu

Quran haisomwi kama gazeti? Wanaotekeleza hayo ni waislamu na hao ndio ulipaswa uwaambie wasisome kama gazeti. Alshabab wanaua wasio waislamu, Pakistani waislamu wanaua wasio waislamu, Boko Haram wanaua wasio waislamu n.k hao ndio wanaotumia hizo aya kuua wasio waislamu.
 
Huwa unasoma unachoandika? Unapewa haki ya kula Ila usisumbue wengine? Kwa hiyo kula ni kusumbua wengine? Mtu anayekula anatembea barabarani anakusumbua nini wewe ambae mnapishane nae njiani? Kula unafananisha na kubandua?

Hao wa huko China na Rohingya huko ni kwao ndio maana wanapigania haki yao, kwani hakuna wakristo ambao kwao ni Zanzibar? Hakuna wakristo ambao kwako ni Saudia? Unaongea pumba gani tena
Boss kasome tena Saudia imeanzishwaje, makabila yote yamekaa na House Al saud wakaanzisha hio Nchi hakuna mtu alieongezeka wala aliepungua, hupewi uraia hapo, Wakristo wa Saudia ni wafanyakazi tu wa ndani na wageni na wakristo kama wapi native walishiriki kutengeneza hizo sheria, sijawahi ona wakilalamika, ila mnalalamika nyie ambao sio wa Saudia.

Na pia wakristo wa Zanzibr wanalalamika wapi? Kila siku humu mnalalamika nyie toka Bara na sio Wazanzibari wenyewe.
Zipo nchi nyingi tu zinaOendeshwakwa sharia law,na yapo maeneo ambayo kwenye nchi nyingi tu wanatumia sharia law ambayo hutoa hizo adhabu
Mfano?
Quran haisomwi kama gazeti? Wanaotekeleza hayo ni waislamu na hao ndio ulipaswa uwaambie wasisome kama gazeti. Alshabab wanaua wasio waislamu, Pakistani waislamu wanaua wasio waislamu, Boko Haram wanaua wasio waislamu n.k hao ndio wanaotumia hizo aya kuua wasio waislamu.
Unaweza ukanipa Mahakama iliohukumu? Hukumu zote za kiisilamu zinafanywa na kadhi na Maulamaa unaweza niambia kadhi gani katoa Hukumu gani?

Hayo makundi yote tunajua nani anayoyapa hela, nikukumbushe tu Boko Haram ni tawi la IS, ambao wapo west Africa, kundi ambalo mara kwa mara linakusanya kodi toka makampuni ya magharibi, wanapewa Silaha na Marekani, karibuni wamechukua Syria kwa Msaada WA west, Tumeona hapo west Africa wakiwa Trained na Ukraine na Ukraine wenyewe kukiri. Hebu niambie mkuu are they representing muslim? Kwamba watu sasa hivi wapo misituni huko na wanajeshi wa Ukraine ndio mifano ya waisilamu?

Hizi propaganda zenu za kijinga ndio zinafanya uisilamu ukuwe kwa kasi, mnazisambaza watu wanakuwa interested wakisoma wanapata ukweli na kusilimu.
 
Wew ndio utulie waarabu ni 20% TU ya waislam dunian ambao ni 2bilion, na wanaharakati wengi ni waarabu na wasomali kutokana na nature ya jamii zao Sasa wew unajumuisha dini nzima wewe si ndio kituko?

Bado hujasawazisha akili yako. Nenda tena tena, halafu uje na hoja pekee bila kumlenga mtoa hoja. Mashambulizi yaelekezwe kwenye hoja.
 
Uislamu unaotetea haki za wote ni upi? Zenj tu hapo ukifika nfungo waislamu hawataki kuona mtu anakula mchana

Saudi Arabia ni marufuku hata mtu wa dini nyingine kupractice dini yake

Hapa hapa tu Tz Kuna sheikh alikua anaitwa sheikh illunga(ameshafariki) alikua anasema hadharani mtu asiye muislamu anapaswa kuuwawa, Wala alikua hasemi kwa kificho ni hadharani na alikua akitoa cd zake enzi za jk

Na hilo linatokana na vitabu vyao. Ni aina ya utaratibu unaoamini katika no compromise.
 
Boss kasome tena Saudia imeanzishwaje, makabila yote yamekaa na House Al saud wakaanzisha hio Nchi hakuna mtu alieongezeka wala aliepungua, hupewi uraia hapo, Wakristo wa Saudia ni wafanyakazi tu wa ndani na wageni na wakristo kama wapi native walishiriki kutengeneza hizo sheria, sijawahi ona wakilalamika, ila mnalalamika nyie ambao sio wa Saudia.

Na pia wakristo wa Zanzibr wanalalamika wapi? Kila siku humu mnalalamika nyie toka Bara na sio Wazanzibari wenyewe.

Mfano?

Unaweza ukanipa Mahakama iliohukumu? Hukumu zote za kiisilamu zinafanywa na kadhi na Maulamaa unaweza niambia kadhi gani katoa Hukumu gani?

Hayo makundi yote tunajua nani anayoyapa hela, nikukumbushe tu Boko Haram ni tawi la IS, ambao wapo west Africa, kundi ambalo mara kwa mara linakusanya kodi toka makampuni ya magharibi, wanapewa Silaha na Marekani, karibuni wamechukua Syria kwa Msaada WA west, Tumeona hapo west Africa wakiwa Trained na Ukraine na Ukraine wenyewe kukiri. Hebu niambie mkuu are they representing muslim? Kwamba watu sasa hivi wapo misituni huko na wanajeshi wa Ukraine ndio mifano ya waisilamu?

Hizi propaganda zenu za kijinga ndio zinafanya uisilamu ukuwe kwa kasi, mnazisambaza watu wanakuwa interested wakisoma wanapata ukweli na kusilimu.
Hii ya wenyewe huko hawalalamiki umeitoa wapi? Huwa unaota kuwa hawalalamiki?

Nikupe hukumi ya kitu ambacho kipo wazi? Sharia law hujui inassmaje na inakataza nini?

Hayo makundi unajua nani anahapa hela? Kwa Nini hao wanaotoa pesa watumie uislamu kufanya hayo wanayofanya? Hayo makundi muongozo wao ni Quran, Nimewahi kushuhudia duniani na hata hapa Tanzania waislamu waliandamana sababu ya waislamu palestina, nimeona hata hapa waislamu waliwahi kuandamana pale gadaffi alipovamiwa, nimeona waislamu waliandamana sababu kunakatuni ya mtume Muhammad ilichorwa. Mbona hamuandamani hayo makundi kutumika kuuchafua uislamu na Quran.

Al shababu anaua kwa lengo la kuweka dola ya kiislamu alafu unasema sio waislamu. Maeneo ambayo wanashikilia wanayaongoza kwa kufuata sharia law, hayo yote sio uislamu.? Huwa mnajitekenya na kucheka?
 
Bado hujasawazisha akili yako. Nenda tena tena, halafu uje na hoja pekee bila kumlenga mtoa hoja. Mashambulizi yaelekezwe kwenye hoja.
Kwahio wewe ndio umesawazisha? Kama hujajaa tope kichwani? Yaan upuuzi wa watu milioni 300 ndio ufanye hukumu ya dini nzima yenye wafuasi over 1b ambao hawana kiongozi mkuu, hawategemei tamko kutoka Kwa mtu, Bali ni kitabu TU ndio useme Uislam wote? Hiii ndio hoja yangu nilitumia nae apinge Kwa hoja ni sawa na mgeni aje Tanzania aseme watanzania wote hawajui kiswahili wanajua kilugha kisa katembelea usukumani watu zaidi ya milioni 7 akati watanzania tuko 60+ milioni hio ni akili matope
 
1.Quran sio kiarabu,-------kujua kiarabu sio tiketi ya kuweza kusoma Quran,😀😆....... waarabu kibao hawajui chochote kuhusu Quran
2.Haki kwenye uislam ni kitu cha kwqnza
-Ndio maana nchi nyingi zenye waislamu wengi duniani ni tajiri ukilinganisha na nchi zenye wakristo wengi,.......uislam hauwezi kuruhusu eti watu wachange sadaka vijijini huko ziende kutumika Vatican, ulaya huko,kwa kigezo cha kua wao ndio viongozi wa dini😆😆,kwenye uislam huo ni uhanithi na ni upumbavu
----Uislam ni mfumo rasmi wa maisha kuanzia kula,kulala,kufanya mapenzi etc.......uislam sio nadharia kua viongozo wa dini hawaou au hawaolewi😄😁,(yaani MTU ana nyege kibaiolojia haruhusiwi kuoa,dini inapinagana na physiology ya mwili=vichekesho)......
------dunia hii ilivojaa wanawake wajane,sababu wanaume wanawahi kufa sababu ya upambanaji,uislam ulijua mapema sana,ndio maana mwenye uwezo akaruhusiwa kuoa wake wanne.
-------uislam upo mbele ya muda ndio maana mukishindwana Kuna taraka,......vichekesho eti watu mumekutana ukubwani hakuna kuachana😆😂🤣
-------uislam hauwezo ruhusu Binti wa miaka 12 atumie uzazi wa mpango kwa kigezo ni mtoto ila akiolewa ni ameonewa
-----uislam upo hauwezi ruhusu mtu atumie kilevi kwa kigezo kua asiliwe,si vichekesho hivi?.😅😂
......ukisoma hapo juu,utaona uislam upo mbele ya muda kwenye mambo mengi sana ya kidunia

Umeeleza mambo mengi sana. Vizuri sana.
Lakini dhuluma ambayo mnayofanyiwa na waarabu ni kukatazwa kuendesha ibada zenu kwa lugha ya kwako. Wanataka utumie lugha yao ili uendelee kudumisha utamaduni wao ambao unajengwa kwa msingi wa lugha.

Pia kuhusu majina yenu lazima yawe ya kiarabu.

Pia kila mwaka lazima baadhi yenu kuzunguka dunia nzima mnaenda Mecca. Mnaambiwa ukienda huko mnasafishwa na kuwa bila dhambi kama mtoto.
 
Hii ya wenyewe huko hawalalamiki umeitoa wapi? Huwa unaota kuwa hawalalamiki?

Nikupe hukumi ya kitu ambacho kipo wazi? Sharia law hujui inassmaje na inakataza nini?

Hayo makundi unajua nani anahapa hela? Kwa Nini hao wanaotoa pesa watumie uislamu kufanya hayo wanayofanya? Hayo makundi muongozo wao ni Quran, Nimewahi kushuhudia duniani na hata hapa Tanzania waislamu waliandamana sababu ya waislamu palestina, nimeona hata hapa waislamu waliwahi kuandamana pale gadaffi alipovamiwa, nimeona waislamu waliandamana sababu kunakatuni ya mtume Muhammad ilichorwa. Mbona hamuandamani hayo makundi kutumika kuuchafua uislamu na Quran.

Al shababu anaua kwa lengo la kuweka dola ya kiislamu alafu unasema sio waislamu. Maeneo ambayo wanashikilia wanayaongoza kwa kufuata sharia law, hayo yote sio uislamu.? Huwa mnajitekenya na kucheka?

Hata boko haram si ni kundi la wafia dini ambao wanataka eneo fulani la Nigeria litawaliwe na sheria ya kiislam.

Pia hawataki mfumo wa elimu wa kimagharibi?

Lakini lingine ni kuwa hamna kauli rasmi iliyowahi kutolewa na uongozi wa uislam popote duniani kujitenga na vikundi vya kigaidi.
 
Umeanza vizuri na umemaliza vizuri, tatizo umeshindwa kuishi na mfano ulioutoa hapo mwisho kuhusu jamii ya wamasai.

Linapokuja swala la mtu kuuishi utamaduni wake anakuwa sahihi kwa sababu ndio mila yake, ulitaka wamasai waache tamaduni zao?
Hata wewe unatamaduni zako za kidini au kimila ambazo si kila mtu katika makundi mengine anaziafiki au kuziona zinafaa, ila kwako wewe zinafaa.

Jamii hiyohiyo ya kimasai ikitokea kuna dhulma wanafanyiwa wao au watu wa jamii yao, lazima watapaza sauti zao kukemea vitendo hivyo.
Hiyo haitomaanisha wamasai wameacha tamaduni zao na kugeuka wanaharakati wa kupigania haki.

Siasa, Dini na Utawala
Hapa kuna mjadala mpana sana, na matatizo mengi yanasababishwa na huu utatu.
Kuna baadhi ya maeneo hao wanaojiita wanaharakati wamekuwa wakitumia siasa ili kuharibu misingi ya dini na wakati mwingine wamekuwa wakitumia dini ili kuharibu misingi ya kiutawal/dola.
 
Hii ya wenyewe huko hawalalamiki umeitoa wapi? Huwa unaota kuwa hawalalamiki?

Nikupe hukumi ya kitu ambacho kipo wazi? Sharia law hujui inassmaje na inakataza nini?
Boss huongei na vitoto humu, umeweza kupata mapicha kibao ukayaeka humu unashindwa nini Kubackup maneno yako na ushahidi kama huna ushahidi usinisumbue pengine na Bishana na kitoto cha la 7 hapa.
Hayo makundi unajua nani anahapa hela? Kwa Nini hao wanaotoa pesa watumie uislamu kufanya hayo wanayofanya? Hayo makundi muongozo wao ni Quran, Nimewahi kushuhudia duniani na hata hapa Tanzania waislamu waliandamana sababu ya waislamu palestina, nimeona hata hapa waislamu waliwahi kuandamana pale gadaffi alipovamiwa, nimeona waislamu waliandamana sababu kunakatuni ya mtume Muhammad ilichorwa. Mbona hamuandamani hayo makundi kutumika kuuchafua uislamu na Quran.
Sio siri kuna ushahidi kibao wa west kuyasaidia, mwanajeshi Halimi, sio productive, kulisha, kuvisha, kutibu, kununua silaha etc kunahitaji Matrilioni ya hela, hakuna Kundi la kigaidi ama waasi ambao hawapo supported na Nchi kubwa, usifikiri ni game hili.

Hizi Baadhi ya source zikionesha misaada ya west kwa haya makundi
-Marekani kuisaidia Al qaeda

-boko Haram kupata material support toka Al Qaeda enzi hizo Al Qaeda wapo hot

-Ukraine Kusaidia Makundi ya Kigaidi West Africa

So ni wewe tu, ushahidi upo wa kutosha, kama Mecca ni Usa na Biden na Trump ni MAULAMAA wetu basi sawa upo sahihi ila as long as Mtume Wetu ni Muhammad (S.a.w) na dini yetu ni uisilamu hayo makundi si ya kiisilamu.
Al shababu anaua kwa lengo la kuweka dola ya kiislamu alafu unasema sio waislamu. Maeneo ambayo wanashikilia wanayaongoza kwa kufuata sharia law, hayo yote sio uislamu.? Huwa mnajitekenya na kucheka?
 
Simjui wala sijaziona. Sababu nyie mshazoea kila anachosema padre ama mchungaji ni sheria, Uisilamu haipo hivyo, tunaongozwa na Quran na Sunnah si baba yangu, si imamu wangu, si sheikh wangu akasema kitu against Quran NA sunna na mi nikaamini.

Hapo kwenye Sunnah za mtume. Waislam wengi wameingia kwenye mtejo wa kuziamini kwa 100%. Matokeo yake yunayaona.
 
Kula hadharani unafaniasha na mtu kukaa uchi? Unaifananisha na ushoga? Hii ndio akili umetumia?

Pia sijui kiwango chako cha elimu, lakini naomba uandike kwa kuweka paragraph
Ukitaka kujua umuhimu wa kula,Angalia Waislamu wamepewa kama Mtihani wa Kupima Imani yao kwa Mungu wao ila we kwa Akili yako kisoda unachukulia kawaida Ukitumia Akili vizuri Hiyo mifano Imekamilika .
 
Hicho ulichouliza ni Maneno ya Rugha ya Kiarabu yenye maana ya Mungu Mkubwa sasa wewe lete neno kama hilo litoke kwa Mkristo mwarabu mwambie aseme Mungu Mkubwa.
Acha ujinga basi😁
 
Hata boko haram si ni kundi la wafia dini ambao wanataka eneo fulani la Nigeria litawaliwe na sheria ya kiislam.

Pia hawataki mfumo wa elimu wa kimagharibi?

Lakini lingine ni kuwa hamna kauli rasmi iliyowahi kutolewa na uongozi wa uislam popote duniani kujitenga na vikundi vya kigaidi.
Masheikh wote wanalaani Isis/Al Qaeda na branch zake, hivi bado kuna mtu mwenye Akili timamu na exposure ya kusoma kinachoendelea duniani Anaamini haya makundi yana represent uisilamu? Wangekuwa ni waisilamu sasa hivi wangekuwa Palestina huko wanapigana na sio kuua waisilamu.

Mfabo hao Boko Haram kila watu 3 Wanaouliwa na Boko haram basi wawili ni waisilamu, Convince me hawa wanapiganiaje uisilamu?

Source

 
Again nakwambia ni propaganda.

Nikukumbushe tu asilimia kama zote ya the so called makundi ya kiisilamu ni ya west yanayofadhiliwa na kupewa silaha na hao jamaa mfano mzuri unaona hapo Syria,

Tumeambiwa kila siku huku Al Qaeda, Isis makundi ya kiisilamu, waisilamu wabaya wanaua wakristo na accusations kibao.

Leo yako wapi? Hao hao Al Qaeda wapo bega kwa bega na west wanaua waisilamu na kuharibu nchi, zamani zilikuwa ni tetesi tu ila sasa hivi hadharani wanasifiana na kuteteana,

So hizo ni propaganda Divide and Conquer, unamuona mtu anajua anasema Allahu Akbar, wewe kama Mkristo unafanyaje? Unaanza Chuki kati yako na muisilamu, what next? Mnaanza kutoa ufa kwenye society na Nchi haitawaliki makundi yanafadhiliwa Mnaanza kutawaliwa bila kujijua, same strategy zimetumiwa na wakoloni hadi leo.

Uislamu hauruhusu vigilante wala super Heroes, Hakuna Jihad bila Maulamaa na wasomi, huwezi tu from no where ukaanza kupigana vita against serikali ama watu wa mitaani, kazi ya kuhukumu ni ya Mahakama.
Kila mtu atahukumiwa Kwa kadiri ya matendo yake, and the only thing that GOD will judge, is our reasons.
 
Hii ya wenyewe huko hawalalamiki umeitoa wapi? Huwa unaota kuwa hawalalamiki?

Nikupe hukumi ya kitu ambacho kipo wazi? Sharia law hujui inassmaje na inakataza nini?

Hayo makundi unajua nani anahapa hela? Kwa Nini hao wanaotoa pesa watumie uislamu kufanya hayo wanayofanya? Hayo makundi muongozo wao ni Quran, Nimewahi kushuhudia duniani na hata hapa Tanzania waislamu waliandamana sababu ya waislamu palestina, nimeona hata hapa waislamu waliwahi kuandamana pale gadaffi alipovamiwa, nimeona waislamu waliandamana sababu kunakatuni ya mtume Muhammad ilichorwa. Mbona hamuandamani hayo makundi kutumika kuuchafua uislamu na Quran.

Al shababu anaua kwa lengo la kuweka dola ya kiislamu alafu unasema sio waislamu. Maeneo ambayo wanashikilia wanayaongoza kwa kufuata sharia law, hayo yote sio uislamu.? Huwa mnajitekenya na kucheka?
Kupinga maovu sio lazima uwe mwanaharakati unapokuwa muislam kitu chochote chenye athari au madhara katika jamii lazima ukemee sio Cha kukalia kimya au kufumba macho hio haimaanishi Kwa kua umepinga uovu hio sio dini ni harakati hivi nyie mnawza vipi? Yaani Uislam tuone rushwa, ushoga, upuuzi wowote tukae kimya? Kisa dini imekua sio dini Tena ni uana harakati? Hivi nyie Kama ni wakristo kweli mnajua jinsi Yesu aLivyoishi? Yesu Kama mmemsoma na kumtambua Yesu hajawahi kua Kama wakristo nyinyi ambao mnaona kukemea maovu ni uana harakati Yesu alikua zaidi ya harakati sio nyinyi mlivyo
 
Mtahangaika na waislamu na uislamu mpaka lini? Nind
Miezi michache iliyopita kumekuwa na hoja nzito ikielekezwa kwa uislam. Hasa suala la kutumia lugha ya Kiarabu katika ibada. Mpaka ikaonekana kwamba uislam siyo dini, bali ni chombo au mpango wa waarabu wa kueneza tamaduni, mila na desturi zao.

Pia lingine ambalo watu wengi wameanza kulimulika ni ile hali ya chombo hiki (uislam) kuwa na sura ya uana harakati au upigania uhuru. Uislam ulivyo unajitanabaisha na harakati za kudai uhuru/haki maeneo mbali mbali duniani. Tofauti na tulivyokuwa tukitarajia uislam uwe kwa kuwaelekeza waumini wake kwenye maisha ya peponi baada ya haya. Wenyewe sasa wanawaendeleza maandamano na migogoro na mamlaka. Wakitaka haki na uhuru wao. Wakilazimisha sheria za nchi ambako wanaishi zibadili sheria na kuongoza nchi hizo kwa sharia law. Kitu ambacho dini zingine hazijawahi kufanya.

Baada ya kuyaona hayo, nchi nyingi sasa hazichukulii uislam kama dini (kama waumini wake wanavyodai), bali ni mpango au chombo cha (wanaharakati cha) kupigania uhuru na haki ya waislam/waarabu kwa njia ya kipekee (exclusive right). Wanataka mahali popote wanapoishi wapewe uhuru/haki zao katika njia ambayo wengine hawawezi kupata. Wanataka wapewe special attention na mamlaka ya nchi husika. Hata kama kufanya hivyo kunaweza kwa hali au namna fulani kuathiri haki, uhuru, mamlaka na ustawi wa wengine.

Ndiyo maana mara zote nimekuwa nikiwa dhidi ya wazo la kwamba uislam ni dini. Kwa sababu nilizozitaja. Hiyo ni desturi yaani zaidi ya dini. Binafsi nawafananisha na wamasai. Wamasai licha ya kuwa wana ishi katika nchi zenye serikali yaani Jamhuri. Lakini bado wana utaratibu au namna yao ya utawala, siasa, imani (beliefs), lugha, sheria, mavazi nk. Pia jamii hii popote ikienda, lazima kuwe na msuguano na jamii walioikuta kwa kuwa siku zote wanaamini utamaduni wao ni bora kuliko wa wengine. Hili nilo mfanano dhahili wa uislam (yaani desturi za waarabu) na wamasai.
Naomba niishie hapa.
Alamsiki
Your business buda
 
Umekosea Sana kuunganisha Uislam na uarabu na siku zote ukifanya hivyo hii dini hutakuja uijue, waarabu Hasa wa middle east wameigawnya hii dini Kwenye makundi chungu nzima Hata uwezi kuelewa Uislam upi uko sawa Kama wew ni maamuma zero brain Kwenye Uislam huwezi elewa chochote na ni mafundi wa ushawishi wa idea zao hivyo kuusoma Uislam jithidini kuangalia Quran yenyewe na tafsiri yake
 
Back
Top Bottom