UISLAM: Mbali Na Kuwa Chombo/Mpango wa Waarabu Kueneza Tamaduni Zao. Bali Pia ni Chombo Chao Cha Harakati/Kupigania Haki/Uhuru Wao

UISLAM: Mbali Na Kuwa Chombo/Mpango wa Waarabu Kueneza Tamaduni Zao. Bali Pia ni Chombo Chao Cha Harakati/Kupigania Haki/Uhuru Wao

Kabla huyo Mohamed kuanzisha uislamu, waarabu waliishije? Huwa nataka kusoma sana maisha yao ya kabla maana huyo mtu aliwavuruga sana na hiyo dini, yaani kila muarabu anazaliwa akilazimishwa kuwa muislamu, hawana uhuru wowote
Kihistoria waarab ni maharamia (watu wa jangwani) na walikuwa wanaishi kama wamasai tu, kuhama hama kila kukicha kulisha wanyama wao (ngamia na mbuzi). Walikuwa ni watu wasio na dini na walikuwa wanauana sana tena bila hata huruma na ndiyo maana haikuwa vigumu kwa Muddy kuua watu waliokuwa si waislam na aliwabaka wanawake pia kutaka kuzaa nao ili watoto wasilimishwe kuwa waislam.
 
Kihistoria waarab ni maharamia (watu wa jangwani) na walikuwa wanaishi kama wamasai tu, kuhama hama kila kukicha kulisha wanyama wao (ngamia na mbuzi). Walikuwa ni watu wasio na dini na walikuwa wanauana sana tena bila hata huruma na ndiyo maana haikuwa vigumu kwa Muddy kuua watu waliokuwa si waislam na aliwabaka wanawake pia kutaka kuzaa nao ili watoto wasilimishwe kuwa waislam.
Hawa nao walikuwa maharamia maana nao walipo ambiwa kuua na Mungu wao Yehovah waliua vizuri tu

lakini uwaangamize kabisa, Mhiti, na Mwamori, na Mkanaani, na Mperizi, na Mhivi, na Myebusi, kama alivyokuamuru Bwana, Mungu wako;

Kumbukumbu La Torati 20:17

KUHUSU KUBAKA pia kuna hawa sasa walijipakulia manyama tu, Kama hauna Bikira ni KIFO, ila wenye bikra watu wakajiopolea saaafi hawa nao walikuwa na undugu na mohamadi?

Basi kwa ajili hiyo mwueni kila mume katika hao watoto, na kila mwanamke aliyemjua mume kwa kulala pamoja naye.

Lakini hao watoto wote wa kike ambao hawakumjua mume kwa kulala pamoja naye, mtawaweka hai kwa ajili yenu.


Hesabu 31:17-18

MCHAWI ni bikira watu wazindue wenyewe waisrael buana
 
Kabla huyo Mohamed kuanzisha uislamu, waarabu waliishije? Huwa nataka kusoma sana maisha yao ya kabla maana huyo mtu aliwavuruga sana na hiyo dini, yaani kila muarabu anazaliwa akilazimishwa kuwa muislamu, hawana uhuru wowote
Maoni ya mtu mjinga asije na adabu kwa Imani za watu
 
Hata Yesu alifufua mbona hakwenda Mloganzila

Yesu aliponya na kufufua kimya kimya. Akimponya mtu amwambia usiseme kwa watu.
Hawa manabii feki, wakiigiza wameponya. Wanatanga yaani wewe ndiyo unakuwa bango
 
Hawa nao walikuwa maharamia maana nao walipo ambiwa kuua na Mungu wao Yehovah waliua vizuri tu

lakini uwaangamize kabisa, Mhiti, na Mwamori, na Mkanaani, na Mperizi, na Mhivi, na Myebusi, kama alivyokuamuru Bwana, Mungu wako;

Kumbukumbu La Torati 20:17

KUHUSU KUBAKA pia kuna hawa sasa walijipakulia manyama tu, Kama hauna Bikira ni KIFO, ila wenye bikra watu wakajiopolea saaafi hawa nao walikuwa na undugu na mohamadi?

Basi kwa ajili hiyo mwueni kila mume katika hao watoto, na kila mwanamke aliyemjua mume kwa kulala pamoja naye.

Lakini hao watoto wote wa kike ambao hawakumjua mume kwa kulala pamoja naye, mtawaweka hai kwa ajili yenu.


Hesabu 31:17-18

MCHAWI ni bikira watu wazindue wenyewe waisrael buana
Mbona unanikosea na kunituhumu kwa mambo ya kuzania? Kumbuka mimi ni Mtanzania na Mungu wangu hatoki kwenye 'Abrahamic religions' - dini za kuundwa na watu. Niwie radhi tafadhali.
 
Yesu aliponya na kufufua kimya kimya. Akimponya mtu amwambia usiseme kwa watu.
Hawa manabii feki, wakiigiza wameponya. Wanatanga yaani wewe ndiyo unakuwa bango
Sasa ingekuwa kimya kimya wewe leo ungejua kuwa alifufua?
 
1.Quran sio kiarabu,-------kujua kiarabu sio tiketi ya kuweza kusoma Quran,😀😆....... waarabu kibao hawajui chochote kuhusu Quran
2.Haki kwenye uislam ni kitu cha kwqnza
-Ndio maana nchi nyingi zenye waislamu wengi duniani ni tajiri ukilinganisha na nchi zenye wakristo wengi,.......uislam hauwezi kuruhusu eti watu wachange sadaka vijijini huko ziende kutumika Vatican, ulaya huko,kwa kigezo cha kua wao ndio viongozi wa dini😆😆,kwenye uislam huo ni uhanithi na ni upumbavu
----Uislam ni mfumo rasmi wa maisha kuanzia kula,kulala,kufanya mapenzi etc.......uislam sio nadharia kua viongozo wa dini hawaou au hawaolewi😄😁,(yaani MTU ana nyege kibaiolojia haruhusiwi kuoa,dini inapinagana na physiology ya mwili=vichekesho)......
------dunia hii ilivojaa wanawake wajane,sababu wanaume wanawahi kufa sababu ya upambanaji,uislam ulijua mapema sana,ndio maana mwenye uwezo akaruhusiwa kuoa wake wanne.
-------uislam upo mbele ya muda ndio maana mukishindwana Kuna taraka,......vichekesho eti watu mumekutana ukubwani hakuna kuachana😆😂🤣
-------uislam hauwezo ruhusu Binti wa miaka 12 atumie uzazi wa mpango kwa kigezo ni mtoto ila akiolewa ni ameonewa
-----uislam upo hauwezi ruhusu mtu atumie kilevi kwa kigezo kua asiliwe,si vichekesho hivi?.😅😂
......ukisoma hapo juu,utaona uislam upo mbele ya muda kwenye mambo mengi sana ya kidunia
Quran ni kiarabu soma surat yusuph aya ya pili
 
Back
Top Bottom