Uislam ni dini inayoleta vurugu na kuharibu amani ya ulimwengu

Uislam ni dini inayoleta vurugu na kuharibu amani ya ulimwengu

😂😂sema jamaa wamekaa kishari Sana hawana unyenyekevu kabisa kweli hizi dini labda tumepigwa ila jamaa zetu muslim wameuwawa kabisa..
 
Ugomvi na matatizo aliyaleta yesu.
Wewe si una muunga mkono putin..kuhusu dini gani wewe unajua pia.

Ila hao hawapiganii kusimamisha IS..wao wana maslahi yao ya kisiasa na kiuchumi.

Tofautisha wanachokipigania na makundi ya kigaidi yanachokipigania.

Ni ngumu sana kuutofautisha uislam na ugaidi.

#MaendeleoHayanaChama
Screenshot_20221122-065059.jpg
Screenshot_20221122-065158.jpg
 
Dah mtoa mada unaweza kuwa sahihi kutokana na mtazamo na elimu uliyonayo ila nikuambie tu kuna mambo mengi mno hufahamu katika hii dunia hasa katika angle hyo ya masuala ya machafuko ya kidunia na hizi dini.ila tu nikuhabarishe mfano tukio ka sept 2001 lilifanya watu wenye mtazamo wa kina kufatilia kiundani na kubaini ukweli na wengi wao waliacha kulaumu jamii ya kiislamu na baadhi walisilimu kabisa,

Kuhusu mapigano huko mashariki ya kati mengi yana sura ya kidini ila ndani yake kuna ugomvi wa kimadaraka, madhehebu,uchumi,visasi,ugomvi wa koo na koo na ufahamu baadhi ya waarabu sio waislamu na hata hao waislamu wengi hawajui hata uislami unataka nin na nin hautaki kwa kuwa hawapendi kuusoma sana.bahati mbaya sana sana matukio yao machafu yahahusishwa au kuonekana kuwa ndiyo hasa mafundisho halisi ya uislamu.hii si kweli hata kidogo fanya uchunguzi soma qurani na hadithi sahihi za mtume (s a w)

Kwa baadhi ya watu wa jamii tofauti ulaya na marekani wameona uislamu unapigwa vita kali duniani wakaamua kuusoma kuindani na wakabaini ukweli na hatimae wengi mno wamesilimu hadi leo hii uislamu ndiyo dini pekee ulimwenguni inayokuwa kwa haraka sana .inahofiwa ikifika 2050 na kuendelea ulaya yote itakuwa mataifa au dola za kiislamu.takwimu zote zipo fatilia wala sikupi hoja kwa kutoa kichwani mwangu.(msikilize mchungaji gwajima baadhi ya hotuba zake kuhusu hili).sasa kama uislamu ungekuwa kama ulivounadi hapo unafikiri walimwengu wangehangaika nao na kujiunga nao?? Kumbuka hawapewi chochote wala kuahidiwa chochote lakin wanaamua wenyewe kuwa waislamu.hata wewe leo hii ukiwa na open mind set ukausona uislamu kwa utulivu kabisa hata kama usiposilimu basi utaishia kutouchukia kabisa kabisaa nakuhakikishia. Mwisho kabisa kuna tofauti kubwa kati ya ukristo na baadhi ya wakiristo hivyo hivyo kuna tofaut kati ya uislamu na baadhi ya waislamu.hilo lifanyie kazi utaliona.asalam alekum
 
Tukio la September 11 lilikuwa planned thus Hakuna muisrael hata mmoja aliyekufa waliambiwa wasiende kazini, jumla ya waisrael ni 110 waliokuwa na ofisi zao ktk jengo lile la world trade center. Hawa mazayuni ndio walioplan ile attack kwa lengo ajenda zao za kishetan, waisrael ndio wakuu wa ajenda zote za kifreemason duniani, wakimiliki media zote, music industry, ikiwemo sony, hollywood. Nk.
Njoo uelemishwe ueleweshwe haya mambo ya conspiracy.
Hizi story za vijiweni mzee.. achana nazo... Marekani walikuwa sio wajinga kutokujua hlo..
 
Kwakweli hawa watu ni hatari.
Walitaka kunichinja 2009 wilayani Liwale
Wewe Ni mzushi na muongo na yeye mwenye kukuamini apimwe akili, ulikuwa muislamu ukaritadi kwa ujinga wako..baki hukohuko uendelee kumvaa Mungu wa kumtengeza mwenyewe.

Chuki yako haiondoi ukweli kuwa uislamu ndio mfumo hali wa majsha ya mwanadamu na unafit kila nyanja......
 
Kwanini ajifiche kwenye dini..kama dini imekataza kwanini usa na washirika wake ndio waliomsaka hadi kumuua na hakuna taifa lolote ama umma wowote wa kiislamu ulio laani vitendo vya osama achilia mbali magaidi yaliyotapakaa maeneo mengi afrika na mashariki ya kati.

Hapa juzi waislamu wapemba wameandamana kupinga ujezi wa kanisa..nionnyeshe wapi waraka mmetoa kulaani maandamano hayo..sio SMZ ama umma wa waislamu Tanzania.

#MaendeleoHayanaChama
Kutolaani hakumaanishi wanayaunga mkono.Hata sisi wakristo mbona kuna uchafu mwingi Sana ufanywa na wanaojiita wakristo ambao ni kinyume na maandiko.
 
Sijui sheikh sijui ustadhat.
Shida yenu nyinyi ni moja tu ujuaji basi.
Mkiambiwa ooh hao wanajifanya hivo si waislamu unatakiwa useme hivi hao ni waislamu haswa wanaijua Quran zaid ya nyie waislam wengine ambao hata sheria za kiislamu hamzitambui.


" Na waliposema wanafki na wale wenye maradhi katika nyoyo zao.
Mwenyezi Mungu na Mtume wake hawakutuahidi Ila udanganyifu tu"
Naona bora ninyamaze mna huna ulijualo
 
😂😂sema jamaa wamekaa kishari Sana hawana unyenyekevu kabisa kweli hizi dini labda tumepigwa ila jamaa zetu muslim wameuwawa kabisa..
Hawa jamaa kukutoa roho dk sifuri tu.
Waliosoma boarding shule za kitaifa wanajua mihemko ya waislamu
 
Hawa jamaa kukutoa roho dk sifuri tu.
Waliosoma boarding shule za kitaifa wanajua mihemko ya waislamu
Kweli wakati nipo O level kuna jamaa alikuwa anaitwa Musa asee jamaa ye vita ya dini tu kwenda porini kupiga mifuko ya michanga ngumi sijui kwann wao huwa wanawaza vita tu..
 
Kweli wakati nipo O level kuna jamaa alikuwa anaitwa Musa asee jamaa ye vita ya dini tu kwenda porini kupiga mifuko ya michanga ngumi sijui kwann wao huwa wanawaza vita tu..
Vijana wakristo siku hizi kwenye shule za advance wanakutana na changamoto kutoka kwa vijana wa Kiislamu
 
Ukweli wa kuanzisha vituo kujifanya mnafundisha watoto kuijua Quran kumbe mnawalawiti.
Najisikia aibu mimi...

Wakitokea wengine na kuamua kuwa wapumbavu kama wewe, utakuwa na pa kuiweka sura yako kweli wewe?

VERY STUPID....
 
Back
Top Bottom