Uislam ni dini inayoleta vurugu na kuharibu amani ya ulimwengu

Naomba nijibiwe maswali haya.

Zile chokochoko za kumwagia tindikali mapardi na kuwauwa huko zenji zililetwa na waumini wa dini gani?
Ukisikia kukaukiwa maarifa na kukosa uelewa ndo huku sasa...

Umeambiwa Usome na kuuelewa UISLAMU, wewe unaleta habari za Waislam...

Kwani mambo ya kishenzi yanayofanywa na Wakristo ni Ukristo?!

Ndo maana FaizaFoxy amekuwa akiwauliza mara kwa mara kwamba hivi huko shule huwa mnaenda kusomea ujinga!!
 
Sikatai kuwa kuna waislamu wanaitikadi hizo za kujilipua na kuua watu wasio na hatia lakini ukweli ni kuwa hayo siyo mafundisho ya kiislamu. Na wewe ulitakiwa ukubaliane na mimi kuwa Mfumo kristo unatumia mwanya huo huo kupandikiza itikadi chafu Kwa waislamu Wajinga wasiotambua misingi ya dini yao. Hawa wanafadhili hivi vikundi Kwa kuwapa silaha na kuendesha mafunzo ya kijeshi. Lakini pia Wamagharibi hao hao wanafadhili makundi mengine ambayo siyo ya kidini (waasi) Kwa masilahi yao. Kwahiyo penye ukweli tutasema kama ilivyo..
 
Suala la kwamba sio mafundisho ya kiislamu hilo liko wazi,lakini suala ni kwamba wanaofanya hivyo ni waislamu wenzetu ambao tunatakiwa tuwaelimishe kwa namna yoyote ile.

Hivyo hata kama yapo makundi yanayofadhiliwa na ukristo au mfumo kristo basi jua pia yapo makundi ambayo yanafadhiliwa na waislamu kwa kuamini hiyo ni jihadi.

Hivyo kabla ya kutupia lawama watu wengine ishu ya msingi tukibali kwamba yapo makundi ambayo ni waislamu pure wakiamini hiyo ndio dini ya Allah.

Hivyo tiangalie hili kundi la waislamu pure hwa wanaoamini uiyo ni dini ya Allah ndio la kuanza nalo hayo mengine yanajua kwamba yanafanya kwa malengo.

Tukiliweza hili kundi la waislamu pure tukawaondoa katika itikadi hizk maana yake tutakua tumebomoa daraja la ugaidi.

Lakini ukijifanya huwaoni hawa waislamu pure wa kigaidi alafu ukaa unadeal na hawa wengine maana yake huu mzizi haujauondoa na utakutafuna milele mzizi huo.
 
Unamkataa Swahiba wakati huko kambini alikua sheikh kabisa[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Unamkataa Swahiba wakati huko kambini alikua sheikh kabisa[emoji38][emoji38][emoji38]
Aliyoyafanya ni kinyume na uislamu,bali ni bifu lake binafsi na wababe wa duniani,thus yupo kuzimu anakula moto.Ni bora angeutumia utajiri wake kujenga vyuo, mashule na msikiti duniani penye uhitaji Ili waislamu wapate elimu na sehemu za kuabudia.
Hakuna maamrisho ya uuaji kwenye uislamu.
 
Unashangaza sana, nimeshasema kuwa hayo siyo mafundisho ya kiislamu kwisha. Siwezi kuhangahaika na kutaka kuwaridhisha watu waridhie juu ya hilo,watu wenye mamlaka wawashughulikie hawa wahuni kama wahalifu wengine.

Najua unajisikia unyonge unapohisianishwa uislamu na ugaidi, ila binafsi sijisikii unyonge wowote kwasababu najua uislamu unapinga ugaidi. Elimu inatolewa lakini haya makundi yataendelea kuwepo. Umeipinga hoja ya kuwa hawa jamaa ni watafuta maisha kama watafuta maisha wengine.

Lakini ukweli katika vitu vinawafanya hawa jamaa waendelee kuwepo ni pamoja na kutumia njia Yao ya mapigano kama sehemu ya kupora Mali za watu na kugawana. Huu mtindo unawavutia vijana wengi Wajinga na masikini kuwa sehemu ya matumaini Yao ya kutajirika.
 
Nimetoa mawazo yangu mkuu kwamba lazima tukubali kwamba wapo waislamu wanaofanya hayo kwa kudhani ndio dini ya uislamu inataka hivyo.

Na hizo ni mindset zinazojengwa kwa vijana wengi,so kuwashughulikia kama wahalifu pekee haifuti hizo mindset.

Kumbuka kuwashughulikia kama wahalifu nao wanapata hoja kwamba si munaona uisilamu unavyopigwa vita,hivyo wanazidi kupata nguvu.

Sio tu kuwashughulikia kama wahalifu bali elimu za kusafisha mindset za hawa watu pia ni muhimu,nguvu pekee haiondoi mindset ya mtu
 
Umeshindwa kutofautisha uislam kma dini na waislam kma watu! Ungekuja na ushaidi wa andiko linasema uislam ni ugaidi hapo lakin hao unaowaita magaidi ni wafuasi wa uislam

Cjui umenielewa mzee wq upinde
 

Kma umeshindwa kuelewa jibu hili bac wewe ni kipofu wa moyo na macho
 
Mti wenye matunda ndio hupigwa mawe

Pole sana KAFIRI [emoji38][emoji38][emoji38]
 
Umeshindwa kutofautisha uislam kma dini na waislam kma watu! Ungekuja na ushaidi wa andiko linasema uislam ni ugaidi hapo lakin hao unaowaita magaidi ni wafuasi wa uislam

Cjui umenielewa mzee wq upinde
Kwaya na kanisa huwezi kuvitenga maana vyote vinategemeana.
Ugaidi na uislam huwezi kuvitenga pia
 
Ee mada nyingine juu ya Islamic Hahaha

Maulamaa wa da'awa waendelee sana Allah awatie nguvu in shaa Allah, it seems like the ddin is spreading with high velocity out there kwasababu naona imekuwa ni yenye kuongelewa sana na hii si katika dalili mbaya Bali ni katika bishara njema wallah

Katika kuongelea huku sio wote ambao watachukua maneno ya jf Bali wapo watakaotamani kuujua ubaya wa uislam alafu katika kuutafuta hawataupata abadani isipokuwa wema wa uislam na uzuri wake bi maa shaa Allah watasujudu na kusimama kuitaka maghfira ya mola wao mlezi
 
Nilipoanza kusoma tu Uislam maana yake ni Unyenyekevu nikaona huna lolote unalolijua, nika-scroll down ili nisipoteze muda nikaona umemaliza na vikundi vya hao wanaoitwa magaidi eti wana elimu ya Quran ngazi ya Diploma, Degree, Masters na PhD nikagundua we ni bure kabisa! Hakuna ulijualo ila una mihemko na Ubaguzi wa kidini.

Itoshe kusema huna lolote unalolijua... nasemaga always! Vijana wa kiafrika, hasa afrika mashariki ni wajinga wajinga hakuna mjualo, hamsomi wala kufanya research ya vitu mnakurupuka tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…