Ukisikia kukaukiwa maarifa na kukosa uelewa ndo huku sasa...Naomba nijibiwe maswali haya.
Zile chokochoko za kumwagia tindikali mapardi na kuwauwa huko zenji zililetwa na waumini wa dini gani?
Sikatai kuwa kuna waislamu wanaitikadi hizo za kujilipua na kuua watu wasio na hatia lakini ukweli ni kuwa hayo siyo mafundisho ya kiislamu. Na wewe ulitakiwa ukubaliane na mimi kuwa Mfumo kristo unatumia mwanya huo huo kupandikiza itikadi chafu Kwa waislamu Wajinga wasiotambua misingi ya dini yao. Hawa wanafadhili hivi vikundi Kwa kuwapa silaha na kuendesha mafunzo ya kijeshi. Lakini pia Wamagharibi hao hao wanafadhili makundi mengine ambayo siyo ya kidini (waasi) Kwa masilahi yao. Kwahiyo penye ukweli tutasema kama ilivyo..Haiingii akilini iwe wale ni wanatafuta maisha alafu iwe wako tayari kufa kwa lolote,mtu anayetafuta maisha hawezi kuwa tayari kujiripua kwa sababu akijiripua hayo maisha anayakosa.
The truth ni kwamba hawa watu wanaimani kwamba wanataguta pepo na wanaamini kwamba hayo ndio mafundisho ya uislamu.
Usisingizie mfumo kristo wala mfumo gani,hawa ni watu wenye itikadi zao fulani kali ambazo wanaamini ndio sahihi.
Tusiubebeshe lawama mfumo kristo wala mfumo ungine bali ni jukumu letu sote kukaa chini na kuona namna gani tunaweza kuondoa hizi itikadi chafu kwenye jamii kwa sababu tayari ni tatizo.
Jikite kwenye pointHata maandamano ya kule pemba kupinga ujenzi wa kanisa ni kazi ya CIA??
#MaendeleoHayanaChama
Suala la kwamba sio mafundisho ya kiislamu hilo liko wazi,lakini suala ni kwamba wanaofanya hivyo ni waislamu wenzetu ambao tunatakiwa tuwaelimishe kwa namna yoyote ile.Sikatai kuwa kuna waislamu wanaitikadi hizo za kujilipua na kuua watu wasio na hatia lakini ukweli ni kuwa hayo siyo mafundisho ya kiislamu. Na wewe ulitakiwa ukubaliane na mimi kuwa Mfumo kristo unatumia mwanya huo huo kupandikiza itikadi chafu Kwa waislamu Wajinga wasiotambua misingi ya dini yao. Hawa wanafadhili hivi vikundi Kwa kuwapa silaha na kuendesha mafunzo ya kijeshi. Lakini pia Wamagharibi hao hao wanafadhili makundi mengine ambayo siyo ya kidini (waasi) Kwa masilahi yao. Kwahiyo penye ukweli tutasema kama ilivyo..
Unamkataa Swahiba wakati huko kambini alikua sheikh kabisa[emoji38][emoji38][emoji38]Osama bin laden alikuwa ni kafiri akitumika na freemason Ili kuuchafua uislamu, hakuwa Muislamu, halipigania maslai ya dunia. Ugomvi wake na USA ulitokana na ishu ya kuzulumiana malipo baada ya mission yake ya kumtimua Mrusi Afghanistan akishirikiana na talebani so akajifichia kwenye dini
Huenda wao wamechagua njia bora kuliko hata ya mtume muhammad maana yeye hakufanya mambo kama hayo.Sa
Sasa hao ndo Waislamu halisi. Na ndio wanafuata uislamu wa kweli kutoka kwa allah na mudy
Aliyoyafanya ni kinyume na uislamu,bali ni bifu lake binafsi na wababe wa duniani,thus yupo kuzimu anakula moto.Ni bora angeutumia utajiri wake kujenga vyuo, mashule na msikiti duniani penye uhitaji Ili waislamu wapate elimu na sehemu za kuabudia.Unamkataa Swahiba wakati huko kambini alikua sheikh kabisa[emoji38][emoji38][emoji38]
Unashangaza sana, nimeshasema kuwa hayo siyo mafundisho ya kiislamu kwisha. Siwezi kuhangahaika na kutaka kuwaridhisha watu waridhie juu ya hilo,watu wenye mamlaka wawashughulikie hawa wahuni kama wahalifu wengine.Suala la kwamba sio mafundisho ya kiislamu hilo liko wazi,lakini suala ni kwamba wanaofanya hivyo ni waislamu wenzetu ambao tunatakiwa tuwaelimishe kwa namna yoyote ile.
Hivyo hata kama yapo makundi yanayofadhiliwa na ukristo au mfumo kristo basi jua pia yapo makundi ambayo yanafadhiliwa na waislamu kwa kuamini hiyo ni jihadi.
Hivyo kabla ya kutupia lawama watu wengine ishu ya msingi tukibali kwamba yapo makundi ambayo ni waislamu pure wakiamini hiyo ndio dini ya Allah.
Hivyo tiangalie hili kundi la waislamu pure hwa wanaoamini uiyo ni dini ya Allah ndio la kuanza nalo hayo mengine yanajua kwamba yanafanya kwa malengo.
Tukiliweza hili kundi la waislamu pure tukawaondoa katika itikadi hizk maana yake tutakua tumebomoa daraja la ugaidi.
Lakini ukijifanya huwaoni hawa waislamu pure wa kigaidi alafu ukaa unadeal na hawa wengine maana yake huu mzizi haujauondoa na utakutafuna milele mzizi huo.
Nimetoa mawazo yangu mkuu kwamba lazima tukubali kwamba wapo waislamu wanaofanya hayo kwa kudhani ndio dini ya uislamu inataka hivyo.Unashangaza sana,nimeshasema kuwa hayo siyo mafundisho ya kiislamu kwisha. Siwezi kuhangahaika na kutaka kuwaridhisha watu waridhie juu ya hilo,watu wenye mamlaka wawashughulikie hawa wahuni kama wahalifu wengine. Najua unajisikia unyonge unapohisianishwa uislamu na ugaidi,ila binafsi sijisikii unyonge wowote kwasababu najua uislamu unapinga ugaidi. Elimu inatolewa lakini haya makundi yataendelea kuwepo. Umeipinga hoja ya kuwa hawa jamaa ni watafuta maisha kama watafuta maisha wengine. Lakini ukweli katika vitu vinawafanya hawa jamaa waendelee kuwepo ni pamoja na kutumia njia Yao ya mapigano kama sehemu ya kupora Mali za watu na kugawana. Huu mtindo unawavutia vijana wengi Wajinga na masikini kuwa sehemu ya matumaini Yao ya kutajirika.
u nailed it bro uzi ufungwe na wasichokijua ni kwamba wanaona kwa macho mawili sio matatu wakibrainwashiwa kidogo tu wanaanzisha nyuzi afatilie ukweli hata u tube zipo documentaly zinaeleza vyema mfano tukio la sept 11 wanadai ni osama lakini ukifatilia mitandaoni ni michezo yao wenyewe, ISIS ni product za wamarekani zote, same to ALSHABABY....hata wewe ukivaa kanzu ukijiripua watasema waislamu kumbe ni mgalatia mmoja kajiripuaa......SIKUZOTE KIZURI KINAPIGWA MAWE SANA
amka blaza na kuanzia leo uelewe anaejilipua sio muislam ,sio mafundisho ya Mungu wala Mtume wake.....ISLAAAM ......(AMANI)
nakupa mtihani kidogo ukiweza uutafute andika GOOGLE (UTATA KATIKA BIBLIA UONE MISTARI ILIVYOPISHANA KWENYE MAANA NA UWE NA BIBLIA PEMBENI halafu ukimaliza andika UTATA katika Quraan kama utapata utata wowote njoo hapa tujadili
kitabu kinabadirikabadirika kama ANDROID VERSION ila Quraan ni ileile tangu karne ya 6 hadi leo haijaongezwa wala kupunguzwa na imeeleza vitu hadi duniaa iishe......ukiwa na quraani tu inatosha kuwa katiba na mkaanzisha state kwa maana imeeleza maisha yote mfano namna ya kuoa,utawala ,biashara,sherehe ,vyakula ila ukiwa na biblia utahitaji na katiba iliyotungwa na wanaadamu ndo mambo yaende
NAFURAHI SANA KUZALIWA MUSLIM.
NAULIZA WAMEENDA KUANGALIA KOMBE LA DUNIA AU KUNYWA POMBE?
Mti wenye matunda ndio hupigwa maweHabari wananchi.
Neno uislam ni neno lenye asili ya Kiarabu ambalo maana yake ni unyenyekevu.
Kwa uhalisia uislam hauna unyenyekevu na uvumilivu ndani yake.
Wanachokifanya Alshabab, Alqaeda, Islamic state, Bokko haram, na vikundi vingine vya itikadi kali ndio taswira halisi ya Uislam.
Vikundi hivi ni kama tu vinatoa ujumbe au vinajiandaa na kile ambacho kitatokea siku za mbele.
Nasikitika kusema kitu hicho (Jihad) hakuna anayeweza kukizuia. Lazima kitatokea, labda Yesu arudi haraka kunyakua kanisa lake takatifu hivi karibuni ndio itakuwa njia pekee ya kublock hii Jihad.
Bokko haram, IS, Alqaeeda, Alshabab n k hufadhiliwa na matajiri wakubwa wa Kiislamu kwa kuwamwagia mabilioni hawa vijana wanaompigania Allah ( Mungu wa waislamu).
Matajiri hawa wanamwaga mabilioni wakitaraji thawabu, na wapiganaji hawa hutoa hata uhai wao kwasababu ya Allah wakiamini ni ibada takatifu ya kuwapeleka Peponi.
Ni wasomi wazuri wa Quran kwa ngazi ya Diploma, degree na Master's. Kwahiyo hawa hufanya kile dini inataka. Na huo ndio Uislam.
View attachment 2423279View attachment 2423280View attachment 2423281View attachment 2423282View attachment 2423284View attachment 2423286View attachment 2423287View attachment 2423289View attachment 2423298
Umesahau kuweka picha ya Hamza
Kwaya na kanisa huwezi kuvitenga maana vyote vinategemeana.Umeshindwa kutofautisha uislam kma dini na waislam kma watu! Ungekuja na ushaidi wa andiko linasema uislam ni ugaidi hapo lakin hao unaowaita magaidi ni wafuasi wa uislam
Cjui umenielewa mzee wq upinde
Wanachokifanya Alshabab, Alqaeda, Islamic state, Bokko haram, na vikundi vingine vya itikadi kali ndio taswira halisi ya Uislam.
Nilipoanza kusoma tu Uislam maana yake ni Unyenyekevu nikaona huna lolote unalolijua, nika-scroll down ili nisipoteze muda nikaona umemaliza na vikundi vya hao wanaoitwa magaidi eti wana elimu ya Quran ngazi ya Diploma, Degree, Masters na PhD nikagundua we ni bure kabisa! Hakuna ulijualo ila una mihemko na Ubaguzi wa kidini.Habari wananchi.
Neno uislam ni neno lenye asili ya Kiarabu ambalo maana yake ni unyenyekevu.
Kwa uhalisia uislam hauna unyenyekevu na uvumilivu ndani yake.
Wanachokifanya Alshabab, Alqaeda, Islamic state, Bokko haram, na vikundi vingine vya itikadi kali ndio taswira halisi ya Uislam.
Vikundi hivi ni kama tu vinatoa ujumbe au vinajiandaa na kile ambacho kitatokea siku za mbele.
Nasikitika kusema kitu hicho (Jihad) hakuna anayeweza kukizuia. Lazima kitatokea, labda Yesu arudi haraka kunyakua kanisa lake takatifu hivi karibuni ndio itakuwa njia pekee ya kublock hii Jihad.
Bokko haram, IS, Alqaeeda, Alshabab n k hufadhiliwa na matajiri wakubwa wa Kiislamu kwa kuwamwagia mabilioni hawa vijana wanaompigania Allah ( Mungu wa waislamu).
Matajiri hawa wanamwaga mabilioni wakitaraji thawabu, na wapiganaji hawa hutoa hata uhai wao kwasababu ya Allah wakiamini ni ibada takatifu ya kuwapeleka Peponi.
Ni wasomi wazuri wa Quran kwa ngazi ya Diploma, degree na Master's. Kwahiyo hawa hufanya kile dini inataka. Na huo ndio Uislam.
View attachment 2423279View attachment 2423280View attachment 2423281View attachment 2423282View attachment 2423284View attachment 2423286View attachment 2423287View attachment 2423289View attachment 2423298