Uislamu haujakataza asiye muislamu kula mchana wa ramadhani, siungi mkono wasio waislamu kuzuiwa kula mchana

Umekatazwa na nani kula hiyo hadharani unayotaka? Labda tuanzie hapo

Usijenge dhana uislam uonekane mbaya kwa mawazo ya dizaini hii
 
Umekatazwa na nani kula hiyo hadharani unayotaka?
Wapi nimesema kwamba mimi nimekatazwa kula mchana ewe ndugu ?

Ama hujakusudia kuniuliza mimi
 
Kwa hiyo hamta kula hadharani?na kama mtakula malalamiko ni ya nini?
 
Samahan mtoa post, nauliza kati ya Mtume na Allah nani ambaye ana mamlaka ya kukataza? Maana umesema hakuna mahali mtume amekataza…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…