Uislamu ni tofauti na wengi tunavyouchukulia: Haya ni mambo ambayo watu walielewa tofauti kuhusu uislamu

Ukisoma historia ya dini, Issa sio Yesu. Ni obvious hilo liko wazi.

Ni waislamu walijaribu kutaka kuhusisha uislamu na yesu angalau kutafta relevance ila ukisoma Quran na Biblia ni vitabu vimeandikwa na viumbe 2 tofauti.

Haiwezekani Mungu akamtuma Yesu aje kufundisha habari njema za upendo na kupendana, msamaha na kusameheana, kujaliana, kutokulipa kisasi kua na huruma nk halafu ghafla Mungu akamtuma Mohamed aje kutangaza mauaji, kuua watu, kubaka watoto, kulawiti watu nk.

Mungu wa kwenye Quran ni Mungu ambae kama amechanganyikiwa, yuko very frasturated, amevurugwa na maisha, amejaa visasi, hana huruma, hana msamaha, God of no mercy. Mungu wa kulazimisha watu wakubaliane na hoja zake za kitaahira ukikataa anataka uuwawe nk.
 
Crusade wars jaman zilipiganwa na kina Abubakar?
 
Ukisikia ama kuona dini imejaaa chuki na ubaguzi hapo hakuna dini ni kundi la wahuni.,Mungu gani anafindisha chuki na ubaguzi.Ni bora nisiwe na dini kuliko kufata utopolo utakao nifundisha chuki tu...unakuta kijitu kimetoa macho sili kuku huyo maana kachinjwa na kafiri [emoji1787][emoji1787][emoji1787]kuna watu wana akili kisoda.
 
Hiyo dini ni mila na desturi za kiarabu . Africa Kuna mila na desturi zake ndiyo maana hakuna Muafrica pure anaweza kwendana na mila na desturi za kiarabu. Ustaarabu wa kiafrika upo juu zaidi kuliko wa Kiarabu .
Afrika hapakuwa na hakuna tatizo lolote kwenye maadili yetu na misimamo yetu imepokelewa ipasavyo na muumba mbingu na ardhi.
 
Huu Uzi hauwezi tembea kwa comments nyingi Kwa sababu hujauponda uislam,ungeuponda ungeona Jinsi watu wanavyojaza comments za kejeli na dhihaka
 
Koran
5;51. Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki......
9;23. Enyi mlio amini! Msiwafanye baba zenu na ndugu zenu kuwa vipenzi vyenu ikiwa wanastahabu ukafiri kuliko Imani....
 
Kwamba unaruhusiwa kuua ukiwa unatetea haki! Kabla ya maujinga mengi ujinga wa kwanza ni huu.

Hii dini Mungu wao ni wa kusaidiwa/kupambaniwa, yani mtu akichoma quran et ukimuua unapata thawabu, kwanini kama mnakiamini hicho kitabu msimwache mwenye kitabu mwenyewe akipambanie!

Mungu wa wakristo ni muweza wa yote si wa kusaidiwa/kupambaniwa ndio maana hatuambiwi kuua kutetea haki wala kulipa kisasi, maana mwenye haki ni yeye na inapompendeza huwapatia watu wake na hata Kisasi Mungu wetu ametueleza kuwa ni chake hahitaji tumsadie.
 
Kwa mara ya kwanza nimemuona muislam anaihubiri dini yake bila kurejea dini zingine.Na ukiendelea hivi utawavuta wengi kwenye uislam. Si kama mama yule!
Ofcourse nmempenda mleta uzi.

Hajagusa imani nyingine kwenye maelezo yake.

Nahisi ana uelewa mkubwa.
 
Dini zote ni EgnesU..

Ishi Maisha yako achana na story za uongo

Story za Jesuzzz na mudy ni uongo mtupu.


Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Mkuu imani ni psychology thing.

Watu hawawezi kukuelewa kirahisi zaid ya kukupuuza tu.

Sema hawa watu inabidi wakae bila kutukanana na waheshimiane.

Huwa nachukizwa na baadhi ya imani kujiona bora na kutukana dini za wenzao hadharani.

Kwa hili inabidi wabadilike.
 
mkuu inawezekana huyu MWAMBA alishawai kufa akafika MBINGUNI alafu akaona MBINGUNI kumejaa WAISLAM tupu then alipochungulia MOTONI akaona kumejaa WAIKRISTO na dini nyingine kama WAHINDU n.k....huwezi jua!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Nitakuwa najibu kwa kufafanua kitu kimoja mara moja tu, anayekuja kwa kejeli nitamuacha hivyo hivyo sitahangaika naye...

Tuanze na hili la kwako... Hebu twende kwa mifano
Amekuja jambazi na genge lake anakamata watu kibao anaanza kuua mmoja mmoja unashuhudia wa kwanza kauawa wa pili kadungwa kisu kafa wa tatu kafyatuliwa risasi chali, mnajitahidi kuomba wasifanye ubaya kwenu lakini ndo kama mnawachochea yaani wajamaa hawaelewi wala hawasikii bado utaendelea kusubiri mjadiliane na hao majambazi?

Serikali fulani imempata kiongozi mwenye kwenda kinyume na kila lililo la kibinadamu. Watu wamemwendea kila namna kumsihi hajirekebishi wala hataki tu kusikia unadhani ataachwa tu aendelee kuumiza watu? Marekani ni mara ngapi inavamia baadhi ya sehemu baada ya kumuonya mara kadhaa kiongozi wa sehemu hiyo na asisikie?

Atokee mtu leo azuie watu kufanya mambo yao ya kijamii (na kwa sababu tunaongelea uislamu basi tuchukue mfano wa kiislamu islamu tu) mfano watu wanaoenda misikitini wategwe njiani watekwe wateswe, wabakwe, na kadhalika na hali hiyo kumetumika njia zote za kumsihi huyo mtu aache lakini haachi je unadhani watu hawatanyanyua mkono dhidi yake?

Yaani elewa kwamba hata ikitokea muislamu anakamata wasio waislamu na kuwadhuru ilihali wao hawajamfanya chochote (hawajamfanyia fitina yoyote kwenye dini yake) basi atatakiwa huyo muislamu kuonywa na kuzuiwa kwa namna yoyote ile asieneze hiyo fitina.
 
Hivi unaelewa katika historia ya Dunia hakuna mauaji makubwa yaliyowahi kufanyika kwa kutumia jina la dini kama kwenye vita ya msalaba? (Crusade war). Unaonaje leo hii ukristo ukinasibishwa na ukatili huo licha ya kuwa ukristo wenyewe haufundishi hivyo, sababu tu waliofanya mambo hayo ni wakristo kwa kutumia jina la ukristo!

Now the same is happening now, wanaofanya mauaji hayo kwa jina la kiislamu hawana support yoyote katika dini. Lakini kubwa zaidi hayo makundi mengi ya kigaidi ni makundi yaliyoundwa na wamagharibi kwa interest zao maalum.

Ukigundua hilo hutokaa uhadaike na propaganda zinazofanywa za kuuchafua uislamu.
 
Chuki zimekujaa ndugu, lakini mwenye busara hujua chuki na hasira ni adui wa busara!
 
We nyama za eid haukupata
Pilau la eid waislam majirani hawakupi
Vipi vile visima yale maji wakristo hamchoti
Vipi foundation za kiislam za kijamii wakristo hawahudumiwi?

Leta hata picha ya foundation yeyote ya kislam anafanya kazi mkristo.

Utamuhudumiaje mkristo wakati ushaambia sio ndugu yako na unapaswa kujitenga nae
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…